Taoussi hana presha akiivaa Coastal Bara

KIKOSI cha Azam kesho Jumapili kinashuka Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es Salaam kuivaa Wagosi wa Kaya, Coastal Union mchezo wa Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akisema bado anasikilizia na kujipa muda zaidi akiwa na kikosi hicho, licha ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya KMC, kwenye Uwanja wa…

Read More

Saadun aona mwanga Azam FC

BAO alilofunga mechi ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City limempa mzuka Nassor Saadun wa Azam aliyesema presha ya namba ndani ya kikosi imekuwa kubwa na kufunga kwake kumemuongezea morali. Saadun aliifungia timu hiyo ilipoibuka na ushindi wa mabao 2-0 jingine likifungwa na Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Azam…

Read More

Kipa Mzenji awataja Camara, Diarra

KIPA wa zamani wa Azam FC, Ahmed Salula anayeichezea Uhamiaji ya Zanzibar amesema makipa Djigui Diarra wa Yanga na Moussa Camara wa Simba ni chachu ya ushindani katika nafasi hiyo kwa wengine kutokana na viwango walivyo navyo vilivyowafanya kuaminiwa vikosini. Salula ambaye ni askari wa Jeshi la Uhamiaji, amesema anawafuatilia makipa hao wawili wa kigeni…

Read More

TPLB yatembeza rungu wamo waamuzi, makamishna

KAMATI ya Usimamizi wa Ligi Kuu Bara imeshusha adhabu Mbeya City, Namungo, Coastal Union, waamuzi na maofisa wengine. Adhabu ya Mbeya City imewakumba mastaa wawili Gabriel Mwaipola akifungiwa mechi tano sambamba na faini ya Sh5 milioni kufuatia kosa la kumpiga kwa kiwiko Rajab Mfuko wa Namungo wakati timu hizo zilipokutana. Vitalis Mayanga amekumbana na adhabu…

Read More

Waziri aonya ujenzi wa miradi chini ya kiwango

Unguja. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif amesema wizara hiyo haitomvumilia mkandarasi yeyote atakayefanya kazi za ujenzi chini ya kiwango kisichoheshimu mkataba wa makubaliano yao. Nadir ameyasema hayo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi wa vituo vya kupokea na kupozea nishati ya umeme vilivyopo kisiwani Unguja. Amesema,…

Read More

Rais Samia aahidi ujenzi shule za sayansi za wavulana

Kilindi. Baada ya kukamilisha ujenzi wa shule za sekondari za sayansi za wasichana, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanza ujenzi wa shule hizo kwa upande wa wavulana. Kauli hiyo ya Rais Samia inakuja, ikiwa tayari katika mikoa yote 26 shule hizo za wasichana zimejengwa kwa gharama ya Sh116 bilioni. Rais Samia ameeleza hayo…

Read More