Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 10, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Ni siku nyingine ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet. Suka jamvi lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao hutangazwa hapa kila wiki. Hispania, Copa del Rey mchezo wa mkondo wa pili utapigwa ambapo FC Barcelona baada ya kupigika kwenye mechi ya kwanza atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Atletico Madrid….
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart), Dk Athumani Kihamia, katika mahojiano na kituo cha runinga cha Clouds ameomba radhi wananachi kwa ucheleweshaji huo, huku ikieleza sababu ya kuchelewa ni kuhakikisha vitu vyote vinavyohitaji kabla ya mradi kuanza viwe vimekamilika kwa ufasaha. Amesema kuhusu maandalizi ya kuelekea kuanza kutoa huduma kwa mabasi hayo…
Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…
Malezi ya mtoto wa kambo ni moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wazazi wa kisasa, hasa katika familia zilizoanzishwa baada ya ndoa ya kwanza au baada ya wazazi wa awali kuachana. Mtoto wa kambo si wako kidamu, lakini kwa mazingira ya ndoa au uhusiano, unahusika moja kwa moja katika malezi yake. Haha hivyo, kumlea mtoto wa…
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, ambapo mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira vimekuwa changamoto kubwa, dhana ya fedha endelevu imepata umaarufu mkubwa. Fedha endelevu inahusu uwekezaji na mifumo ya kifedha inayozingatia masuala ya kimazingira, kijamii na utawala bora (ESG – Environmental, Social, and Governance). Tanzania, kama nchi nyingine zinazoendelea, inakabiliwa na uhitaji mkubwa wa…
Wanaharakati wanadai hasara na uharibifu wa malipo nje ya ukumbi ambapo washauri wa COP29 walikuwa wakikamilisha mazungumzo yao. Mikopo: Mabadiliko ya hali ya hewa ya UN/thamani ya Kiara Na Jennifer Xin-Tsu Lin Levine (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 17 (IPS)-Wakati majanga ya hali ya…
Arusha. Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma, kilichofunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, jijini Arusha,…
Bakari Mahundu February 28, 2026 0 Comments Israel imeanzisha mfululizo wa mashambulizi ya makombora dhidi ya Iran mapema leo Jumamosi asubuhi, kufuatia wiki kadhaa za mvutano mkali uliokuwa ukiongezeka kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah. Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ametangaza kuwa nchi hiyo ipo katika…
Unguja. Watiania watatu wa kiti cha urais wamerejesha fomu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kukamilisha masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria, ikiwamo kupata wadhamini 1,000 kutoka mikoa mitano iliyopo Unguja na Pemba. Idadi hiyo inafanya jumla ya vyama vinne kurejesha fomu za kuomba uteuzi kati ya 17 vilivyochukua fomu hizo vikitanguliwa na Chama…