Sababu na athari ndoa za siri

Ndoa ni muunganiko rasmi wa watu wawili wanaopendana, kwa lengo la kuishi pamoja kwa upendo, heshima, na mshikamano.  Kikawaida, ndoa hufanyika kwa uwazi na kushuhudiwa na familia, jamii na mamlaka husika kama taasisi za dini au serikali.  Hata hivyo, uzoefu hivi sasa unaonyesha, kuna ongezeko la ndoa zinazofungwa kwa siri, yaani, ndoa ambazo hufanyika kwa…

Read More

JKT, Polisi nusu fainali ya kibabe

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Cecafa kwa wanawake, JKT Queens Septemba 14 saa 9 jioni kwenye Uwanja wa Moi Kasarani, Nairobi, Kenya itakuwa na kibarua cha kufuzu fainali ya michuano hiyo ikiivaa Polisi ya Kenya. Kabla ya mechi hiyo itatanguliwa na nusu fainali ya kwanza kati ya Rayon Sports Women ya Rwanda na Kampala…

Read More

Sasa Kipigwe! Ecua apagawa, Simba kambini kunapikwa

SASA kipigwe! Hicho ndicho unachoweza kusema baada ya Simba na Yanga kumaliza ratiba za matamasha yao yaani Simba Day na Wiki ya Mwananchi mtawalia, huku kila upande sasa ukijifungia kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaopigwa keshokutwa, Jumanne, Septemba 16. Simba ndiyo walioanza kuliamsha na Simba Day Jumatano, Septemba 10 wakifuatiwa…

Read More

Bado Watatu – 28 | Mwanaspoti

KAMA ningetambua mapema kuwa mauaji yale yalifanywa na mwizi, nisingepata usumbufu wa kuificha ile maiti na kwenda kuitupa. Ningeripoti polisi na nisingepatwa na tatizo lolote.Hapo hapo nikakumbuka kwamba mtu aliyeuawa alikuwa mume wa mtu, na aliuawa nyumbani kwangu usiku wa manane wakati mimi niliyekuwa naye ni mke wa mtu! Je, kama ningeripoti polisi, nini kingetokea?…

Read More