Tathmini yaja na majibu mgogoro wa mipaka Kilosa
Wataalamu wamekuja na majibu yatakayomaliza mgogoro wa mipaka baina ya kijiji cha Rudewa Mbuyuni kilichopo kata ya Rudewa na kijiji cha Mbwade kilichopo kata ya Madoto wilayani Kilosa, mkoani Morogoro. Ahueni ya mgogoro huo imepatiwa ufumbuzi baada ya kufanya tathimini na kuja na ripoti inayoonesha uhalisia wa mipaka ya vijiji hivyo. Tathmini hiyo imeonesha uhalisia…