Waziri Silaa avunja bodi ya TTCL

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amevunja bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) baada ya mwenyekiti wake kutenguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Julai 23, 2024. Bodi hiyo imevunjwa jana Agosti 2, 2024 na waziri huyo kutokana na mamlaka aliyonayo. Taarifa ya kuvunjwa bodi hiyo imetolewa leo…

Read More

Mpeni mstaafu Sh5 milioni akiwa hai!

Nalirudia tena hili maana linauma na kusikitisha sana. Hivi karibuni wabunge walio wawakilishi wa wananchi, akiwamo mstaafu, wamemaliza kipindi chao cha kupokea mshahara wa Sh14 milioni kwa mwezi kwa miaka mitano, kwenye nchi hii inayodai kuwa ni masikini, japo wa kujitakia! Kwa kazi ngumu yao ya kuunga mkono hoja na kupiga makofi kushangilia hoja, badala…

Read More

DPP alivyowang’ang’ania walioachiwa huru kwa mauaji Zanzibar

Zanzibar. Mahakama ya Rufani Zanzibar imebatilisha uamuzi wa kuwaachia huru washtakiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua na badala yake, imewaona wana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa kujitetea kortini. Watuhumiwa hao walikuwa wamefunguliwa shtaka la mauaji ya kukusudia kuwa Januari 17, 2017 saa 3:00 asubuhi, huko eneo la Tumbe Magogoni, Chakechake Pemba, walimshambulia na…

Read More

Sekta tisa kuibeba Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 (Dira 2050) imebainisha sekta tisa zenye fursa za mageuzi ya kuchochea kufikiwa kwa malengo ya Taifa na kuivusha Tanzania miaka 25 ijayo. Dira 2050 imewasilishwa leo Alhamisi, Juni 26, 2025 bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo,…

Read More

UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM WAWAFURAHISHA WAKAZI WA MKONGOTEMA HALMASHAURI YA MADABA

 Wananchi wa Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma, wameelezea furaha yao kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya utawala wa Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Kizito Muhagama, Wananchi hao wamekiri kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa imemaliza changamoto kubwa zilizokuwa zikiwakabili na sasa wanapata…

Read More

Wajibu wa watanzania tunapoelekea Oktoba, 2025

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 unakaribia, na taifa la Tanzania linaingia kwenye kipindi muhimu cha mchakato wa kidemokrasia. Kwa Watanzania, huu si wakati wa kawaida tu, bali ni wakati wa kupima ukomavu wa siasa, uimara wa vyama vya siasa sambamba na taasisi mbalimbali na nafasi ya raia katika kuchagiza mustakabali wa taifa. Wataalamu wa siasa…

Read More

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu watakiwa kuendelea kudumisha amani,

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuidumisha amani, utulivu na mshikamano uliopo nchini ili kuweza kuisaidia serikali kuweza kupiga hatua kimaendeleo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid RIDHAA uliopo MADUNGU WILAYA YA CHAKE CHAKE mara baada ya kumaliza…

Read More

Wazazi wakumbushwa kutimiza wajibu wa malezi

Njombe. Kamati ya Shule ya Msingi NjooMlole iliyopo Halmashauri ya Mji wa Njombe imewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa malezi kwa kuhakikisha wanawanunulia watoto wao vifaa vinavyohitajika shuleni ikiwamo sare za shule, madaftari na kupeleka vyakula shuleni ili wasome kwa uhuru na kufaulu masomo yao. Hayo yamesemwa leo Januari 14, 2025 na Mwenyekiti wa Kamati…

Read More