Nafasi 2,224 za ajira zatangazwa serikalini, omba hapa

Dar es Salaam. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara, Idara, Mashirika, na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs), imetangaza nafasi 2,224 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ujuzi na moyo wa kizalendo kujiunga na utumishi wa umma katika nyanja mbalimbali. Tangazo hili la ajira limetolewa Juni 5, 2025, likiwa ni…

Read More

KIGAHE AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI RUSUMO

  Meneja wa kituo Cha forodha cha Rusumo upande wa Tanzania Bw. Amosi Illoyo (mwenye Shati la bluu) akielezea kazi mbalimbali zinazofanywa na mpakani hapo upande wa Tanzania Mhe. Naibu Waziri wa Viwanda (Mwenye Shati jeupe) na Biashara alizotembelea kituo hicho Ili kuona shughuli za kibiashara katika mpaka huo. ….. Naibu Waziri wa Viwanda na…

Read More

Watumishi wa umma wadai Serikali mabilioni

Dodoma. Serikali imesema hadi kufikia Aprili 30, 2024, madeni ya watumishi wa umma yaliyohakikiwa na kukidhi vigezo vya kulipwa yanayohusu likizo, uhamisho na kusafirisha mizigo baada ya kustaafu ni Sh285.17 bilioni. Hayo yamesemwa leo Jumatano Juni 12 2024 na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani…

Read More

Bakwata, yalaani vurugu Oktoba 29 yagusia mariadhiano, suluhu

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesikitishwa na vitendo vya vurugu vilivyotokea Oktoba 29, vilivyosababisha watu kupoteza maisha na uharibifu wa mali za umma na binafsi. Bakwata limesema Oktoba 29, siku ya kupiga kura kulizuka kundi lililokuwa likiwatisha watu, kupora na kuharibu mali, miundombinu mbalimbali ikiwemo kuchoma vitu vya mafuta na ofisi…

Read More

Pesa Ipo Kwenye Mechi za Kirafiki Leo

MWEZI mpya wa 8 umekuja na faida kibao kwani mteja wa Meridianbet anaweza akatengeneza mkwanja mrefu kwa kubashiri mechi zote anazozitaka huku nafasi ya yeye kuondoka bingwa ikiwa kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. FC Augsburg watakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Crystal Palace ya kule Uingereza ambao kwenye mechi hii ya leo ndio…

Read More

SERIKALI YARIDHISHWA NA MRADI WA UMEME WA JUA SHINYANGA

Msimamizi wa mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua katika Kijiji cha Ngunga, Kata ya Talaga, Wilayani Kishapu, Mkoani Shinyanga Emmanuel Mbando akitoa ufafanuziKamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga (kushoto) akitembelea mradi mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua katika Kijiji cha Ngunga, Kata ya Talaga, Wilayani Kishapu,…

Read More