Nafasi 2,224 za ajira zatangazwa serikalini, omba hapa
Dar es Salaam. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara, Idara, Mashirika, na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs), imetangaza nafasi 2,224 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ujuzi na moyo wa kizalendo kujiunga na utumishi wa umma katika nyanja mbalimbali. Tangazo hili la ajira limetolewa Juni 5, 2025, likiwa ni…