Wanaojifungua wahimizwa kutumia kikamilifu likizo ya siku 90

Dar es Salaam. Wanaojifungua  nchini wamehimizwa kutumia kikamilifu muda wa mapumziko wa miezi mitatu baada ya kujifungua ili waweze kuwa karibu na watoto wao katika kipindi muhimu cha mwanzo wa maisha. Wito huo umetolewa wakati kukibainika baadhi ya wanawake, hasa walioajiriwa katika sekta binafsi na wanaojiajiri, wamekuwa wakirudi katika shughuli zao za kazi mapema kabla…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More

Mbuni atwaa taji la ndege wa mwaka 2026 Tanzania

Arusha. Mbuni amechaguliwa kuwa ndege wa Mwaka 2026, baada ya kuibuka mshindi katika kura za kitaifa zilizoshirikisha wapenzi wa ndege nchini na kimataifa, akimrithi ‘kwezi maridadi’ (Superb Starling), aliyeshikilia taji hilo kwa mwaka 2025. Ndege huyo mkubwa zaidi duniani, ametwaa heshima hiyo baada ya kuwashinda washindani wake wanne maarufu wa uwanda wa nyasi katika kampeni…

Read More

SHULE YA MSINGI MPAKANI YAPATA MSAADA WA MATANKI YA MAJI SAFI KUTOKA ANGLE PARK.

 Dar es Salaam – Uongozi wa Angle Park umeeleza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kusaidia kutatua changamoto zinazozikabili shule za msingi na sekondari, hususan zilizoko katika maeneo jirani na makazi yanayozunguka kampuni hiyo. Akizungumza katika makabidhiano kwa uongozi wa Shule ya Msingi Mpakani, Mkurugenzi wa Angle Park, Bonifasi Daniely, amesisitiza kuwa…

Read More

Muya ataka mechi za kirafiki Coastal

KOCHA wa Coastal Union Mohamed Muya ameweka wazi mkakati wake kuelekea kipindi hiki cha mapumziko, huku akisisitiza umuhimu wa kucheza mechi za kirafiki ili kujiweka sawa kabla ya kurejea kwenye ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti alisema kuwa, mapumziko haya hayapaswi kuwa ya kupoteza muda, bali ni fursa ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika michezo iliyopita na kuimarisha…

Read More