Wacongo kumpa muhula mwingine Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More

Jafary Maneno wa JKT humwambii kitu kwa Pacome, Chama

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Jafary Maneno, amewataja baadhi ya wachezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara anaowakubali na kwamba anajifunza mengi kutoka kwao. Maneno alisema wachezaji hao ni Pacome Zouzoua na Maxi Nzengeli wanaocheza Yanga, pia Elie Mpanzu, Libasse Gueye na Clatous Chama wanaokipiga Simba, huku akibainisha wanachokifanya uwanjani vinamvutia na kujifunza vingi. “Wapo wengi…

Read More

Bodi ya Ligi Zanzibar yachukua hatua vipigo vya waamuzi

KATIKA Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), bado waamuzi wameendelea kuteseka kwa kuchezea vipigo kutoka kwa mashabiki, viongozi na hata wachezaji. Hata hivyo, Bodi ya Ligi Zanzibar, imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuwafungia mashabiki na viongozi wa  timu kushiriki katika mashindano yoyote yanayoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu (ZFF). Licha ya adhabu hizo, lakini sio…

Read More

Mvua kubwa zazua hofu ya mafuriko nchini

Dar es Salaam. Mvua kubwa zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza hatari ya mafuriko, uharibifu wa miundombinu na changamoto za kiafya, huku wataalamu wakionya kuwa mabadiliko ya tabianchi na ukuaji wa kasi wa miji vinafanya matukio hayo kuwa ya mara kwa mara. Mvua hizo zilizoanza mwishoni mwa mwezi uliopita ni sehemu ya mwanzo wa msimu…

Read More

Wacongo kumpa muhula wa Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara ya kikazi mkoani Geita kukagua miradi inayosimamiwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), ambapo imemwagiwa sifa kwa mapinduzi ya teknolojia kwa wachimbaji wadogo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo katika eneo la Katente, Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ameeleza kuwa serikali kupitia…

Read More

Migogoro ya ardhi bado mfupa mgumu

Dar es Salaam. Migogoro ya ardhi imeendelea kuwa mfupa ulioshindikana kuvunjika, baada ya malalamiko yake kutawala ziara za Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine. Awali, Serikali ilitangaza hatua mbalimbali, ikiwamo upimaji wa ardhi na utoaji wa hati za kimila hasa vijijini, lakini hazikuwa muarobaini wa changamoto migogoro hiyo. Malalamiko zaidi yaliyowasilishwa na wananchi…

Read More