UJENZI BARABARA YA ESO-LONGDONG KWA KIWANGO CHA LAMI KUPUNGUZA MSONGAMANO ARUSHA
******* Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa barabara ya Esso–Longdong yenye urefu wa kilomita 1.8 kwa kiwango cha lami katika Jiji la Arusha. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea miradi inayotekelezwa na TARURA, Meneja wa TARURA Wilaya ya Arusha, Mhandisi Godfrey Bwire amesema barabara hiyo imekamilika na kazi…