Mabomu ya machozi yatumika kutawanya wachimbaji wadogo

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya baadhi ya wachimbaji wadogo waliokuwa wameandamana, wakidai mmiliki wa leseni ya uchimbaji  kupunguza malipo ya ubia katika shughuli za uchimbaji wa dhahabu. Baadhi ya wachimbaji hao, wamedai kuwepo kwa ukosefu wa usawa katika mgao wa mifuko ya mawe yenye dhahabu, wakieleza kuwa hali…

Read More

SJMT NA SMZ ZAWEKA MIKAKATI KUIMARISHA MUUNGANO

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Dkt. Islam Seif Salum (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Richard Muyungi muda mfupi baada ya kuwasili katika Ofisi hizo Mjini Zanzibar leo Alhamisi Januari 22, 2026. ********************* Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali…

Read More

Kusimamia Uchumi wa Nepal Huku Kukiwa na Changamoto za Ulimwengu – Masuala ya Ulimwenguni

Nchi inakabiliwa na changamoto ya mpito, lakini inaweza kuendelea ikiwa watu watafanya kazi pamoja. Maoni na Krishna Srinivasan (washington dc) Alhamisi, Januari 22, 2026 Inter Press Service WASHINGTON DC, Januari 22 (IPS) – Nepal ina fursa ya kipekee ya kuleta mabadiliko. Maandamano ya hivi majuzi yaliyoongozwa na vijana yalisisitiza matarajio ya uwazi zaidi, utawala bora…

Read More

Familia yagoma kuzika mwanafunzi anayedaiwa kukatwa na jembe shuleni

Shinyanga. Mwanafunzi Kassim Omary (12) wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Bukindwasali iliyopo Ushetu mkoani Shinyanga, amefariki dunia akidaiwa kukatwa kichwani na jembe wakati anachimba mchanga. Tukio hilo lilitokea Januari 21, 2026 wakati wanafunzi hao wakichimba mchanga kwa ajili ya ukarabati wa darasa uliokuwa ukiendelea shuleni hapo. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Janeth…

Read More

Takukuru yatangaza kuwasaka Alex Msama na Benny Sammoh

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni imeanza msako wa kuwatafuta Alex Msama na Benny Sammoh ili wajibu mashtaka yanayohusisha uhalifu wa kifedha. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Alhamisi, Januari 22, 2026, Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kinondoni, Elizabeth Mokiwa, amesema washtakiwa hao…

Read More