Wawili wafutiwa kesi na DPP, tisa waendelea kusota tuhuma wizi wa Sh5.7 bilioni
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia kesi ya uhujumu uchumi na kuwaachia huru washtakiwa wawili kati 11 waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni kwa udanganyifu mali ya Benki ya Equity Tanzania Limited. Mahakama hiyo imewafutiwa mashtaka yao, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini…