Rais Samia: Utumishi wa dini ni ule unaoijenga jamii

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amelipongeza Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa wazo la kujenga kituo kwa ajili ya watoto wenye uhitaji maalumu huku akieleza kuwa, huo ndiyo utumishi wa dini. Amesema KKKT imeendelea kuonesha kwa vitendo namna inavyoshirikiana na Serikali kusaidia jamii hasa katika elimu na afya huku ikifanya kazi…

Read More

Kilio cha wajane kuelekea siku yao, Serikali kuja na mwongozo

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya wajane kesho Juni 23, mila kandamizi, umaskini, kukosa uelewa wa kisheria na changamoto za kisaikolojia zimeendelea kuwa kikwazo kwa kundi hilo. Baadhi ya wajane waliozungumza na Mwananchi wameeleza licha ya jitihada mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kundi hilo linapata haki zinazostahili bado kuna namna…

Read More

WAZIRI SANGU: MADEREVA 800 WAAJILIWA QATAR

Na. OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza diplomasia ya uchumi na upatikanaji wa ajira. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu wakati wa hafla ya kuadhimisha…

Read More

Burundi yarekodi visa vya kwanza vya mpox – DW – 26.07.2024

Mpox, zamani monkeypox, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vinavyohamishwa kwa binadamu kutoka wanyama walioambukizwa na ambavyo vinaweza kuambukiza miongoni mwa wanadamu kupitia kugusana kimwili. Mlipuko wa kimataifa miaka miwili iliyopita ulipelekea shirika la afya duniani, WHO, kuitangaza mpox kuwa janga la dharura la kiafya linalozusha wasiwasi kimataifa, ambayo ni tahadhari kubwa zaidi linaloweza…

Read More