MPINA SASA RASMI ACT WAZALENDO,ACHUKUA FOMU YA URAIS

………………………. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina ni mwanachama halali wa Chama cha ACT Wazalendo na tayari ameshakabidhiwa fomu ya kugombea urais wa chama hicho. Taarifa za uhakika ndani ya ACT-Wazalendo zinasema, mwanasiasa huyo tayari amekabidhiwa kadi ya chama hicho cha upinzani na fomu ya urais jana Jumatatu, Agosti 4, 2025….

Read More

Watatu mbaroni tuhuma za kuwauzia wakulima mbegu feki

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI), limefanikiwa kuwakamata watu watatu wanaotuhumiwa kuwauzia mbegu feki wananchi katika kijiji cha Kidugala wilayani Wanging’ombe. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Januari 16, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Read More

Sakata la mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo laibuka bungeni

Dodoma. Sakata la mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, jijini Dar es Salaam limeibuka bungeni, huku Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu akisema Serikali itatoa taarifa baada ya kikao kati yake na kamati ya wafanyabiashara kukamilika. Sakata hilo limeibuka leo Jumatatu Juni 24,2024 bungeni jijini Dodoma baada ya Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma kuomba mwongozo…

Read More

KYENGA:Nilimgomea kocha kwenda kwa mganga ili nishinde

KUTOKA Nyanda za Juu Kusini katika Mkoa wa Mbeya na mkoa mpya wa Songwe, jina la Alto Kyenga katika mchezo wa ngumi za kulipwa lina heshima na ukubwa wake kutokana na kuutendea haki mchezo huo licha ya figisu alizowahi kukutana nazo. Lakini, huenda kwa wale mashabiki wa mchezo huo kupitia runinga wakashindwa kumtambua kabisa bondia…

Read More

Israel:Kuna uwezekano kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar ameuawa – DW – 17.10.2024

Jeshi la Israel limesema kuna uwezekano mkubwa kuwa Sinwar ameuawa na kwamba kwa sasa wanasubiri majibu ya vipimo vya vijinasaba (DNA), lakini wakasisitiza kuwa katika hatua hii, hawajaweza kuthibitisha utambulisho wa wale iliyowaita “magaidi”. Sinwar, anachukuliwa kama mratibu mkuu wa shambulio la Oktoba 7 mwaka jana dhidi ya Israel ambalo lilisababisha vifo vya karibu watu…

Read More

Washiriki Guru Nanak wamuenzi Pano

WASHIRIKI wa mbio za magari ya Guru Nanak, wamemuenzi dereva Pano Calavria, aliyefariki dunia hivi karibuni, kutokana na jitihada zake za kuutangaza mchezo huo nchini na kuwa kivutio cha madereva kutoka nje ya nchi. Pano aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuugua muda mrefu, kifo chake kimetokea kipindi ambacho madereva wa…

Read More

Taasisi za Serikali zinavyosigana, kuibua migongano Zanzibar

Unguja. Wakati kukiwa na malalamiko ya kuendesha shughuli, biashara na ujenzi usiofuata taratibu, imebainika baadhi ya taasisi za Serikali kusababisha tatizo hilo na kuibua migongano huku kila upande ukijiangalia badala ya kuangalia masilahi ya umma na Serikali. Kadhalika, imebainika nyumba za biashara hususani hoteli hazina mikataba ya ukodishwaji wa ardhi jambo ambalo linatajwa kuikosesha mapato…

Read More