EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli Novemba
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano Novemba 1, 2025 saa 6:01 usiku.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano Novemba 1, 2025 saa 6:01 usiku.
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amelipongeza Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa wazo la kujenga kituo kwa ajili ya watoto wenye uhitaji maalumu huku akieleza kuwa, huo ndiyo utumishi wa dini. Amesema KKKT imeendelea kuonesha kwa vitendo namna inavyoshirikiana na Serikali kusaidia jamii hasa katika elimu na afya huku ikifanya kazi…
Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya wajane kesho Juni 23, mila kandamizi, umaskini, kukosa uelewa wa kisheria na changamoto za kisaikolojia zimeendelea kuwa kikwazo kwa kundi hilo. Baadhi ya wajane waliozungumza na Mwananchi wameeleza licha ya jitihada mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kundi hilo linapata haki zinazostahili bado kuna namna…
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameweka Jiwe la Msingi kwenye kituo cha biashara za Maziwa Zanzibar Kituo hicho chenye lengo la kutatua changamoto ya masoko ya maziwa na bidhaa za maziwa kimejengwa kwa udhamini wa TADB kupitia Mradi Shirikishi wa Wasindikaji na Wazalishaji wa Maziwa Tanzania (TI3P) kwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua barabara ya Mbinga – Mbamba Bay yenye urefu wa kilometa 66 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami Mkoani Ruvuma, leo Septemba 25, 2024. Ujenzi wa Barabara ya Mbinga – Mbamba Bay (km 66) umesimamiwa na Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara…
Na. OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza diplomasia ya uchumi na upatikanaji wa ajira. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu wakati wa hafla ya kuadhimisha…
KWA mara nyingine tena, Meridianbet imeonesha kuwa iko pamoja na jamii – si kwa maneno tu, bali kwa vitendo. Leo hii, timu ya Meridianbet imefika katika maeneo ya Makumbusho na Mwananyamala, kwa lengo la kuwagusa wale ambao kwa namna moja au nyingine wanapitia changamoto za maisha. Katika moyo wa upendo na mshikamano wa kijamii, Meridianbet…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 4, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 4, 2024 first appeared on Millard Ayo.
**** Na Abdallah Nassoro- ZANZIBAR Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika kambi ya matibabu ya kibigwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo, mishipa ya fahamu, magonjwa ya ndani na fiziotherapia kwa maofisa habari wa serikali na wananchi katika viwanja vya Amani, Zanzibar. Kambi hiyo imeanza leo Alhamis Aprili 3, 2025…
Mpox, zamani monkeypox, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vinavyohamishwa kwa binadamu kutoka wanyama walioambukizwa na ambavyo vinaweza kuambukiza miongoni mwa wanadamu kupitia kugusana kimwili. Mlipuko wa kimataifa miaka miwili iliyopita ulipelekea shirika la afya duniani, WHO, kuitangaza mpox kuwa janga la dharura la kiafya linalozusha wasiwasi kimataifa, ambayo ni tahadhari kubwa zaidi linaloweza…