Marietha anavyojitegemea kupitia kazi ya bodaboda

Dar es Salaam. Akiwa amekulia katika mazingira ya kawaida ya kifamilia mkoani Manyara, alilazimika kuagana na nyumbani kwao, ndugu na marafiki, akibeba matumaini moyoni, akiamini kuwa jiji kubwa la Dar es Salaam lingeweza kufungua ukurasa mpya wa maisha yake. Hakukuwa na uhakika wa kazi wala ndugu wa karibu wa kumtegemea, kilichomsukuma ni shauku ya kujitegemea…

Read More

Samia aahidi neema kwa wakulima wa tumbaku

Uyui. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa tumbaku mkoani Tabora kulipwa madai yao ya fedha na kwamba Serikali iko kwenye mazungumzo na kampuni mbili zinazodaiwa. Samia amebainisha hayo leo Septemba 11, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Wilaya ya Uyui,…

Read More

Wanawake nchini Lebanon walilazimishwa kujifungua kando ya barabara – Masuala ya Ulimwenguni

“Kuna wanawake wajawazito 11,600 ambao wameathirika, 4,000 wanatarajiwa kujifungua katika muda wa miezi mitatu ijayo,” alisema Anandita Philipose, Mwakilishi wa Lebanon katika hazina ya Umoja wa Mataifa ya idadi ya watu. UNFPA. “Wengi wa wanawake hawa wamelazimika kutoka makwaokukatishwa huduma muhimu za afya na kulazimishwa kujifungua katika mazingira hatarishi, wengine hata kando ya barabara.” Hali…

Read More

Ukifunga kamera za CCTV unapaswa kufahamu haya

Dar es Salaam. Kama umefunga kamera za usalama (CCTV) nyumbani kwako, taasisi au kwenye kampuni, yapo mambo matatu ya kuzingatia ili kutoingilia faragha za watu na kuangukia kwenye mkono wa sheria. Kwa mujibu wa Tume ya Ulinzi na Taarifa Binafsi (PDPC) mtu aliyefunga kamera za usalama nyumbani kwake, hususan getini ambapo watu hupita, anapaswa kuweka…

Read More

Mzozo Mashariki ya Kati kuathiri bei ya mafuta duniani

Mashambulizi yanayoendelea Mashariki ya Kati yanahofiwa kupandisha bei ya mafuta duniani kutokana na mataifa katika ukanda huo kuwa wazalishaji wakubwa wa mafuta, jambo litakalochochea kupungua kwa mafuta katika soko la dunia. Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran jana Jumamosi, Februari 28, 2026, zikiwalenga viongozi wake na kuitumbukiza Mashariki ya Kati katika mzozo mpya…

Read More

Gueye, Oura wamuibua Barker | Mwanaspoti

VIWANGO vya nyota wapya wa Simba, Libasse Guaye na Anicet Alain Oura, ambao wamesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026, vimeanza kuvutia katika safu ya ushambuliaji ya wekundu wa Msimbazi huku kocha Steve Barker akitaka kuona muendelezo kutoka kwa wachezaji hao. Guaye amefunga…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More