Mwanafunzi afariki dunia akichimba mchanga shuleni, familia yakataa kuzika
Shinyanga. Mwanafunzi Kassim Omary (12) wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Bukindwasali iliyopo Ushetu mkoani Shinyanga, amefariki dunia akidaiwa kukatwa kichwani na jembe wakati anachimba mchanga. Tukio hilo lilitokea Januari 21, 2026 wakati wanafunzi hao wakichimba mchanga kwa ajili ya ukarabati wa darasa uliokuwa ukiendelea shuleni hapo. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Janeth…