Peace Solution Tanzania Yajipanga Kulinda Amani ya Taifa

Taasisi ya Peace Solution Tanzania (PST) imeendesha mafunzo kwa maofisa wake jijini Dar es Salaam leo, Septemba 13, 2025, kwa lengo la kuwajengea uwezo kabla ya kwenda kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kuilinda na kuienzi amani ya nchi. Akizungumza katika kikao hicho cha kitaifa, Kamishna Mkuu wa PST, Dkt. Meshack Stanley Chiburwa, alisema kuna baadhi…

Read More

MAELFU WAJITOKEZA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA ITWANGI

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi.Wananchi wakiwa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Jimbo la Itwangi mkoani Shinyanga Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi, kulia ni Mgeni rasmi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (MNEC) Munde Tambwe Na…

Read More

Watu 700 kutibiwa mtoto wa jicho Songwe

Mbeya. Zaidi ya wananchi 700 wakiwemo wazee waishio maeneo ya pembezoni mkoani Songwe, wanatarajia kunufaika na huduma uchunguzi wa mtoto wa jicho na upasuaji bure kwa lengo la kurejesha matumaini. Kambi hiyo iliyoanza leo Jumamosi Septemba 13 mpaka 19 mwaka huu, itahusisha madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) na Mkoa wa…

Read More

Mke wa diwani atokwa chozi la furaha akimnadi mume wake

Mbeya. Mke wa mgombea udiwani Kata ya Ruanda, Lydia Kibonde amejikuta akitokwa chozi la furaha wakati akimnadi mumewe, Isack Mwakubombaki na kutoa shukurani kwa wajumbe na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kumpitisha kugombea nafasi hiyo kwenye uchaguzi mkuu ujao. Lydia akizungumza leo Septemba 13, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa mgombea huyo, amesema anawashukuru…

Read More

Wanunuzi wadogo wa Tanzanite walia mfumo wa ununuzi usio rafiki

Mirerani. Madalali wadogo na wakati wa madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wameiomba Serikali kutunga kanuni zitakazowawezesha kununua kila asilimia 20 ya uzalishaji wa madini hayo. Hatua hiyo itawawezesha kufanyika  magulio ya madini, pindi migodi ikizalisha tofauti na sasa inavyofanyika kwa hiari. Baadhi ya madalali hao wadogo wameyasema hayo leo…

Read More