Nafasi za Kazi kwa Walimu wa Sekondari na Msingi – Dar es Salaam na Bagamoyo
Taasisi ya elimu inakaribisha maombi kutoka kwa walimu wenye sifa kujaza nafasi mbalimbali za kufundisha katika ngazi ya Sekondari (Ordinary Level) na Shule ya Msingi katika maeneo ya Dar es Salaam na Bagamoyo. Tunatafuta walimu wenye ari ya kufundisha, weledi, na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira ya taaluma na malezi. 1. Secondary School (Ordinary…