Mvua kubwa zazua hofu ya mafuriko nchini
Dar es Salaam. Mvua kubwa zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza hatari ya mafuriko, uharibifu wa miundombinu na changamoto za kiafya, huku wataalamu wakionya kuwa mabadiliko ya tabianchi na ukuaji wa kasi wa miji vinafanya matukio hayo kuwa ya mara kwa mara. Mvua hizo zilizoanza mwishoni mwa mwezi uliopita ni sehemu ya mwanzo wa msimu…