Mvua kubwa zazua hofu ya mafuriko nchini

Dar es Salaam. Mvua kubwa zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza hatari ya mafuriko, uharibifu wa miundombinu na changamoto za kiafya, huku wataalamu wakionya kuwa mabadiliko ya tabianchi na ukuaji wa kasi wa miji vinafanya matukio hayo kuwa ya mara kwa mara. Mvua hizo zilizoanza mwishoni mwa mwezi uliopita ni sehemu ya mwanzo wa msimu…

Read More

Wacongo kumpa muhula wa Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara ya kikazi mkoani Geita kukagua miradi inayosimamiwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), ambapo imemwagiwa sifa kwa mapinduzi ya teknolojia kwa wachimbaji wadogo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo katika eneo la Katente, Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ameeleza kuwa serikali kupitia…

Read More

Migogoro ya ardhi bado mfupa mgumu

Dar es Salaam. Migogoro ya ardhi imeendelea kuwa mfupa ulioshindikana kuvunjika, baada ya malalamiko yake kutawala ziara za Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine. Awali, Serikali ilitangaza hatua mbalimbali, ikiwamo upimaji wa ardhi na utoaji wa hati za kimila hasa vijijini, lakini hazikuwa muarobaini wa changamoto migogoro hiyo. Malalamiko zaidi yaliyowasilishwa na wananchi…

Read More

NELLA ANNOUNCES NEW SINGLE “LUKAKU” — THE AFROFUSION ANTHEM THAT POSITIONS HER AS ONE TO WATCH

Cameroon-born, LA-raised Afrofusion artist releases her most personal work yet — a mid-tempo empowerment anthem produced by acclaimed producer Mystro Sugar and mixed by Grammy-nominated mixing engineer Giggz LOS ANGELES, CA — March 6, 2026 — Nella, the Cameroonian-born, Bamiléké Afrofusion artist raising from Los Angeles and Houston, today announces the release of her new…

Read More

Sintofahamu madai ya kutoonekana hadharani kwa Netanyahu

Dar es Salaam. Kumekuwa na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu hatima ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huku madai yasiyothibitishwa yakisambaa, yakidai kuwa huenda kiongozi huyo amejeruhiwa, amejificha, au ameuawa. Katika siku za hivi karibuni, machapisho mengi kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii yamekuwa yakidai kuwa Netanyahu hajulikani alipo, hali iliyozua maswali mengi…

Read More

Mary Chatanda kuongoza kongamano la CCM China kwa njia mtandao

Na: Mwandishi Wetu Wanachama wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la China (Diaspora), limeandaa Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 kwa njia ya mtandao (Google Meeting) ili kujadili masuala mbalimbali ya kimaendeleo yamuhusuyo mwanamke. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Machi 15, 2026, majira ya saa tisa kamili alasiri hadi saa kumi na mbili…

Read More

Wanne waliohukumiwa kunyongwa waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani, imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa watu wanne waliokutwa na hatia ya mauaji na kuamuru waachiliwe huru baada ya kubaini kulikuwa na kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi yao. Agosti 15, 2018 walidaiwa kumuua mke wa  mfanyabiashara wa dhahabu, Mwasi Kakolo na kuiba fedha Sh30 milioni na gramu 260…

Read More