Mwanafunzi afariki dunia akichimba mchanga shuleni, familia yakataa kuzika

Shinyanga. Mwanafunzi Kassim Omary (12) wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Bukindwasali iliyopo Ushetu mkoani Shinyanga, amefariki dunia akidaiwa kukatwa kichwani na jembe wakati anachimba mchanga. Tukio hilo lilitokea Januari 21, 2026 wakati wanafunzi hao wakichimba mchanga kwa ajili ya ukarabati wa darasa uliokuwa ukiendelea shuleni hapo. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Janeth…

Read More

CMA yaja na mkakati kuharakisha utatuzi migogoro kazini

Dar es Salaam. Suala la kusafiri kufuata mahakama kwa ajili ya utatuzi na usuluhishaji wa migogoro ya kazi halitakuwepo tena, baada ya kuanzishwa kwa mfumo mpya wa kidijitali wa e-Utatuzi, unaoruhusu usajili wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi kwa njia ya mtandao. Mfumo huo, uliozinduliwa jana Jumatano, Januari 21, 2026 jijini Dar es Salaam, unalenga…

Read More

Paul Peter anazitaka hela dirisha kubwa

KUMBUKUMBU tuliyonayo hapa kijiweni ni straika wa mpira, Paul Peter alishawahi kuonja hela za timu kubwa hapa nchini ingawa hazikuwa nyingi sana kwa vile alikuwa bado kinda wakati huo. Ni kipindi alipopandishwa katika kikosi cha wakubwa cha Azam FC baada ya kuonyesha kiwango kizuri akiwa na timu yao ya vijana. Hata hivyo, kutokana na uwingi…

Read More

Mv New Mwanza kuzinduliwa kesho

Mwanza. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua safari za meli ya MV New Mwanza kesho Ijumaa, Januari 23, 2026, katika Bandari ya Mwanza Kusini, baada ya ujenzi wake kukamilika kwa gharama ya zaidi ya Sh120 bilioni. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi, Januari 22, 2026, jijini Mwanza, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa…

Read More

Historia ya usajili inaibeba Singida BS

SINGIDA Black Stars kama ilivyo kawaida, dirisha hili kikosi chake kimepanguliwa tena baada ya kuondoka kwa baadhi ya wachezaji nyota. Tunasema ni kawaida kwa sababu karibia kila dirisha la usajili liwe kubwa au dogo, timu hiyo kutokea katikati ya Tanzania imekuwa ikiondokewa na wachezaji muhimu kikosini na wengi wao huenda timu za hapahapa Bongo. Kwa…

Read More

Mutale, Chamou wasiilaumu Simba | Mwanaspoti

KUNA fagio moja kubwa linaendelea Simba dirisha hili dogo la usajili hasa likihusu wachezaji wa kigeni huku timu hiyo ikishusha vifaa vipya. Steven Mukwala, Jean Charles Ahoua, Moussa Camara, Chamou Karaboue na Joshua Mutale wote hawatokuwa na Simba katika miezi iliyobakia hadi msimu utakapomalizika. Kipa Moussa Camara anawekwa nje ya orodha ya usajili hadi msimu…

Read More

TGU, R&A, Peninsula Club yanoa makocha wa gofu

JUMLA ya makocha 16 wa mchezo wa gofu wamepata mafunzo kwa ajili ya kuwafundisha wachezaji chipukizi hapa nchini. Mafunzo hayo Community Golf Instructor (CGI) yanaendeshwa na wakufunzi wa kimataifa kutoka Shirikisho la Gofu R&A kwa kushirikiana na Chama cha Gofu Tanzania (TGU na The Peninsula Club), yanalenga kuimarisha maendeleo ya mchezo huo hapa nchini hususan…

Read More

Washtakiwa walivyokiri kuchepusha mzigo, waridhia lori lao kutaifishwa

Dar es Salaam. Washtakiwa wanne wa kesi ya uhujumu uchumi wamekiri mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili yakiwemo kuchepusha mzigo kutoka nje iliyokuwa imeidhinishwa na kukwepa kodi zaidi ya Sh125 milioni. Pia, washtakiwa hao wameilipa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Sh125.5 milioni ambazo ni kodi waliyokuwa wameikwepa, fidia ya Sh24 milioni, huku mahakama ikiwahukumu kifungo cha nje cha…

Read More