
Mchengerewa azipa kibarua halmashauri 45
Mbeya. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Mohamed Mchengerwa ameagiza halmashauri 45 zilizopitiwa na mradi wa Uboreshaji wa Miji Tanzania (Tactic), kujiendesha kupitia masoko na vituo vya mabasi ili kuongeza mapato. Mchengerwa ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Julai 27, 2024 mkoani hapa wakati akishuhudia utiaji saini ujenzi wa mradi wa stendi ya mabasi eneo…