Serikali Yajenga Vituo 472 vya Polisi Hadi Ngazi ya Kata

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv SERIKALI imeendelea kuliimarisha jeshi la polisi kwa kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza miundombinu, ambapo vituo vya polisi 472 vimejengwa hadi ngazi ya kata na shehia. Ameyasema hayo leo Juni 27, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha shughuli za…

Read More

Bao lampa mzuka Ngushi Mashujaa

NYOTA wa zamani wa Yanga na Coastal Union, anayekipiga kwa sasa Mashujaa, Crispin Ngushi juzi alifunga bao pekee lililoizamisha Coastal Union nyumbani na kuipa timu hiyo ushindi wa pili kitu alichodai kimempa mzuka akisisitiza kwa msimu huu kila mechi kwake ni fainali ili atimize lengo kurudi timu kubwa. Ngushi, aliyesajiliwa na Mashujaa katika dirisha lililopita,…

Read More

Mtanzania ateuliwa bosi Umoja wa Afrika

Dar es Salaam. Tanzania imeendelea kung’ara katika nyanja za kimataifa baada ya Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk John Rwegasha kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Tiba, Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU). Dk Rwegasha ambaye anatarajiwa kuanza kazi Februari 2025 katika nafasi hiyo mpya amesema…

Read More

TSA, Waturuki kuziinua kampuni changa nchini

Dar es Salaam. Katika kukuza kampuni changa nchini, Chama cha Kampuni Changa Tanzania (TSA) kimeingia makubaliano na kampuni ya uturuki ya AfrIcapital Investment Holdings Ltd, kwa lengo  kusaidia na kuwezesha upatikanaji rahisi wa masoko na mitaji kwa biashara changa. Chama hicho kimesema kina matumaini makubwa ya kupata matokeo mazuri kutokana na ushirikiano huu utakaodumu kwa…

Read More

Matumaini & Kukata Tamaa – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Anis Chowdhury (Sydney) Jumatatu, Januari 13, 2025 Inter Press Service SYDNEY, Jan 13 (IPS) – Tunamshukuru Mungu, tumenusurika mwaka mwingine wa mauaji ya halaiki, vita, uharibifu na mgogoro wa hali ya hewa. Mwaka unaopita wa 2024 umekuwa mchanganyiko wa matumaini na kukata tamaa. Ilianza kwa matumaini huku Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ)…

Read More