WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA RAIS KWA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO INAYOWAGUSA WANANCHI WOTE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe amempongeza Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha uongozi kwa kujipambanua kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo inayowagusa wananchi wa chini moja kwa moja Ametoa kauli…