Sita wauawa, 86 wajeruhiwa shambulizi la mabomu Yemen

Shambulio hilo limefanywa na Jeshi la Israel (IDF) katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa kutumia makombora na ndege zisizokuwa na rubani likilenga kituo cha mafuta na Ikulu. Dodoma. Watu sita wameuwawa  na wengine 86 kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililofanywa na vikosi vya Israel mjini  Sanaa nchini Yemen Jumapili ya Agosti 24, 2025. Al…

Read More

Thamani ya Yanga yaizidi hadi Al Ahly

MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni. Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo ni Euro 30 Milioni ambao ni zaidi ya Sh 88 bilioni) ikiwa ni zaidi ya…

Read More

Apata kitita cha Sh30 milioni akiibuka kidedea usomaji Quran

Unguja.  Abdulazizi Ali Khamis amepata kitita cha Sh30 milioni baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika Zanzibar. Mashindano hayo yanayofanyika kwa mara ya tatu mfululizo, yamewashirikisha washiriki 11 kutoka mabara sita katika mataifa ya Uingereza, Brazir, Comoro, Tunisia, Australia, Afrika Kusini, Marekani, Nigeria, Tanzania na mwenyeji Zanzibar. Mshindi wa pili kutoka nchini…

Read More

Wananchi Ugalla wajenga kituo cha afya kwa nguvu zao

Tabora. Wananchi wa vijiji vitatu vilivyopo katika Kata ya Ugalla tarafa ya Ussoke Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora, wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 15 kufuata huduma za afya ambapo ni zaidi ya miaka 20 wanaishi katika adha hiyo. Wamebainisha adha hiyo leo Septemba 17, 2025 ambapo wameanzisha ujenzi wa kituo cha afya…

Read More

Wasira ataja ishara ya ushindi kwa CCM uchaguzi mkuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Watanzania wako tayari kwa uchaguzi na kwamba, idadi wanaoshiriki kwenye mikutano ya hadhara kusikiliza sera za wagombea ni ishara tosha. Ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 25, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni kunadi sera za chama hicho, ambapo alikuwa mgeni rasmi. Amesema mikutano…

Read More

UNDP, Serikali ya Uingereza Yawakutanisha Viongozi wa Vyuo Vikuu Kuchochea Ubunifu na Ujasiriamali Zanzibar

 Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania), kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Chuo cha Indian Institute of Technology Madras Zanzibar (IIT Madras Zanzibar), limewakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, watunga sera na wadau wa mifumo ya ubunifu kutoka Afrika Mashariki kuanzia Machi 4–6, 2026, katika Mpango wa Kihistoria wa…

Read More

Manara aibua shangwe kwa Mkapa 

KAMA kawaida ya Haji Manara awamu hii ameingia na warembo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salamaa panakpofanyika tamasha la Wiki ya Mwananchi. Hilo ni tamasha la saba kwa Yanga tangu lilipoanzishwa 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk Mshindo Msolla. Manara amevalia nguo za kijani, ambapo baada ya mashabiki kumuona walishangilia…

Read More

Sababu mmoja kati ya wanne kupata mimba utotoni zatajwa

Dodoma. Wakati msichana mmoja kati ya wanne akipata mimba kati ya miaka 15-19, wataalamu wa afya wamesema ukimya wa wazazi, jamii na malezi yasiyofaa ndio chanzo cha wengi kuingia katika janga hilo. Wameeleza kuwa kutokujua ni lini mzazi aanze kuzungumza na kijana wake wa kike, kiume kuhusu afya ya uzazi huchangia mtoto kupata elimu isiyofaa…

Read More