Wanne waliohukumiwa kunyongwa waachiwa huru
Arusha. Mahakama ya Rufani, imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa watu wanne waliokutwa na hatia ya mauaji na kuamuru waachiliwe huru baada ya kubaini kulikuwa na kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi yao. Agosti 15, 2018 walidaiwa kumuua mke wa mfanyabiashara wa dhahabu, Mwasi Kakolo na kuiba fedha Sh30 milioni na gramu 260…