Mv New Mwanza kuzinduliwa kesho

Mwanza. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua safari za meli ya MV New Mwanza kesho Ijumaa, Januari 23, 2026, katika Bandari ya Mwanza Kusini, baada ya ujenzi wake kukamilika kwa gharama ya zaidi ya Sh120 bilioni. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi, Januari 22, 2026, jijini Mwanza, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa…

Read More

Historia ya usajili inaibeba Singida BS

SINGIDA Black Stars kama ilivyo kawaida, dirisha hili kikosi chake kimepanguliwa tena baada ya kuondoka kwa baadhi ya wachezaji nyota. Tunasema ni kawaida kwa sababu karibia kila dirisha la usajili liwe kubwa au dogo, timu hiyo kutokea katikati ya Tanzania imekuwa ikiondokewa na wachezaji muhimu kikosini na wengi wao huenda timu za hapahapa Bongo. Kwa…

Read More

Mutale, Chamou wasiilaumu Simba | Mwanaspoti

KUNA fagio moja kubwa linaendelea Simba dirisha hili dogo la usajili hasa likihusu wachezaji wa kigeni huku timu hiyo ikishusha vifaa vipya. Steven Mukwala, Jean Charles Ahoua, Moussa Camara, Chamou Karaboue na Joshua Mutale wote hawatokuwa na Simba katika miezi iliyobakia hadi msimu utakapomalizika. Kipa Moussa Camara anawekwa nje ya orodha ya usajili hadi msimu…

Read More

TGU, R&A, Peninsula Club yanoa makocha wa gofu

JUMLA ya makocha 16 wa mchezo wa gofu wamepata mafunzo kwa ajili ya kuwafundisha wachezaji chipukizi hapa nchini. Mafunzo hayo Community Golf Instructor (CGI) yanaendeshwa na wakufunzi wa kimataifa kutoka Shirikisho la Gofu R&A kwa kushirikiana na Chama cha Gofu Tanzania (TGU na The Peninsula Club), yanalenga kuimarisha maendeleo ya mchezo huo hapa nchini hususan…

Read More

Washtakiwa walivyokiri kuchepusha mzigo, waridhia lori lao kutaifishwa

Dar es Salaam. Washtakiwa wanne wa kesi ya uhujumu uchumi wamekiri mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili yakiwemo kuchepusha mzigo kutoka nje iliyokuwa imeidhinishwa na kukwepa kodi zaidi ya Sh125 milioni. Pia, washtakiwa hao wameilipa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Sh125.5 milioni ambazo ni kodi waliyokuwa wameikwepa, fidia ya Sh24 milioni, huku mahakama ikiwahukumu kifungo cha nje cha…

Read More

Mpole, Martin kuna jambo Tanzania Prisons

TANZANIA Prisons imefikia pazuri katika mazungumzo ya kuwasajili wachezaji watatu wa eneo la ushambuliaji ambao ni George Mpole, Emmanuel Martin na Gustavo Simon. Chanzo cha ndani kutoka Prisons kilisema mazungumzo na wachezaji hao yalianza juzi na yamefikia pazuri, hivyo huenda wakasaini mkataba wa mwaka mmoja, wakiwatarajia wataongeza nguvu ya kuhakikisha timu inapanda nafasi za juu…

Read More

Kiiza: Kwa Okello, Yanga imelamba karata dume

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Hamis Kiiza ‘Diego’ amemtabiria makubwa kiungo mpya wa timu hiyo, Allan Okello ‘Star boy’, huku akisema Yanga imelamba dume kwa nyota huyo wa Uganda akiamini atafanya mambo makubwa ndani ya klabu hiyo na kuandika rekodi yake mwenyewe huku akiitaja nidhamu yake kuwa ndio itakayombeba. …

Read More