
TANZANIA NA ALGERIA KUSHIRIKIANA KATIKA UPATIKANAJI WA DAWA SALAMA,BORA NA FANISI
:::::: Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya Tanzania uluoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkr. Adam Fimbo pamoja na Balozi wa…