Mv New Mwanza kuzinduliwa kesho
Mwanza. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua safari za meli ya MV New Mwanza kesho Ijumaa, Januari 23, 2026, katika Bandari ya Mwanza Kusini, baada ya ujenzi wake kukamilika kwa gharama ya zaidi ya Sh120 bilioni. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi, Januari 22, 2026, jijini Mwanza, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa…