Wanne waliohukumiwa kunyongwa waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani, imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa watu wanne waliokutwa na hatia ya mauaji na kuamuru waachiliwe huru baada ya kubaini kulikuwa na kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi yao. Agosti 15, 2018 walidaiwa kumuua mke wa  mfanyabiashara wa dhahabu, Mwasi Kakolo na kuiba fedha Sh30 milioni na gramu 260…

Read More

OMO aonesha matumaini mazungumzo na Serikali Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewaondoa wasiwasi wanachama na wananchi, akiwataka wawe watulivu kwa kuwa mazungumzo ya kuleta suluhu ya kisiasa Zanzibar yanaendelea vizuri. Kauli ya Othman inakuja wakati ambapo chama chake kiko katikati ya mazungumzo na CCM na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusu mustakabali wa siasa na uamuzi wa…

Read More

Watafiti wabaini aina sita za uyoga zinazopatikana Tanzania pekee

Morogoro. Wataalamu na watafiti wa uyoga pori, wamesema tafiti mbalimbali zilizofanywa zimebaini kuwepo kwa aina sita za uyoga zinazopatikana Tanzania pekee, hali inayoiweka nchi katika nafasi nzuri ya kukuza zao hilo katika soko la kimataifa. Sambamba na hilo, wamesema wameanza mkakati wa kuongeza tafiti za kisayansi ili kuimarisha uzalishaji wa zao hilo kibiashara na kulipendekeza…

Read More

Mbongo asaini miwili Uturuki | Mwanaspoti

MTANZANIA mwingine Emmanuel Mlefu amejiunga na Sisli Yeditepe inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki kwa mkataba wa miaka miwili. Mlefu anaungana na Mtanzania mwenzie Shedrack Hebron ambaye yupo klabuni hapo tangu msimu wa 2023 akitokea Sauti Para Sports ya Tanzania na ndiye aliyefanikisha dili hilo kwa kushawishi mabosi wa timu hiyo kumsajili. Akizungumza na Mwanaspoti, Hebron…

Read More

Ukizubaa ZPL umeachwa mapema | Mwanaspoti

ULE uhondo na utamu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) unatarajiwa kuendelea Machi 28, 2026 baada ya ligi hiyo kusimama kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaokaribia ukingoni. Katika mzunguko huu wa mwisho wa ligi hiyo, zimesalia mechi 10 kila timu baada ya kuchezwa 20 kati ya 30 na tamati ya ligi hiyo itakuwa Mei…

Read More

Atupwa jela miaka 12 kwa kumuua mkewe

Mtwara. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mtwara, imemuhukumu kifungo cha miaka 12 jela Ally Abrahaman (45), mkazi wa Kijiji cha Mbagala-Mbuyuni, Kata ya Mkokona mkoani Mtwara, baada ya kupatikana na hatia ya kuua bila kukusudia. Abrahaman alipatikana na hatia ya kumsababishia kifo Catherine Chivale (69), ambaye ni mkewe, baada ya kumshambulia kwa kumpiga sehemu…

Read More