Vyama vya siasa Mbeya vyaanzisha umoja kusaidiana

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimeahidi kubeba gharama za matibabu kumsaidia Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Hamad Mbeyale, aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya. Pia kimependekeza kuundwa kwa umoja na ushirikiano baina ya vyama vya siasa mkoani humo, wenye lengo la kusaidiana wakati wa shida na…

Read More

Kocha Pamba afungua ‘code’ ya Simba

WAKATI Pamba Jiji ikijipanga kuipokea Simba SC, kocha wa kikosi hicho, Francis Baraza amesema kazi kubwa waliyonayo ni kuwashika wekundu hao pabaya. Mechi hiyo itakayochezwa Machi 19, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Baraza alisema eneo lenye nguvu zaidi kwa Simba ni kiungo, hivyo watadili nalo kuhakikisha wanapata ushindi kirahisi wakiwa nyumbani….

Read More

Ijue sayansi ya malezi ulee watoto sio kuwafuga

Malezi na makuzi ya mtoto ni jukumu kubwa na la msingi kwa mzazi. Katika ulimwengu wa sasa, ambapo changamoto za kijamii na kiteknolojia zimekuwa nyingi, wazazi wanapaswa kujikita zaidi katika kuzingatia sayansi ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto. Hii ni kwa sababu hatua za awali za maisha ya mtoto huunda msingi wa…

Read More

Jaji mstaafu, mawakili walinyooshea kidole Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Robert Makaramba kukosoa kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kumshambulia wakili Deogratius Mahinyila katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mawakili wameeleza kwamba kitendo hicho ni kuingilia uhuru wa Mahakama. Katika tukio hilo la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa…

Read More