Tanzania, Kenya zaungana matumizi bora ya maji Mto Mara
Butiama. Nchi za Tanzania na Kenya zinatarajiwa kuwa na mpango wa pamoja wa matumizi bora ya maji ya Mto Mara, hatua ambayo itasaidia katika usimamizi na uendelevu wa mto huo, ambao hivi sasa unakabiliwa na changamoto nyingi hasa za uharibifu wa mazingira na kutishia uhai wake. Kwa sasa tayari nchi hizo kila moja imeandaa mpango…