TANZANIA YAPATA SOKO LA KIMKAKATI LA ASALI UCHINA.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Tanzania na China leo zimesaini Itifaki ya kuuza Asali ya Tanzania nchini China huku Serikali ya Tanzania ikitoa wito kwa watanzania kuchangamkia fursa ya kuzalisha asali yenye ubora kwa wingi ili kuinua vipato vyao na uchumi wa taifa kwa ujumla.  Soko la China lina zaidi ya watu bilioni 1.4…

Read More

Msikae kubishana kwenye vikao vya kutatua changamoto.

Baraza la Halmashauri ya wilaya ya Geita limewaonya Baadhi ya Viongozi katika kata watakao Kwenda kusimamia Mfuko wa Maafa ambao umeundwa kwa ajili ya kusaidia kutatua changamoto za Maafa wasiwe chanzo cha Mivutano katika vikao ambavyo vitaenda kutatua changamoto hizo. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani wilaya ya Geita , Charles Kazungu…

Read More

Rais Samia amesikiliza kilio cha wakazi wa Ngorongoro.

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais…

Read More

Seine-sational! Paris yatoa kwaheri ya ushindi kwa Olimpiki – DW – 12.08.2024

Cruise aliteremka kwenye waya mbele ya watazamaji 71,500, akashika bendera ya olimpiki na kurukia pikipiki, tukio lililowachangamsha wanariadha na mashabiki waliofurika katika uwanja wa Stade de France. Katika dondoo ya kile ambacho ulimwengu unaweza kutarajia wakati Michezo hiyo itakapoelekea Los Angeles mnamo 2028, nyota huyo wa “Mission Impossible” kisha alionyeshwa akipanda ndege na kuruka angani…

Read More

Muga: Hakuna uonevu uchaguzi wa TLS, watu wasichanganye na siasa

Na Mwandishi Wetu MGOMBEA wa Urais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika(TLS), Emmanuel Muga, amesema hakuna uoenevu kwenye uchaguzi wa Urais ndani ya chama hichovkama inavyoelezwa na baadhi ya watu. Muga alitoa kauli hiyo kwenye mdahalo wagombea wa kinyang’anyiro hicho ulioendeshwa na kituo cha Televisheni cha Star Tv na kushirikisha wagomnea wote sita. Alikuwa akijibu swali…

Read More

THBUB YATOA RIPOTI YA CHUNGUZI MBALIMBALI ILIZOFAFANYA KWA MWAKA 2023/24, LIPO SUALA LA GEKUL NA MAKONDA

Na Gideon Gregory Dodoma. Imeelezwa kuwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwasasa imeongeza kasi ya ushughulikiaji wa malalamiko ya uvunjwaji wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora kutokana na upatikanaji wa rasilimali fedha kwaajili ya uchunguzi ambapo kwa mwaka 2022/23 tume hiyo ilikuwa ikishughulikia jumla ya malalamiko 1524 ambapo ilihitimisha…

Read More

M23 wana ushawishi halisi au bandia Goma?

Dar es Salaam. Wakati juhudi za kutafuta suluhu ya vita kati ya Muungano wa makundi ya wapiganaji (Alliance Fleuve Congo-AFC/M23) dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zikiendelea, makundi hayo yameonekana kuwa na ushawishi mkubwa Mashariki ya nchi hiyo. Kundi la M23 lililoanzishwa Machi 2009 baada ya kuvunjika kwa mazungumzo kati ya…

Read More

Pigo la panya na wadudu hutoa changamoto ya hivi karibuni kwa Wagazani waliovuliwa vita-maswala ya ulimwengu

Mwanamke mmoja aliyehamishwa aliiambia Habari za UN Mwandishi wa habari huko Gaza: “Katika kambi zote, tunakabiliwa na wadudu wanaouma, haswa fleas,” na kuongeza kuwa “watoto wetu wanaugua maumivu makali kutokana na kuwasha na kuuma. “Tulijaribu kutibu kwa njia rahisi, lakini dawa sahihi hazipatikani katika kituo cha matibabu.” Wakati wadudu wanaouma wanaopatikana katika Gaza sio mara…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More