Albania yateua waziri roboti wa kupambana na ufisadi

Tirana. Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia. Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’ kwa Kialbania ndilo jina la roboti,…

Read More

MPINA ATEULIWA NA TUME KUWANIA URAIS 2025

  Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi nakala ya fomu za uteuzi kwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT – WAZALENDO), Mhe. Luhaga Joelson…

Read More

BODI YA WADHAMINI MFUKO WA WANYAMAPORI KUJA NA MIKAKATI MIPYA

……………. Na Saidi Lufune, Arusha BODI ya Wadhamini ya Mfuko wa Wanyamapori Tanzania (TWPF) imepanga kuja na mikakati mipya ya usimamizi na uendeshaji kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kulinda rasilimali za wanyamapori nchini. Akizungumza jijini Arusha wakati wa kufunga kikao cha kwanza cha bodi hiyo iliyopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, cha…

Read More

PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More

Msukuma afichua kilichomuondoa Bulaya CCM

Bunda. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku, maarufu Msukuma amesema majungu ndani ya chama hicho ndiyo yaliyosababisha mgombea ubunge Bunda Mjini, Ester Bulaya kuhamia upinzani. Msukuma ameyasema hayo mjini Bunda leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi za chama hicho jimboni humo, huku akiwataka wakazi wa jimbo hilo kukipigia…

Read More