Fountain Gate kuhamia Arachuga | Mwanaspoti
UONGOZI wa Fountain Gate huenda ukahamishia mechi zake zote za nyumbani zilizobaki za Ligi Kuu Bara kwa msimu huu kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, baada ya kuutumia tangu mwanzo Tanzanite kwaraa uliopo mjini Babati, Manyara. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa Fountain Gate, Wendo Makau alisema ni kweli timu hiyo imepata mwaliko na…