Waziri wa Mazingira wa Norway ateta na Waziri Masauni

  WAZIRI  wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mha. Hamad Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Andreas Bjelland Eriksen – Waziri wa Hali ya Hewa na Mazingira wa Norway. Mazungumzo hayo yalilenga ushiriki wa Tanzania katika COP30 na majadiliano kuhusu taka za Plastiki, yalifanyika katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Oslo, nchini…

Read More

MMUYA AONGOZA KURA ZA MAONI UBUNGE RUANGWA

Mtia nia wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Ruangwa mkoan Lindi, Kaspar Mmuya apata ushindi wa kura 5986 kati ya kura 9547 na kuongoza katika kata 19 kati ya 22 zilizopo katika jimbo hilo. Akisoma matokeo katibu wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ruangwa Abbas Beda Mkweta,amesema kura zilizopigwa na wajumbe ni…

Read More

Biashara, Tabora Utd lazima kieleweke

Kesho itajulikana ni nani atacheza Ligi Kuu Bara msimu ujao kati ya Biashara United ya Mara na Tabora United, ambazo zitamenyana katika mchezo wa marudiano kuwania kucheza ligi hiyo, kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora kuanzia saa 10:00 jioni. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Jumatano kwenye Uwanja wa Karume, Musoma, wenyeji Biashara United walishinda…

Read More

CHEZA KASINO NA SHINDA KIBINGWA, MINI POWER ROULETTE.

UKIWA na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu Zaidi, kupitia sloti ya Mini Power Roulette inakuhakikishia ushindi wa dau lako mara 20, 50 hadi 100 cha kufanya ingia hapa kufukuzia ubingwa wako. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na…

Read More

VIDEO: Lishe duni kwa vijana inavyoathiri afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More