MIGOGORO VITUO VYA DALADALA: Historia inayojirudia Temeke

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kuvunja kituo cha daladala cha Kwamama Kibonge, kilichopo eneo la Buza jijini Dar es Salaam imeendelea kuzua mvutano mkubwa kati ya wananchi na mamlaka husika. Wananchi, madereva na wafanyabiashara wadogo waliozungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti wanasema, uamuzi huo umewaongezea gharama na usumbufu, huku Serikali ikisisitiza kuwa, lengo ni…

Read More

Simulizi ya Othman miaka mitano ya visa, mkasa kwenye siasa

Miaka mitano imepita tangu Othman Masoud Othman alipoingia rasmi kwenye siasa, baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Machi Mosi, 2021 kupitia chama chake cha ACT Wazalendo. Othman, maarufu kama OMO, aliteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Maalim Seif Sharif Hamad, aliyefariki Februari 17, 2021 kiongozi wa siasa za upinzani visiwani…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

Chukwu: Simba, Yanga zinaficha ukubwa wa Singida

KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu amesema licha ya ushindani kuwa mkubwa, lakini Singida Black Stars ni timu kubwa katika Ligi Kuu Bara, ila makali yake hayaonekani kwa sababu ya Simba na Yanga. Chukwu ambaye alitua Bongo kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi cha Rivers United ya Nigeria katika michuano ya Kombe la…

Read More

Ushindani mkali NBC PL wafungua vita mpya ufungaji bora

MISIMU mitano ya Ligi Kuu Bara imekuwa ikitawaliwa na mastaa wakubwa kutoka nje ya nchi wakitwaa kiatu cha ufungaji bora mara tatu,  lakini kwa sasa inaonekana mambo yanaweza kubadilika na mzani ukawa sawa. Kwa sasa staa kutoka DR Congo, Fabrice Ngoy anayechezea Namungo ndiye kinara wa mabao akiwa ameshafunga manane, lakini bado takwimu zinaonyesha kuwa…

Read More

NDUNA MKOMANILE ANG’ARA RUVUMA: WANANCHI WAJIFUNZA MCHANGO WA WANAWAKE KATIKA VITA VYA MAJIMAJI

Wananchi mbalimbali pamoja na baadhi ya viongozi wamepata fursa ya kutembelea onyesho maalum la Nduna Mkomanile lililofanyika katika Kituo cha Baraza la Wazee wa Mila na Desturi Mkoa wa Ruvuma. Onyesho hilo limefanyika tarehe 27/02/2026, likiwakutanisha wadau mbalimbali waliotaka kujifunza na kutambua mchango wa wanawake katika historia ya ukombozi wa taifa. Nduna Mkomanile anatambulika kama…

Read More

Wairani Washiriki Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Wakati Mashambulizi ya Marekani na Israel Yakiendelea

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Tehran, Iran — Leo Machi 13, 2026 Wairani wamejitokeza katika miji mikubwa ya nchi hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds, tukio la kila mwaka linalolenga kuonyesha mshikamano na sababu ya Wapalestina na kulaani vitendo vya Marekani na Israel. Tukio hili, linalofanyika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu…

Read More

Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yatajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More