SERIKALI YATOA ONYO KALI KWA WAFANYABIASHARA WAFICHA MAFUTA

. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, James Mataragio, Akimzungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa maghala na vituo vya mafuta jijini Dar es Salaam Machi 25, 2026.     **** Serikali imeonya vikali wafanyabiashara wanaoficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu, ikisisitiza kuwa hakuna upungufu wa nishati hiyo…

Read More

RASIMISHA PROGRAM YAJA KUMKOMBOA MWANAMKE MFANYABIASHARA

Mkurugenzi wa Program ya Rasimisha  Leah Kalunde akizungumz katika katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara mbalimbali ambayo imefanyika Tae 24/3/2026 jijini Dar es salaam Meneja mradi wa Program ya Rasimisha  Caroline Andrew akiwasilisha taarifa maalum kuhusu Rasimisha katika hafla maalum ya kusheherekea siku ya wanawake hodari iliyowakutanisha wanawake wanaofanya biashara…

Read More

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AZIDI KUNG’AA KIMATAIFA

……… Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), Mahamoud Ali Youssouf amemteua Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mwakilishi maalum wa ngazi ya juu anayesimamia na kuratibu masuala ya amani na usalama katika eneo la Pembe ya Afrika. Aidha, Rais Kikwete atasimamia pia ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi, migogoro na…

Read More

TANTRADE INAONGOZA MAGEUZI YA SEKTA YA BIASHARA NCHINI KUPITIA MPANGO WA CART.IS

Dodoma, 25 Machi 2025 TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi na ufanisi zaidi. Kupitia ujumuishaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali na matumizi ya taratibu zisizohitaji karatasi, CART.IS inapunguza urasimu, inaokoa muda na gharama, na kurahisisha huduma kwa wafanyabiashara. TanTrade ikiwa ni…

Read More

Serikali Yaongeza Msukumo Mageuzi ya Sera ya Elimu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaalal inahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote wa elimu, taasisi za serikali na zile zisizo za serikali, wazazi na jamii yote kwa…

Read More

NMB, DarTU zaingia makubaliano kusaidia vijana

Dar e Salaam. Benki ya NMB na Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU), wamesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) wa kimakakati, wenye lengo la kujenga mfumo rasmi wa uandaaji vijana na kuwajengea maarifa ya kitaaluma, ujuzi wa vitendo na uzoefu wa kukabiliana ushindani wa soko la ajira. Ushirikiano huo wa miaka mitatu, unakwenda kuweka…

Read More

Linah alivyoagwa Kigamboni, urithi alioacha…

Dar es Salaam. Wakati familia, ndugu na waombolezaji wakimkumbuka Linah Kimaro kama mtu mcheshi na mwenye upendo wakati wa uhai wake, Jeshi la Polisi limesema linaendelea kuchunguza kwa kina chanzo cha kifo chake kilichozua maswali mengi. Linah anayedaiwa kuuawa Machi 20, 2026 majira ya saa saba mchana kwa kuchomwa kisu na mdogo wake, Meshack, ameagwa…

Read More

Lukuvi alivyogusa maisha ya wananchi Idodi

Iringa. Kifo cha William Vangimembe Lukuvi (70) kimeibua simanzi kijijini kwao, Idodi, Jimbo la Islamani, mkoani Iringa kwa wananchi aliowaongoza kwa miaka zaidi ya 31 wakishikwa butwaa wasiamini kilichotokea. Kifo hicho kimetangazwa leo Machi 25,2026 na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba…

Read More

BANDA LA KLINIKI YA WALAJI LAVUTIA WADAU MBALIMBALI MKOA MARA

  WATUMISHI wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda hilo limegeuka kuwa kitovu cha maarifa, likiwavutia wengi waliotaka kuelewa kwa undani haki zao kama walaji pamoja na namna…

Read More