Samia aomba kura Ruangwa akimtaja Majaliwa bado yupo

Ruangwa. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kumtumia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama msaidizi muhimu kwenye Serikali yake pindi atakapochaguliwa kuwa madarakani. Majaliwa ambaye amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 15 na kushika nafasi ya Waziri Mkuu kwa miaka 10,…

Read More

Washiriki wa Buildexpo Tanzania 2025 waitwa kujenga viwanda nchini

Dar es Salaam. Kampuni na taasisi mbalimbali zinazoshiriki katika maonesho ya biashara ya ujenzi, Afrika Mashariki yajulikanayo kama Buildexpo Tanzania 2025, zimetakiwa kuwekeza nchini kwa kuanzisha viwanda badala ya kuishia kushiriki maonyesho na kuzalisha bidhaa katika mataifa mengine. Wito huo umetolewa leo Jumatano Septemba 24, 2025 na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Janeth Lekashingo wakati…

Read More

Askofu Munga azikwa, jamii ikiaswa juu ya upendo

Mkinga. Mazishi ya Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, yametawaliwa na nasaha za kuwaasa Watanzania kuimarisha amani na upendo, badala ya kujenga chuki. Dk Munga amezikwa leo, Septemba 24, 2025, saa 9:30 alasiri ndani ya kanisa lililopo Kijiji cha Maramba, wilayani Mkinga, mkoani Tanga….

Read More

Beki Simba anukia CI Kamsar ya Guinea

ALIYEKUWA beki wa kushoto wa Simba, Valentin Nouma anakaribia kujiunga na timu ya CI Kamsar ya Guinea, baada ya nyota huyo raia wa Burkina Faso kuondoka Msimbazi alikotumikia kwa msimu mmoja tu. Nouma alijiunga na Simba, Julai 7, 2024 akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu, lakini alifikia makubaliano…

Read More

Guterres inataka kusitisha mapigano kwani viongozi wa Ulaya wanathibitisha haki za Ukraine katika UN – Masuala ya Ulimwenguni

Akielezea baraza, Bwana Guterres Alisema Mzozo huo, sasa katika mwaka wake wa nne, “umeleta mateso makubwa na kutokuwa na utulivu katika mkoa na zaidi.” Alikumbuka kwamba mnamo Februari 2022, zote mbili Baraza la Usalama na Mkutano Mkuu ulipitisha maazimio ya kutaka mwisho wa vita na amani ya kudumu. “Lakini pia tumeona kuongezeka kwa mapigano –…

Read More

Serikali yatoa kauli  mradi wa Liganga, Mchuchuma

Dar es Salaam. Baada ya changamoto zilizodumu kwa muda mrefu, Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo kuhusu mradi wa chuma wa Liganga na makaa ya mawe wa Mchuchuma yamefikia hatua ya uamuzi, huku hoja zilizokuwa zikisababisha ucheleweshaji kama mgawanyo usio sawa wa hisa na masharti ya mikataba yaliyowapendelea zaidi wawekezaji wa kigeni zikishughulikiwa. Akizungumza leo Jumatano,…

Read More

Dk Biteko ataja faida nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk Doto Biteko ametaja faida zitakazopatikana kwa nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu bora, ikiwemo kuwa na mifumo thabiti ya kidijitali itakayosaidia kutatua changamoto zilizopo kwenye mataifa hayo, kulingana na mazingira. Dk Biteko ameitaja faida nyingine ya kuwekeza kwenye sekta hiyo ni kutatua changamoto   ya…

Read More

Raia wa China aomba kubadilishiwa mahabusu, Mahakama yamjibu

Dar es Salaam. Raia wa China, Li Hao, anayekabiliwa na mashtaka ya kujipatia Sh752 milioni kwa njia ya udanganyifu, ameiomba Mahakama imbadilishie mahabusu ya Keko na impeleke Segerea ili iwe rahisi kwake kupata mawasiliano kutoka kwa raia wenzake. Hao, anakabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujipatia Sh752 milioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi…

Read More