SERIKALI YATOA ONYO KALI KWA WAFANYABIASHARA WAFICHA MAFUTA
. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, James Mataragio, Akimzungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa maghala na vituo vya mafuta jijini Dar es Salaam Machi 25, 2026. **** Serikali imeonya vikali wafanyabiashara wanaoficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu, ikisisitiza kuwa hakuna upungufu wa nishati hiyo…