Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC
Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC – Global Publishers Home Habari Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC
Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC – Global Publishers Home Habari Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC
Ubadilishanaji wa data kwa kufumba na kufumbua umetolewa katika sehemu kubwa ya dunia – na bado sisi mara chache tunatulia kufikiria ni nini hufanya yote yawezekane: mtandao changamano wa kimataifa wa nyaya katika vilindi vya bahari ambao hutuunganisha kimya kimya. Katika enzi ya kisasa ya habari, nyaya za chini ya bahari zimekuwa msingi thabiti wa…
KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Esperance de Tunis yameacha maumivu makubwa ndani ya kikosi baada ya kushindwa kulinda uongozi wa mabao mawili walioupata mapema katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. …
KUREJEA kikosini kwa kipa wa Simba, Yakoub Suleiman, aliyekuwa nje kuuguza majeraha baada ya kuumia akiwa na Taifa Stars wakati ikijiandaa dhidi Nigeria katika Fainali za AFCON 2025, kunakwenda kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo alibaki Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali aliyesajiliwa katika dirisha dogo na Hussein Abel. …
Evelis Cano, mama wa mfungwa wa kisiasa Jack Tantak Cano, anawasihi polisi kuachiliwa kwa mwanawe nje ya kituo cha kizuizini huko Caracas, Venezuela, 20 Januari 2026. Credit: Gaby Oraa/Reuters via Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Februari 02, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Februari 2 (IPS) – Wakati vikosi maalum…
CAFCL: Yanga Wakamata Nafasi ya 3, Vita ya Kufuzu Kundi B Yapamba Moto – Global Publishers Home Michezo CAFCL: Yanga Wakamata Nafasi ya 3, Vita ya Kufuzu Kundi B Yapamba Moto
:::::::: Bondia Fadhil Majiha amerudi kwenye ubora wake wa kuwa bondia namba moja nchini Tanzania. Kwa mujibu wa mtandao unaotunza na kutambua rekodi za mabondia Duniani, Boxrec unamtambua Majiha ndiye bondia namba moja kwa ubora wa jumla wote nchini Tanzania. Pia Majiha amekua bondia namba moja katika uzani wake wa ‘bantam’. Na kwa upande wa…
Rais Donald Trump Aungana na Viongozi wa Imani katika Maombi – Credit: The White House | Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, Jumapili ilikuwa mwanzo wa Wiki ya Maelewano ya Dini Ulimwenguni, wakati wa kusisitiza kwamba maelewano na mazungumzo baina ya dini ni muhimu katika kujenga utamaduni wa amani. Wiki hiyo ilianzishwa ili kukuza maelewano…
Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea katika Kata ya Saranga, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuhakikisha wananchi wanapata miundombinu bora na huduma zinazokidhi mahitaji yao ya kila siku. Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Kairuki alitembelea Barabara ya King’ongo, kipande…
Katika jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania, ADEM na Taasisi ya Project Zawadi wameingia makubaliano ya ushirikiano utakaowezesha kuendesha mafunzo ya muda mfupi kuhusu uongozi, usimamizi na uendeshaji wa elimu kwa viongozi wa Mkoani Mara. Ushirikiano huu unalenga kuwajengea uwezo viongozi wanaosimamia sekta ya elimu kuanzia ngazi ya shule hadi Mkoa Akizungumza katika…