
Samia aomba kura Ruangwa akimtaja Majaliwa bado yupo
Ruangwa. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kumtumia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama msaidizi muhimu kwenye Serikali yake pindi atakapochaguliwa kuwa madarakani. Majaliwa ambaye amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 15 na kushika nafasi ya Waziri Mkuu kwa miaka 10,…