Profesa Mkenda azungumzia kukamatwa mhadhiri UDOM
Moshi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema taarifa za awali zinaonyesha mhadhiri wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) alikamatwa kutokana na matendo aliyofanya nje ya chuo. Amesema hayo kutokana na taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia jana Desemba 12, 2025 ikieleza mhadhiri wa UDOM amekamatwa chuoni akituhumiwa kwa uchochezi. Taarifa hiyo…