Chilunda aja na akili mpya ya kazi

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Shaaban Chilunda amesema baada ya kufanikiwa kusajiliwa na KMC kwa sasa ana akili mpya ya kufanya kazi ili kurudi katika ushindani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu huku akisisitiza kwamba yupo tayari kwa ajili mapambano. Chilunda aliwahi kuichezea timu hiyo kwa mkopo Januari, mwaka jana akitokea Simba…

Read More

Aliyekosa 200,000 ya matibabu sasa kufikishwa Muhimbili

Mbeya. Hatimaye, Pascolina Mgala alliyekuwa ameshindwa kutibiwa kwa kukosa Sh200,000, sasa atafikishwa katika Hospitali ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kuiona taarifa yake kupitia Gazeti la Mwananchi na hivyo kumsaidia kupata matibabu zaidi. Pascolina (20) mkazi wa Kijiji cha Nambinzo…

Read More

Vijana wazidi kuonyeshana kazi JMK Park

MASHINDANO ya kikapu kwa timu za vijana yamezidi kushika kasi na Juhudi imeitambia Stone Town ya Zanzibar kwa pointi 20-9 kwenye viwanja vya Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park. Mchezo huo ulikuwa ni timu za vijana U16, huku pia ikipigwa michezo mingine ya Vijana U14 na mashindano hayo ya siku nne yajulikanano kama JMK…

Read More

Yaliyojiri safari ya kwanza treni ya umeme Dar-Morogoro

Dar/Morogoro. Ilikuwa safari ya dakika 114 zenye bashasha, abiria zaidi ya 600 wakiwa kwenye mabehewa 14 ya treni ya umeme iliyoanza safari ya kwanza leo Juni 14, 2024 ikiongozwa na nahodha, Ahazi Mfupa. Treni iliondoka Dar es Salaam saa 12:01 asubuhi na kuwasili Morogoro saa 1:55 asubuhi. Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja…

Read More

Safari  kuhamia Dodoma kukamilika mwakani

Dodoma. Safari ya Serikali kuhamia jijini hapa  itakamilika  baada ya mpango kazi maalumu na ujenzi wa awamu ya pili wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi utakapohitimishwa mwaka 2025. Aidha, Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wameshahamia huku taasisi zilizohamia zikiwa ni 65.Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge,…

Read More

SGR inavyoweza kuwa fursa kwa usafiri wa anga

Dar es Salaam. Licha ya mtazamo kuwa, kuimarika kwa usafiri wa reli ya kisasa (SGR) kutaathiri usafiri wa anga kwa upande mmoja, wadau wa usafiri huo, wamesema reli hiyo ya kisasa inaweza kuimarisha sekta ya anga pia. Matumaini ya wadau hao yanatokana na mtazamo, kuna uwezekano wa vyanzo hivyo vya usafiri kushirikiana na kuwapa fursa…

Read More