Kazi imeanza Kizimkazi Festival | Mwanaspoti

NI michezo, burudani, uchumi na fursa mbalimbali za kijamii katika tamasha la nne la Kizimkazi linalofunguliwa leo Jumapili na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi huko Kizimkazi mkoa wa Kusini Unguja. Tamasha hilo linatajwa kufungua fursa mbalimbali za kijamii, kimichezo na kiuchumi. Katibu wa Kamati Kuu ya tamasha hilo lenye kauli…

Read More

TCRA YAWAHIMIZA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIDIGITALI

  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewahimiza vijana nchini kuchangamkia fursa za kidijitali ikiwemo akili bandia (Artificial Intelligence), kwa kubuni mifumo itakayotatua changamoto za kijamii na hivyo kujipatia kipato.   Meneja TCRA Kanda ya Ziwa, Mhandisi Imelda Banali ametoa rai hiyo Ijumaa Oktoba 11, 2024 wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana 2024 yanayofanyika katika…

Read More

Mtoto wa Rais Biden akutwa na hatia, asubiri hukumu

Delaware. Mtoto wa Rais wa Marekani, Hunter Biden amepatikana na hatia kwa mashitaka yote yanayohusiana na matumizi ya dawa za kulevya na umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Kwa makosa hayo  huenda adhabu yake ikawa kifungo cha miaka 25 jela, ingawa wataalamu wanasema muda huo ni nadra sana kutokea.  Hatua hiyo inamfanya kuwa mtoto wa…

Read More

Je, Triumvirate Mpya, Urusi, Uchina & Korea Kaskazini, Italazimisha Kusini Kutumia Nyuklia? – Masuala ya Ulimwenguni

Ujumbe ulioonyeshwa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa huko New York mnamo 2022 unatoa wito kwa Korea Kaskazini kujiunga na Mkataba wa Kuzuia Silaha za Nyuklia (TPNW). Credit: Kampeni ya Kimataifa ya Kukomesha Silaha za Nyuklia (ICAN). na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Julai 26, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Julai…

Read More

Singida Black Stars katikati ya mtego

MICHUANO ya Kombe la Shirikisho (FA), imefikia patamu ambapo tumeshuhudia timu mbili zikikata tiketi ya kucheza fainali, ikianza Yanga iliyoichapa JKT Tanzania mabao 2-0, kisha Singida Black Stars ikafuzu pia kibabe kwa kuicharaza Simba 3-1. Ushindi wa Singida ni wa kisasi baada ya kikosi hicho kupoteza mechi mbili za Ligi Kuu Bara, ikianza na kuchapwa…

Read More