DK.SAMIA AWEKA MKAKATI WA KUIREJESHA TANGA YA VIWANDA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tanga MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema endapo akipewa ridhaa ya kuliongoza Taifa, amedhamiria kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa wa viwanda. Ametoa kauli hiyo leo Septemba 29,2025 alipokuwa akizungumza na maelfu ya wananchi katika mkutano huo uliofanyika katika Uiwanja vya Usagara mkoani Tanga ambapo…

Read More

WATUMISHI WA AFYA ZINGATIENI MAADILI YA KAZI KAZINI

Naibu Waiziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb) amewataka Watumishi wa Sekta ya Afya kote Nchini kuhakikisha wanazingatia utoaji wa huduma kwa kuzingatia Maadili, Lugha nzuri na Uwajibikaji kutokana na viapo vyao vya ya kazi pindi wawapo kazini. Mhe. Dkt. Dugange ametoa maelekezo hayo…

Read More

Benki ya Exim na Simba waja na mpango kurahisisha umiliki wa nyumba

Dar es Salaam. Benki ya Exim Tanzania kwa kushirikiana na Simba Developers Limited imesaini makubaliano ya kimkakati yanayolenga kuongeza upatikanaji wa makazi bora na nafuu kwa Watanzania, kupitia mpango maalumu wa mikopo ya nyumba. Kupitia ushirikiano huo, wateja watakaonunua nyumba za kisasa zinazojengwa na Simba Developers watapata mikopo yenye masharti nafuu kupitia bidhaa ya Exim…

Read More

Pesa ipo mechi za kirafiki leo

Michuano mikubwa mbalimbali imemalizika sasa ni mechi za kirafiki za kujiandaa na msimu mpya ambapo timu kibao leo zipo dimbani na ODDS KUBWA za kijanja zimeshawekwa ndani ya Meridianbet. Ingia na uanze kubeti sasa. FC Copenhagen ya Denmark itakipiga dhidi ya Sdenderjyske ambapo mechi hii imepewa ODDS 1.44 kwa 4.80. Mwenyeji amemaliza nafasi ya 3…

Read More