
DK.BASHIRU ATOA RAI KWA WAZEE ,WATU MASHUHURI KUSAKA KURA ZA DK.SAMIA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Tabora KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) ambaye pia ni Mratibu wa Kampeni za mgombea urais wa Chama hicho Dk.Bashiru Ali ametoa wito kwa mabaraza ya wazee na watu mashuhuri kuendelea kumuombea kura Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu. Dk.Bashiru ametoa mwito huo alipokuwa akizungumza…