
Nafuu ya kodi kwenye mitungi ya gesi yawakosha wadau
Dar es Salaam. Pendekezo la Serikali la kuondoa kodi ya ongezeko la thamani kwenye mitungi ya gesi ya kupikia imetajwa kama hatua muhimu katika kuhakikisha Watanzania wengi, hasa wasiokuwa na uwezo mkubwa kiuchumi, wanatumia nishati safi ya kupikia. Juni 12, 2025 akiwasilisha bajeti kuu ya Serikali ya 2025/2026 Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba alipendekeza kusamehe…