Dorothy Semu asimulia walivyozuiwa kwa saa nane Angola

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema alishtuka baada ya kuona wanatengwa kwa makundi baada ya kuzuiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda, Angola. Semu, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walizuiwa na…

Read More

ADC kufanya maridhiano na Doyo, hatima kujulikana Ijumaa

Dar es Salaam. Hatima ya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Allience for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo, kujulikana ndani ya siku tano kuanzia sasa, huku njia ya upatanisho ikipewa nafasi kubwa. Hatua hiyo imetangazwa leo Jumatatu Julai 8, 2024 na kamati ya rufaa ya chama hicho ilipozungumza na waandishi wa…

Read More

Kitabu cha maisha ya JK chaanza kuandikwa

  MTENDAJI Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Institute, Kadari Singo, amesema wameanza mchakato wa kuandika vitabu viwili, cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete na aliyekuwa Waziri Mkuu, Rashid Kawawa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitoa salamu kwenye hafla ya uzinduzi wa…

Read More

ECLAT NA UPENDO WAPELEKA NEEMA YA ELIMU NGORIKA.

Na John Walter -Simanjiro. Shirika la ECLAT DEVELOPMENT FOUNDATION kwa kushirikiana na Upendo Association limekabidhi rasmi Shule Mpya ya Msingi Kariati iliyopo Kijiji cha Ngorika, Kata ya Ngorika, Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara kwa serikali baada ya kukamilisha ujenzi wake. Gharama za ujenzi wa shule hiyo ni shilingi milioni 121.1. Shule hiyo mpya inajumuisha…

Read More