Nafuu ya kodi kwenye mitungi ya gesi yawakosha wadau

Dar es Salaam. Pendekezo la Serikali la kuondoa kodi ya ongezeko la thamani kwenye mitungi ya gesi ya kupikia imetajwa kama hatua muhimu katika kuhakikisha Watanzania wengi, hasa wasiokuwa na uwezo mkubwa kiuchumi, wanatumia nishati safi ya kupikia. Juni 12, 2025 akiwasilisha bajeti kuu ya Serikali ya 2025/2026 Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba alipendekeza kusamehe…

Read More

Bosi ligi ya Rwanda avutiwa na uwekezaji Bara

Mwenyekiti wa Ligi Kuu Rwanda ambaye pia ni mmiliki wa timu ya Gorilla ambayo inashiriki ligi hiyo, Mudaheranwa Hadji Yussuf amevutiwa na uwekezaji ambao umefanywa katika soka la Tanzania ambao unazifanya timu kufanya vizuri kimataifa. Ligi Kuu Bara ni miongoni mwa ligi tano bora Afrika huku uwekezaji ambao umefanyika kupitia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)…

Read More

Maswala ya zamani ya idadi ya watu wa Amerika, ya sasa na ya baadaye – masuala ya ulimwengu

Chanzo: Ofisi ya sensa ya Amerika na mahesabu ya mwandishi. Maoni na Joseph Chamie (Portland, Amerika) Jumatatu, Februari 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Portland, Amerika, Februari 17 (IPS) – Kati ya wahamiaji takriban milioni 280 ulimwenguni, nchi inayoshikilia idadi kubwa ni Amerika, ardhi ya uhamiaji. Theluthi moja ya wahamiaji wa kimataifa ulimwenguni wanakaa…

Read More

UNDP yaionyesha njia Tanzania ya kuvuta uwekezaji zaidi

Dodoma. Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP) limesema ili Tanzania iweze kupanda zaidi daraja la uwezo wa kukopesheka (credit rating) na hivyo kuvuta uwekezaji zaidi ni lazima kuboresha usimamizi wa uchumi. Julai 2024, Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na ufanyaji tathmini kwa nchi kujua uwezo wake wa kukopesheka (Fitch Rating) ilieleza kuwa Tanzania bado ina uwezo…

Read More

Gamondi aanza na kipa wa Simba

Singida Black Stars iliyopo chini ya Kocha Miguel Gamond, imedaiwa iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kipa wa Simba, Hussein Abel baada ya nyota huyo kumaliza mkataba alionao na kikosi hicho, huku kukiwa pia hakuna mazungumzo mapya ya kubakizwa msimu ujao. Kipa huyo wa zamani wa Coastal Union, Taifa Jang’ombe ya Zanzibar, Tanzania Prisons…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AZINDUA MIRADI YA KIUCHUMI YA WENYE ULEMAVU

  Na Mwandishi wetu- Dar es salaam  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo iko chini ya  Shirika lisilo la Kiserikali la Strategic Alternative Learning Technique (SALT), inayohudumiwa na vijana wenye changamoto za ufahamu. Mhe. Nderiananga alifanya uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam kwa…

Read More