Israel Yaharibu Ndege 16 za Iran Kwenye Uwanja wa Ndege wa Tehran
Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Israel imefanya shambulio la anga lililolenga Uwanja wa Ndege wa Mehrabad, Tehran, na kuharibu ndege 16 za Iran, ikiwemo ndege za Quds Force zinazohusika na operesheni za kijeshi nje ya mipaka ya Iran, pamoja na ndege kadhaa za kivita, imesema Jeshi la Israel (IDF). Taarifa kutoka IDF ilisema…