KITULO GARDEN MARATHON KUITANGAZA NJOMBE, RC MTAKA AFUNGUKA

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewakaribisha Watanzania hasa wanariadha kushiriki Kitulo Garden Marathon inayotarajia kufanyika Mei 2 mwaka huu. Amesema anaamini mbio za Kitulo Garden Marathon zinakwenda kufanyika katika mwezi mzuri kwani mkoa huo utakuwa na wageni wengi ambao watakwenda kwenye sherehe za Mei Mosi hivyo kupitia mbio hizo washiriki…

Read More

Rais Samia Afanya Uhamisho na Kupangua Vyeo vya Mabalozi

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kupangua vyeo vya mabalozi katika vituo mbalimbali nje ya nchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo unawahusisha mabalozi kadhaa waliopangiwa kuziwakilisha Tanzania katika mataifa na…

Read More

Unatunzaje kitovu cha mtoto anapozaliwa?

Kitovu cha mtoto mchanga baada ya kuzaliwa ni sehemu nyeti inayohitaji uangalizi wa karibu, ili kuhakikisha mtoto anakua salama bila kupata maambukizi.  Baada ya kuzaliwa na kutenganishwa na kondo la nyuma la mama, kitovu hubaki kikiwa kimefungwa kwa kitambaa maalum au kipande cha plastiki na huchukua siku kadhaa kabla ya kukauka na kuanguka. Mkuu wa…

Read More

Mitazamo tofauti ripoti tume za Ngorongoro

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume za Rais kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari Ngorongoro kukabidhi ripoti zake, wadau wa sheria na haki za binadamu wametoa maoni tofauti kuhusu maudhui yake, baadhi wakipongeza na wengine wakionyesha mapungufu. Wanaopongeza, wanasema ripoti zimependekeza mambo yanayogusa yaliyokuwa yanalalamikiwa, ikiwemo mabadiliko ya sheria, kutambua makosa…

Read More

Wananchi Ugalla wajenga kituo cha afya kwa nguvu zao

Tabora. Wananchi wa vijiji vitatu vilivyopo katika Kata ya Ugalla tarafa ya Ussoke Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora, wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 15 kufuata huduma za afya ambapo ni zaidi ya miaka 20 wanaishi katika adha hiyo. Wamebainisha adha hiyo leo Septemba 17, 2025 ambapo wameanzisha ujenzi wa kituo cha afya…

Read More

WAFANYABIASHARA 186 WAKITANZANIA WAHITIMU KATIKA MPANGO WA MAENDELEO YA USAMBAZAJI BIDHAA KUPITIA MKUTANO WA KWANZA WA BIASHARA

-Wajasiriamali wadogo na wakati (SMEs) wa Kitanzania wamehitimu kwenye Mpango wa Maendeleo ya Usambazaji bidhaa kwa kujengewa ujuzi na mitandao ya kushindana katika minyororo ya usambazaji ya kampuni, serikali na masoko ya kikanda chini ya AfCFTA. -Ushirikiano na GAIN umeleta mkondo maalum unaojikita katika kusambaza lishe, kwa kusaidia biashara za chakula na kilimo ambazo si…

Read More