
Mabinti wa Dhahabu wapewa heshima kwa kutwaa Kombe la Dunia
BAADA ya kufanikisha historia isiyosahaulika, wachezaji wa kike wa Tanzania waliowakilisha taifa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa watu wasio na makazi, wamepatiwa pongezi za heshima. Mashindano hayo yalifanyika Agosti mwaka huu nchini Norway, ambapo mabinti hao waliweka rekodi mpya ya kimataifa. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kushiriki michuano hiyo kwa upande…