Israel Yaua Waandishi wa Habari Gaza – Video
Waandishi watatu wa habari wa Kipalestina wameuawa kufuatia shambulio la anga la Israel katikati mwa Ukanda wa Gaza, kwa mujibu wa wahudumu wa uokoaji. Shirika la Ulinzi wa Raia la Gaza, linaloendeshwa na Hamas, lilisema gari walilokuwa wakisafiria waandishi hao wa habari lilishambuliwa katika eneo la al-Zahra. Waliouawa wametajwa kuwa ni Mohammed Salah Qashta, Anas…