
Majeneza 15 waliofariki ajali ya ghorofa Kariakoo yawasili Mnazi Mmoja
Dar es Salaam. Majeneza 15 yenye miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya ghorofa lililoporomoka kwenye soko la Kariakoo yamewasili viwanja vya Mnazi mmoja tayari kuanza tukio la kuagwa. Majeneza yenye miili hiyo yaliwasili saa 7:34 mchana viwanjani hapo na kuweka eneo maalumu lililoandaliwa ikiwa ni dakika saba baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa…