Walimu wadaiwa kuiba maharage, mahindi ya shule Makambako

Njombe. Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Magegele Kata ya Kivavi Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe, wameitaka halmashauri kuwachukulia hatua za kisheria walimu ambao wamebainika kujihusisha na wizi wa mahindi na maharage ya shule. Wamesema vinginevyo hawatakuwa tayari kutoa tena mchango wa chakula shuleni hapo. Kauli hiyo wameitoa leo Julai 14, 2025…

Read More

Meridianbet Yazidi Kupaa Kwa Kuwaongeza Aspect Gaming na Superspade Games

DUNIA ya kasino mtandaoni inazidi kupendeza, na Meridianbet inaendelea kuwa kinara katika kuleta ubunifu na burudani isiyo na mipaka. Safari hii, jukwaa hilo linaendeleza ubora wake kwa kuwakaribisha watoa huduma wawili wakubwa, Aspect Gaming na Superspade Games, wanaokuja na michezo ya kiwango cha juu inayochochea msisimko kwa wapenzi wa kasino kote nchini. Aspect Gaming inakuja…

Read More

GRIDI YA TAIFA KUMALIZA TATIZO LA UMEME RUKWA

-Kituo cha kupoza umeme kujengwa Nkansi-Maeneo 1,500 yaliyofanyiwa mapitio yamekidhi vigezo kulipia 27,000/- Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema changamoto ya umeme katika Mkoa wa Rukwa itamalizika baada ya Mkoa huo kuunganishwa katika Gridi ya Taifa kupitia Mradi wa njia ya kusafirisha Umeme wa Msongo wa Mkubwa wa Kilovolti 400 wa Tanzania –…

Read More

Pesa zinazotumwa na Fedha dhidi ya Ufadhili Mtazamo wa Watendaji wa Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Pesa zinazotumwa hutoa kitu ambacho uhisani hauwezi: uhuru. Familia zinazopokea pesa huamua jinsi bora ya kutenga fedha hizo, kulingana na mahitaji yao muhimu zaidi. Mkopo: Shutterstock Maoni by Tafadzwa Munyaka (harare) Jumanne, Januari 14, 2025 Inter Press Service HARARE, Jan 14 (IPS) – Katika Afŕika kote, mageuzi ya kiuchumi na maendeleo yanachochewa na mikondo miwili…

Read More

Mvua zinavyowaumbua viongozi, wataalamu nchini

Nchi ipo masika. Mvua zinazonyesha zinatoa ujumbe unaoingia ndani zaidi. Tanzania haina uwezo wa kuhimili mvua mfululizo. Kadiri miaka inavyosogea, ndivyo picha mbaya zaidi inajitengeneza kuhusu usalama wa nchi. Dar es Salaam leo, miundombinu ni mibovu. Zile hadithi kuwa watu wanaoishi mabondeni ndiyo hawapo salama, tafsiri inahama. Sasa, Dar es Salaam kila sehemu ni bondeni….

Read More

Japan yaipa Tanzania msaada wa Sh27.3 bilioni

Dar es Salaam. Hospitali saba za rufaa nchini zinatarajiwa kunufaika na vifaatiba vipya kwa ajili ya kuimarisha huduma za mama na mtoto zinazotolewa. Vifaa hivyo ni vile vitakavyonunuliwa kupitia Sh27.3 bilioni zilizotolewa na Serikali ya Japan kama msaada kwa ajili ya kuboresha huduma hizo katika hospitali za Dodoma, Tumbi (Pwani), Mount Meru (Arusha), Sekou-Toure (Mwanza),…

Read More

Serengeti Girls kanyaga twende | Mwanaspoti

TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kesho itashuka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Zambia kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia. Ni mchezo wa kufa ama kupona kwa timu hiyo ambayo inatafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia itakayofanyika mwaka huu Morocco huku Tanzania ikishiriki kwa msimu…

Read More

Rekodi ya siku 315 ilivyokula kichwa cha Folz Yanga

KIPIGO cha bao 1-0 ilichopokea Yanga juzi Jumamosi katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya pili, ilihitimisha simu 315 sawa na miezi 10 na siku 11 kwa kikosi hicho kuruhusu maumivu hayo tena. Kabla ya mechi hiyo, Yanga ilishuka dimbani mara 37 bila ya kupoteza ‘unbeaten’ katika mashindano yote. Mara ya mwisho ilipoteza…

Read More