Camara anyoosha mikono, akubali yaishe

SIMBA jana ilikuwa bize na kilele cha tamasha la Simba Day linalotambulisha uzi na kikosi kipya, lakini kuna mmoja wa mastaa waliotakiwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kuwa kipa mpya, Yakoub Seleman, huku Moussa Camara akiimpa maua yake mapema na kumkaribisha. Yakoub aliyesajiliwa Simba…

Read More

Baba alivyojaribu kupangua ushahidi wa kumkata mwanae vipande na kuvitumbukiza chooni-3

Jana katika sehemu ya pili ya simulizi ya mauaji ya kikatili ya mtoto Timotheo Mhulila, ambaye aliuawa na kisha kukatwa vipande vipande na kutumbukizwa chooni, tuliona namna shahidi ambao ni askari polisi walivyoeleza namna mshitakiwa, Joseph Mhulila alivyokiri. Katika ushahidi huo, shahidi aliyeandika maelezo ya onyo ya mshitakiwa, alieleza kuwa Mhulila katika maelezo yake aliweka…

Read More

Aliyeanza na mtaji wa elfu mbili, apewa Sh5 milioni, kiti mwendo

Sengerema. Baada ya dhiki, faraja. Ndivyo ilivyokuwa kwa mkazi wa Sengerema aliyepata ulemavu wa kudumu baada ya kudondokewa na kifusi mgodini, lakini akaanza kujiajiri kwa kushona viatu kwa mtaji wa Sh2,000. Mwananchi huyo alikuwa miongoni mwa walioudhuria mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi uliofanyika…

Read More

Mikakati kumaliza changamoto ya umbali wa shule Fukayosi yaanza -3

Bagamoyo. Changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutembea umbali mrefu katika Kata ya Fukayosi, iliyobainishwa na uchunguzi wa Mwananchi, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia hatua mbalimbali zinazochukuliwa. Uchunguzi wa Mwananchi katika baadhi ya vijiji vya Kata ya Fukayosi, ikiwemo Mkenge, Kidomole na Mwavi, katika Halmashauri ya Bagamoyo mkoani Pwani, ulibaini kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za…

Read More

CECAFA Kagame Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Hamu ya mashabiki Yanga kuwaona mastaa laivu

YANGA leo Septemba 12 inafanya tamasha la saba la Wiki ya Mwananchi tangu lilipoanzishwa 2019, huku shauku kubwa ya mashabiki ni kutaka kuwaona wachezaji wapya laivu na burudani mbalimbali zinazoendelea. Mwanaspoti limefanya mahojiano na baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao wamezungumzia furaha ya na namna tamasha hilo linavyozidi kuwa bora kila mwaka huku pia linawakutanisha…

Read More