Mvua yabomoa, kuezua nyumba tano Makambako

Njombe. Nyumba tano zilizopo mtaa wa Idofi, kata ya Mlowa, wilayani Makambako, Mkoa wa Njombe zimeezuliwa na ukuta kubomoka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Kati ya nyumba hizo, mbili zimebomolewa jana Jumatano, Januari 21, 2026 ukuta na tatu zimeezuliwa paa na kusababisha wenye nyumba hizo kukosa makazi. Mwenyekiti wa Mtaa wa Idofi,…

Read More

Butiku: Tusipoteze msingi wa Taifa, tukitafakari Oktoba 29

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku amewataka Watanzania kutotoka nje ya msingi wa Taifa, wakati huu nchi ikitafakari kujua kilichotokea Oktoba 29, 2025 kupitia Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Butiku ameeleza hayo Alhamisi Januari 22,2026 wakati wa kikao chake na wazee kinachoendelea jijini Dar es Salaam, kikijadili…

Read More

Ushirikiano wa Stanbic, CRDB unavyopaisha Sukuk

Dar es Salaam. Kadiri Tanzania inavyopanua masoko yake ya mitaji, bidhaa za kifedha zilizokuwa zikihusishwa na taasisi kubwa pekee zinaanza kuwafikia wananchi wengi.Utoaji wa hivi karibuni wa Sukuk ya Al Barakah ya Benki ya CRDB ni miongoni mwa ishara zinazoonesha mwelekeo huo, hasa kwa wananchi. Katika mchakato huo, Benki ya Stanbic ilishiriki kama mshirika mwenza…

Read More

WAZIRI MAVUNDE KUWACHUKULIA HATUA MAAFISA MADINI WANAOSABABISHA MIGOGORO

Dodoma | Januari 22, 2026 Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa ambao ofisi zao zitabainika kuhusika au kusababisha migogoro katika shughuli za uchimbaji wa madini, akisisitiza ulazima wa kuzingatia kikamilifu Sheria na Kanuni za Madini katika utekelezaji wa majukumu yao. Mhe. Mavunde ametoa kauli…

Read More