Mvua yabomoa, kuezua nyumba tano Makambako
Njombe. Nyumba tano zilizopo mtaa wa Idofi, kata ya Mlowa, wilayani Makambako, Mkoa wa Njombe zimeezuliwa na ukuta kubomoka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Kati ya nyumba hizo, mbili zimebomolewa jana Jumatano, Januari 21, 2026 ukuta na tatu zimeezuliwa paa na kusababisha wenye nyumba hizo kukosa makazi. Mwenyekiti wa Mtaa wa Idofi,…