Dk Mwinyi ataja mambo matatu atakayoyapa msukumo akipewa ridhaa tena

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema katika kipindi kijacho cha uongozi, atajielekeza kwenye maeneo makuu matatu ambayo yataacha alama isiyofutika atakapomaliza muda wake madarakani. Akitaja vipaumbele hivyo, Dk Mwinyi amesema ni kuimarisha mshikamano wa kitaifa, kukuza uchumi, na kuboresha huduma za kijamii kwa manufaa ya Wazanzibari wote….

Read More

Yanga yabadilishiwa uwanja CAF | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua tayari kwa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wao Simba, utakaopigwa Septemba 16 na habari njema kwa mashabiki wa timu hiyo kimataifa ni namna ambavyo wamerahisishiwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuikabili Wiliete Benguela ya Angola. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu wanatarajia kuanzia ugenini kwenye mchezo…

Read More

Bado Watatu – 27 | Mwanaspoti

Raisa alinieleza: moyo wangu ulikuwa unakwenda kasi kama saa! Nilikuwa nimemtolea macho nikimsikiliza. Sikuwa hata na la kupinga, kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.Raisa alipoona nipo kimya aliendelea kuniambia:“Sasa, mwenzangu, nawasha kitochi ili niione: kuna mtu alikorupuka na kuingia kwenye gari, akarudi nyuma na kuondoka. Haya niambie — ulikwenda kutupa nini usiku ule? Hata huogopi!”Kumbe —…

Read More

Maximo ataka KMC itue anga za Azam

KOCHA wa KMC, Marcio Maximo ameanza kuipigia hesabu ndefu timu hiyo akitaka iwe kituo cha kuzalisha mastaa wakubwa wa Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Maximo alisema kikosi chake kinaundwa na wachezaji wengi vijana ambao ana hesabu nao kubwa. Maximo ambaye amewahi kuifundisha Yanga na Taifa Stars, alisema kiu yake kubwa ni kuwasuka vijana hao kuja kutawala…

Read More

DK.SAMIA AUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI UVINZA AKIELEZEA MIRADI YA MAENDELEO

Na  Said Mwishehe,Michuzi TV-Uvinza MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia SuluhHassa ameendelea kuchanja mbuga akisaka kura kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo leo Septemba 13,2025 amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma. Katika mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa Tambuka reli uliopo Kata ya Kazula Mimba wilayani Uvinza mkoani Kigoma Dk.Samia ameeleza yaliyofanyika…

Read More

NRA waahirisha mkutano Tanga, sababu yatajwa

Tanga. Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), kimesema kimeshindwa kufanya mkutano wake ambao ilibidi ufanyike mkoani Tanga, kwa ajili ya kumnadi mgombea wake wa nafasi ya urais. Akizungumza na Mwananchi mgombea urais kupitia NRA, Hassan Almasi ambaye ndiye katibu wa chama hicho leo Jumamosi Septemba 13, 2025 amesema wameshindwa kuendelea na mkutano wa Tanga kutokana…

Read More

Othman: Nitaanza na Katiba mpya nikishika dola

Dar es Salaam. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema akipata ridhaa ya kuongoza dola, ataanza na marekebisho ya Katiba ili kuvifanya visiwa hivyo kuwa mikononi mwa Wazanzibari. Othman ameahidi Wazanzibari watakuwa na uhuru wa kuhoji kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa Serikali hiyo, kwa sababu Zanzibar ni nchi ya waungwana….

Read More