Boka, Yanga sasa kimeeleweka Yanga

BEKI mpya wa kushoto wa Yanga, Chadrack Boka sasa kila kitu freshi Jangwani baada ya mabosi wa klabu hiyo kumalizana kabisa na FC Lupopo aliyokuwa akiichezea kwa kuwapa mamilioni ya fedha ambayo awali zilikaribia kuzuia Hati ya Uhamisho (ITC) ya mchezaji huyo aliyeanza kuwaka na kikosi hicho. Unaambiwa, licha ya Yanga kumtangaza staa huyo wa…

Read More

Sekta tatu zilivyobeba uchumi mwaka 2024

Dar es Salaam.  Wakati pato halisi la Taifa lilifikia Sh156.6 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh148.5 trilioni mwaka uliotangulia, sekta tatu pekee zimetajwa kuchangia takribani nusu ya pato hilo. Sekta hizo ni kilimo kilichochangia asilimia 26.3, ujenzi asilimia 12.8 na uchimbaji wa madini na mawe asilimia 10.1. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango Na Uwekezaji,…

Read More

Skauti West Ham akodolea macho CHAN

MASHINDANO ya CHAN 2024 yanaendelea kuwavuta wadau mbalimbali wa soka wakiwemo maskauti kutoka kila pembe ya dunia kwa ajili ya kutazama vipaji vya ndani katika Ukanda wa Afrika Mashariki. Miongoni mwa waliokuwa wakifuatilia kwa karibu mechi za Taifa Stars katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ni pamoja na Charton, mchunguzi wa vipaji…

Read More

FISI MSUMBUFU AUAWA AKUTWA NA ALAMA YA JINA LA MTU PAJANI

NA MWANDISHI WETU, SIMIYU ASKARI wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Jeshi la Polisi Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, wamemuua fisi katika Kijiji cha Kimali ambaye alikuwa akiwasumbua wakazi wa eneo hilo. Fisi huyo aliyeuawa anadaiwa kuwa na alama ya jina…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Tumeshtukia wajanja dili la Sowah

YULE Jonathan Sowah ni ingizo muhimu sana kwa Singida Black Stars katika dirisha dogo lililopita kutokana na kasi yake ya kufumania nyavu akimfunika hadi straika aliyemkuta Elvis Rupia. Namba hazidanganyi bhana kwani Sowah katika mechi saba alizocheza ameshafunga mabao saba kwamba ana wastani wa bao moja katika kila mchezo wa Ligi Kuu Bara sasa kupinga…

Read More