Umoja wa Mataifa wasikitishwa na mgomo wa Israel kusini mwa Lebanon na kuua waandishi wa habari – Global Issues

Mgomo huo ulitokea Hasbaya huko Nabatiyeh, nje ya eneo la operesheni za Kikosi cha Muda cha UN nchini Lebanon (UNIFIL) Jengo hilo lilikuwa na wanahabari kadhaa na wafanyakazi wengine wa vyombo vya habari. Akionyesha wasiwasi wake, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq, alisisitiza: “Wakati waandishi wa habari, wanaolindwa chini ya sheria za kimataifa…

Read More

Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha

Dar es Salaam. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ugomvi wa ngumi umezuka nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza unapofanyika mkutano wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Ugomvi huo ulikuwa kati ya wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu dhidi ya wafuasi wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe….

Read More

MIRADI IENDANE NA THAMANI YA FEDHA INAYOTUMIKA – MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  wakati alipofungua Maadhimisho ya Miaka 50 ya Idara ya Ujenzi ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST) kwenye ukumbi wa hoteli ya Goden Tulip Airport, Zanzibar 27 Agusti 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye hoteli ya Golden Tulip…

Read More