HARMONIZE AJIBU KUHUSU SHOW YAKE YA YANGA DAY – MWANAHARAKATI MZALENDO
Baada ya baadhi ya mashabiki kudai kuwa msanii wa Bongo Fleva, Harmonize hakufanya vyema tamasha la Kilele cha Wiki ya Mwananchi ‘Yanga Day’. Harmonize ameamua kutoa maelezo haya kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa Insta Story kwa kusema kuwa: “KWA YEYOTE ALIE ZUNGUMZA KUHUSU SHOW YANGU YANGA DAY KUWA NZURI AU…