Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa 

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu. Mashindano hayo yatafanyika kwa siku tatu kuanzia Mei 29-31 wilayani Kibaha mkoani humo yakishirikisha wanariadha kutoka mikoa yote nchini. Rais wa RT, Rogath John Stephen amesema Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo imeuchagua mkoa huo kuwa…

Read More

Chadema ya miaka 33 ilivyozalisha viongozi nchini

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiadhimisha miaka 33 tangu kuanzishwa kwake jana Januari 21, kimejipambanua kama chuo cha kupika viongozi ambao wanatumika kufanya kazi serikalini. Usajili huo ulipatikana ikiwa ni miezi michache baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa 1992, wakati wa Serikali ya awamu ya pili…

Read More