DK.SAMIA AUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI UVINZA AKIELEZEA MIRADI YA MAENDELEO

Na  Said Mwishehe,Michuzi TV-Uvinza MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia SuluhHassa ameendelea kuchanja mbuga akisaka kura kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo leo Septemba 13,2025 amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma. Katika mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa Tambuka reli uliopo Kata ya Kazula Mimba wilayani Uvinza mkoani Kigoma Dk.Samia ameeleza yaliyofanyika…

Read More

NRA waahirisha mkutano Tanga, sababu yatajwa

Tanga. Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), kimesema kimeshindwa kufanya mkutano wake ambao ilibidi ufanyike mkoani Tanga, kwa ajili ya kumnadi mgombea wake wa nafasi ya urais. Akizungumza na Mwananchi mgombea urais kupitia NRA, Hassan Almasi ambaye ndiye katibu wa chama hicho leo Jumamosi Septemba 13, 2025 amesema wameshindwa kuendelea na mkutano wa Tanga kutokana…

Read More

Othman: Nitaanza na Katiba mpya nikishika dola

Dar es Salaam. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema akipata ridhaa ya kuongoza dola, ataanza na marekebisho ya Katiba ili kuvifanya visiwa hivyo kuwa mikononi mwa Wazanzibari. Othman ameahidi Wazanzibari watakuwa na uhuru wa kuhoji kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa Serikali hiyo, kwa sababu Zanzibar ni nchi ya waungwana….

Read More

Wagombea wanavyotembelea nyota ya Maalim Seif kwenye kampeni

Dar es Salaam. Zaidi ya miaka minne tangu kifo chake, jina la Maalim Seif Sharif Hamad bado linaendelea kutikisa mijadala ya kisiasa nchini, safari hii likiibuka kila mara kwenye kampeni zinazoendelea. Maalim Seif alifariki dunia Februari 17, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu….

Read More

DK.SAMIA:HUWEZI KUSIKIA MTU CCM AKISEMA ‘TUKIWASHE’ LABDA KIWE KING’AMUZI CHA AZAM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kasulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Chama kinachojali ustawi wa taifa letu la Tanzania usikii mtu kwenye Chama hicho akisema tukiwashe na kama wakisema tukiwashe labda kile king’amuzi cha Azam lakini siyo tukiwashe kwa fujo.  Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 13,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

DK.SAMIA ATOA RAI WANANCHI KUCHANGAMKIA FURSA KIGOMA KUFANYABIASHARA NA NCHI JIRANI

 *Aweka wazi mipango itakayokwenda kutekelezwa na serikali miaka mitano ijayo *Azungumzia mbolea ,pembejeo za ruzuku zilivyoongeza uzalishaji mazao Kigoma Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya maendeleo makubwa katika Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma ambayo kwa ujumla imefungua fursa kwa wananchi wa mkoa huo. Akizungumza leo…

Read More

Hizi ndiyo sababu za ACT-Wazalendo kukataa gari la INEC

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban ameeleza kuwa chama hicho kimekataa gari lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya mgombea wao wa urais, Luhaga Mpina, kwa kuwa wanamini kuwa usafiri huo si kigezo cha uwanja sawa katika uchaguzi. Amesema sababu zilizotolewa za INEC kuwa lengo la…

Read More