
Singida BS yaifuata Al Hilal fainali CECAFA Kagame Cup
MIAMBA ya soka la Sudan, Al Hilal Omdurman ilikuwa timu ya kwanza kutinga fainali za Kombe la Cecafa Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya APR kwenye Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam. Al Hilal itacheza fainali dhidi ya Singida BS iliyoifunga KMC mabao 2-0 yaliyofungwa na Clatous Chama na Andy…