TUHAKIKISHE VIJANA WANAPATA MAFUNZO YA UFUNDI STADI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kote nchini kuhakikisha wanawapeleka vijana wao kupata mafunzo ya ufundi stadi yanayoratibiwa na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuwawezesha kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri na kuchangia maendeleo ya Taifa. Akizungumza mara baada ya kukagua karakana za kujifunzia zilizopo katika…

Read More

TPDC yafafanua juu ya msongamano wa magari vituo vya Gesi

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Petroli Tanzania (TPDC) limefafanua changamoto ya hivi karibuni iliyosababisha msongamano wa magari kwenye vituo vya kujazia gesi, hususan Kituo cha Airport jijini Dar es Salaam. Tatizo hilo limesababishwa na hitilafu ya umeme, hali iliyosababisha foleni kubwa ya magari yaliyokuwa yakisubiri huduma ya gesi. Kaimu Mkurugenzi wa Biashara ya…

Read More

Karia: Chuma kimepita kwenye moto

Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wallace Karia amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi, kwa imani yao kwake. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo uliofanyika jijini Tanga na kushinda kwa kishindo amesema haikuwa rahisi kwa mchakato huo wa uchaguzi. Karia amewataka wajumbe wa mkutano huo wasiumie na lolote kwani hatua…

Read More

New King yatanguliza mguu mmoja ZPL 

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar(ZFF) limeanza kusaka timu nne zitakazopanda daraja  kucheza Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu ujao, ili kichukua nafasi ya zile zitakazoshuka katika Ligi hiyo ya juu ngazi ya klabu visiwani humu. Hatua ya mtoano wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja imeanza jana Jumatatu kwenye Uwanja wa Mao A, kwa kuzikutanisha  Sebleni…

Read More

UN ‘kushtushwa sana’ na shambulio kubwa kwa El Fasher iliyozingirwa – maswala ya ulimwengu

Shambulio la Jumatatu liliwaacha raia 40 wakiwa wamekufa na 19 kujeruhiwa ndani ya Abu Shoukkulingana na wenzi wa kibinadamu. Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliripoti kwamba vurugu mpya zililazimisha angalau wakazi 500 wa kambi hiyo kukimbilia sehemu zingine za Kaskazini mwa Darfur. Kaimu mratibu wa kibinadamu wa Sudan, Sheldon Yett, alilaani “mashambulio yote ya…

Read More

Ukomo bando kilio bungeni | Mwananchi

Dodoma. Wabunge wameibua mjadala kuhusu mabando wanayonunua kwenye kampuni za simu kwisha kabla ya kutumika, wakieleza hiyo ni dalili ya wizi. Pia wamezungumzia matumizi ya akili mnemba (AI), wizi wa kutumia mitandao na hisa zilizowekezwa katika kampuni ya Vodacom. Kwa nyakati tofauti wameibua hoja hizo bungeni leo Ijumaa Mei 16, 2025 walipochangia mjadala kuhusu hotuba…

Read More

BoT yanunua zaidi ya tani mbili za dhahabu

Mtwara. Wakati Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ikipanga kununua tani sita za dhahabu kila mwaka, tayari imenunua zaidi ya tani mbili tangu ianze mpango huo mwaka 2024. Mpango wa kununua dhahabu ulianza Julai mwaka jana, lakini utekelezaji wake ukaanza Oktoba. Lengo ni kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni. Hayo…

Read More

KAMISHNA BADRU AKAGUA UENDELEZAJI WA ENEO LA MSOMERA.

Na Mwandishi wetu. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Abdul-razaq Badru ametembea kijiji cha Msomera kilichopo wilayani Handeni Mkoani Tanga kujionea uendelezaji wa eneo hilo ambalo linatumika kwa ajili ya kuwamishia wananchi  tarafa ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari. Akiwa na mwenyeji wake mkuu wa wilaya ya Handeni mhe. Salum Nyamwese,kamishna…

Read More