Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More

Historia ya mvutano maandamano kati ya Polisi, upinzani Tanzania

Katika nchi nyingi zinazoendelea, uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na vyama vya upinzani umekuwa wa kusuasua kutokana na mivutano ya kisheria na kikatiba, hasa linapokuja suala la maandamano. Hali hiyo ipo pia Tanzania, Jeshi la Polisi na vyama vya upinzani, kihistoria, wamekuwa na uhusiano usioridhisha ambapo kila mmoja anatumia kifungu kwenye Katiba kuhalalisha anachotaka…

Read More

Ukizingua Singida BS, faini laki 5

KATIKA harakati za kuhakikisha nidhamu inaimarika ndani ya kikosi, uongozi wa Singida Black Stars umeweka utaratibu wa adhabu mbalimbali kwa wachezaji wanaokiuka misingi na taratibu za timu hiyo.  Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Jonathan Kasano amefichua kuwa kila mchezaji atakayekiuka taratibu zilizowekwa ikiwamo kuchelewa mazoezini au makubaliano atakatwa Dola 200 (takribani Sh528,491) kutoka kwenye mshahara. …

Read More

Hali tete maelfu wakimbia DRC, raia wasota kutafuta hifadhi

Dar es Salaam. Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeingia tena katika taswira mpya ya machafuko, ikiwa ni mfululizo wa miaka mingi ya ghasia ambazo zimelifanya eneo hilo kuwa kitovu cha vita visivyokoma. Mashambulizi ya waasi wa M23 yameibuka tena yakishika kasi katika hali inayovuruga makubaliano ya amani yaliyofanyika wiki iliyopita yakipewa matumaini…

Read More

Dira ya maendeleo 2050, asasi za kiraia zafundwa

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mercy Silla amezitaka asasi za kiraia nchini kuwa na mikakati ya kusogeza mbele ajenda za maendeleo ya nchi, ili kuhakikisha lengo la utoaji huduma shirikishi linatimizwa kwa wananchi wote. Silla ameyasema hayo leo Juni 2, 2025 jijini Arusha wakati wa ufunguzi rasmi wa wiki ya asasi…

Read More