BI. OMOLO APONGEZA UKAMILISHWAJI WA JARIDA LA HAZINA YETU TOLEO LA NNE
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo (kushoto), akikabidhiwa Jarida la Hazina Yetu Toleo la Nne 2025, na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja, Ofisini kwake Treasury Square, Jijini Dodoma. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo (katikati), akiwa Katika picha ya…