Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa
SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu. Mashindano hayo yatafanyika kwa siku tatu kuanzia Mei 29-31 wilayani Kibaha mkoani humo yakishirikisha wanariadha kutoka mikoa yote nchini. Rais wa RT, Rogath John Stephen amesema Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo imeuchagua mkoa huo kuwa…