Zubaa uchekwe! | Mwanaspoti

UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi zitafahamika. Katika muda huo kuna baadhi ya timu na wachezaji binafsi wanafukuzia jambo ambapo katika kipindi hiki cha mwishoni mwa ligi, ukizubaa utachekwa wakati…

Read More

Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV

Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika. Mapema mwaka huu, mara baada ya kuapishwa Rais Trump alitangaza kusitisha misaada yote iliyokuwa ikitolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ikiwamo ugawaji…

Read More

Alazimika kuacha shule awatunze wadogo zake

Njombe. Mkazi wa Kijiji cha Ugabwa kilichopo wilayani Makete Mkoa wa Njombe, Sarah Chaula (17) amelazimika kuacha masomo ili awatunze wadogo zake wawili alioachiwa na wazazi wake  walioondoka nyumbani kwa nyakati na sababu tofauti. Awali baba wa familia ndiye anayedaiwa kutangulia kuondoka nyumbani hapo baada ya kutofautiana na mama wa familia hiyo,  baadaye mama naye…

Read More

Judi:Wasichana jifunzeni Unyoaji Nywele za Kiume

 Mwalimu wa Urembo Chuo VETA Shinyanga  Judi Mwita akionesha umahiri wa kunyoa kwenye Banda la VETA. *Kusema kazi za wanaume ni ndio kufanya kuwepo kwa mfumo dume. Na Mwandishi Wetu   MWALIMU wa Urembo wa Chuo cha VETA Shinyanga Judi Mwita  amesema kuwa wasichana wajifunze masuala ya Urembo ikiwemo unyoaji nywele za kiume kutokana na kuwepo…

Read More

WATAALAMU KITENGO CHA BANDARI WMA WAAHIDI WELEDI ZAIDI KAZINI 

Meneja wa Kitengo cha Bandari, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Alfred Shungu akikagua mtungi maalum unaotumika kuhakiki ujazo wa gesi asilia katika vituo vinavyotumika kujaza gesi hiyo kwenye magari. WMA hufanya kazi ya kuhakiki Pampu zinazotumika kujazia gesi ili kumlinda mlaji/mnunuzi na muuzaji, wote wapate faida stahiki. Mojawapo ya vituo vya kujaza gesi asilia kwenye…

Read More

Barrick yaingiza Sh12 trilioni katika uchumi wa Tanzania

Bulyanhulu. Kampuni ya Barrick imewekeza Dola 4.79 bilioni za Marekani(Sh12 trilioni) katika uchumi wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Barrick imeeleza hayo Jumatatu ya Julai 7, 2025 huku ikisisitiza dhamira yake ya kutoa thamani shirikishi na maendeleo ya muda mrefu nchini. Kwa mujibu wa Barrick kati ya kiwango hicho Dola 558 milioni  (Sh1.4…

Read More