
Siku ya Wafamasia 2024: Wafamasia Wasisitiza Mchango wa Dawa Salama katika Afya za Jamii
MFAMASIA Mkuu wa Serikali, Daudi Msasi amesema Wafamasia wanakazi ya kuhakikisha upatikanaji na kutoa mwongozo juu ya dawa muhimu na vifaa vya matibabu, ikiwa ni pamoja na vipimo vya uchunguzi na bidhaa za dawa,kutoa utaalamu kwa ajili ya huduma ya wagonjwa na afya ya umma Ameyasema hayo leo Septemba 25,2024 wakati wa Maadhimisho ya Siku…