WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMTAKA AFISA USHIRIKA KUSIMAMIA MALIPO YA WAKULIMA WA KAHAWA MBINGA.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni zinazonunua zao hilo. Mhe. Kapinga, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini,…

Read More

Malipo kidijitali: Ni urahisi unaohitaji umakini mkubwa

Kupitisha kadi ya benki au kugusa simu yako. Iwe unanunua katika duka la rejareja au unaagiza chakula mtandaoni, kulipa si changamoto tena kwani salio hupunguzwa moja kwa moja. Hakuna tena foleni ndefu wala usumbufu wa kutafuta chenji; kila kitu hukamilika kwa sekunde chache tu. Urahisi huu wa mifumo ya kielektroniki umekubalika kwa kasi miongoni mwa…

Read More

Viongozi wa Chadema Mbeya washikiliwa, Polisi yafafanua

Dar es Salaam. Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kufanya kusanyiko bila kibali. Tukio hilo limeelezwa kutokea leo Jumatano, Januari 21 katika Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya wakati viongozi hao walipokuwa kwenye maadhimisho ya miaka 33 ya kuasisiwa kwake. Waliokamatwa…

Read More

Thamani ya siku 34, 160 za Mtei katika uchumi wa Tanzania

Wengi huenda wanamfahamu zaidi katika ulimwengu wa kisiasa lakini ni miongoni mwa watu wenye mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania, huenda kile tunachokiona leo katika uchumi wa Tanzania kwa namna moja ama nyingine, kwa ukubwa au udogo kimechangia na juhudi, maarifa na maono yake. Edwin Mtei ambaye amefariki Januari 20, 2026 akiwa na umri wa…

Read More

Nidhamu ya fedha kwa vitendo mwaka 2026

Tunapoanza mwaka 2026, Watanzania wengi tayari wameweka maazimio ya kifedha kama vile kuongeza akiba, kupunguza madeni, kuanzisha biashara au kuwekeza. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha ukweli mmoja mchungu kwamba, maazimio mengi hayadumu zaidi ya miezi michache ya mwanzo wa mwaka. Tatizo si kukosa nia, bali kukosa nidhamu ya fedha na mpangilio. Lakini kama unataka mwaka huu…

Read More