Dk Nchimbi: Tutaziunganisha kaya zote na umeme

Kilimanjaro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema, shabaha ya chama hicho miaka mitano ijayo ni kuhakikisha kaya zote nchini zinaunganishwa na umeme ili kuchochea maendeleo ya wananchi. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 katika mikutano ya kampeni ya uchaguzi mkuu kwenye baadhi ya majimbo mkoani…

Read More

Samia: Kigoma jiandaeni kuitumia SGR kama fursa ya kiuchumi

Uvinza. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kigoma kutumia fursa ya reli ya kisasa (SGR) inayojengwa mkoani humo kwani itakwenda kufungua biashara na uchumi wao. Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa unatekelezwa katika awamu tofauti ili kuunganisha njia kuu za usafirishaji kuanzia Dar es Salaam hadi Kigoma…

Read More

TRA Kagera, yawashika mkono watoto wenye mahitaji maalumu

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Mkoa wa Kagera wamekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Sh5 milioni katika kituo cha kulelelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Nusulu Yatima, Kashai Bukoba. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 Meneja wa TRA Mkoa Kagera, Castro John amesema lengo la msaada huo ni kurudisha kwa…

Read More

Polisi Mara yapokea magari mapya 16 kuboresha utendaji

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limepokea magari mapya 16 kwa ajili ya kuboresha utendaji wao wa kazi huku Kamanda wa Polisi mkoani humo, Pius Lutumo akitoa onyo kwa madereva wa magari hayo kuepuka uendeshaji usiofuta sheria za usalama barabarani ikiwemo mwendokasi. Akikabidhi magari hayo kwa watendaji wa jeshi hilo ngazi ya mkoa na wilaya,…

Read More

Nyambui ashauri mambo matatu kukuza riadha

‎DAMIAN MASYENEN‎‎KUENDELEA kusuasua kwa riadha nchini kumemuibua mwanariadha mkongwe na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui ambaye ameshauri mambo matatu yatakayoupa hadhi mchezo huo. Nyambui ameyataja mambo hayo kuwa ni kupata wadhamini, mbio zinazoandaliwa katika maeneo mbalimbali nchini kuwa na maandalizi bora yatakayovutia wanariadha kushiriki pamoja na wadau na wanariadha kujitokeza kwa wingi pale mbio…

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More

Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More