Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri
Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri
Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula, alifanikiwa kutembelea banda la HaloPesa wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yaliyofanyika katika Viwanja vya Usagara, mkoani Tanga, na kupata fursa ya kujionea pamoja na kuelimishwa kuhusu huduma mbalimbali za kifedha zinazotolewa na mtoa huduma huyo wa kifedha kidijitali. Akiwa katika banda hilo,…
Mbowe Atangaza Ratiba ya Mazishi ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei – Video – Global Publishers Home Featured Stories Mbowe Atangaza Ratiba ya Mazishi ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei – Video
Bobi Wine Aeleza Hatari Anayokabili Baada ya Uchaguzi Tata Uganda – Global Publishers Home Habari Bobi Wine Aeleza Hatari Anayokabili Baada ya Uchaguzi Tata Uganda
Songea. Victor Mhagama, mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma, Jenista Mhagama ameibuka mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa jimbo hilo. Mchakato wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, unafanyika kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Jenista aliyefariki dunia Desemba 11, 2025 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa,…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni zinazonunua zao hilo. Mhe. Kapinga, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini,…
Kupitisha kadi ya benki au kugusa simu yako. Iwe unanunua katika duka la rejareja au unaagiza chakula mtandaoni, kulipa si changamoto tena kwani salio hupunguzwa moja kwa moja. Hakuna tena foleni ndefu wala usumbufu wa kutafuta chenji; kila kitu hukamilika kwa sekunde chache tu. Urahisi huu wa mifumo ya kielektroniki umekubalika kwa kasi miongoni mwa…
Dar es Salaam. Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kufanya kusanyiko bila kibali. Tukio hilo limeelezwa kutokea leo Jumatano, Januari 21 katika Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya wakati viongozi hao walipokuwa kwenye maadhimisho ya miaka 33 ya kuasisiwa kwake. Waliokamatwa…
Wengi huenda wanamfahamu zaidi katika ulimwengu wa kisiasa lakini ni miongoni mwa watu wenye mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania, huenda kile tunachokiona leo katika uchumi wa Tanzania kwa namna moja ama nyingine, kwa ukubwa au udogo kimechangia na juhudi, maarifa na maono yake. Edwin Mtei ambaye amefariki Januari 20, 2026 akiwa na umri wa…
Tunapoanza mwaka 2026, Watanzania wengi tayari wameweka maazimio ya kifedha kama vile kuongeza akiba, kupunguza madeni, kuanzisha biashara au kuwekeza. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha ukweli mmoja mchungu kwamba, maazimio mengi hayadumu zaidi ya miezi michache ya mwanzo wa mwaka. Tatizo si kukosa nia, bali kukosa nidhamu ya fedha na mpangilio. Lakini kama unataka mwaka huu…