Polisi yaibua mapya sakata la Mbowe, wenzake

Mbeya. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema viongozi na wanachama wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wakishikiliwa wameachiwa huru na kusafirishwa kwa ulinzi wa jeshi hilo hadi maeneo walikotoka wakiwamo wa jijini Dar es Salaam. Jeshi hilo limesisitiza iwapo kuna mtu aliyekuwa ameshikiliwa na hajulikani alipo, familia zao ziulizwe kwa kuwa kila…

Read More

Elimu ya amali inaweza kututoa Watanzania

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa inayobadilika kwa kasi kubwa, siyo tu maarifa ya kinadharia yanayohitajika, bali pia uwezo wa kivitendo, yaani ujuzi wa amali.  Elimu ya amali, ambayo mara nyingi hufananishwa na elimu ya ufundi au elimu ya ujuzi, ndio njia bora ya kuandaa vijana kwa maisha ya kazi, uvumbuzi, na kujitegemea.  Elimu…

Read More

Madee na picha ya rais Emirates Stadium

Madee ameshare picha zinazomuonesha akiwa katika Uwanja wa Club ya Arsenal inayoshiriki ligi kuu England, akiwa amebeba picha ya Rais Samia na Bendera ya Tanzania Uwanjani hapo Madee ameshiriki katika moja ya mechi za team hiyo ya Arsenal ambayo ni team yake pendwa.. na amekua akisafiri mara kadhaa kwenda huko kwaajili ya kutazama team yake…

Read More

Mwili wa Sheikh Jabir waokotwa, Polisi waeleza

Unguja. Wakati mwili wa Sheikh Jabir Haidar Jabir ukiokotwa ukiwa umetelekezwa, polisi wamesema haujakutwa na majeraha yoyote huku mazingira ulikokutwa hayakuonesha dalili zozote za vurugu, hivyo inawezekana alipata madhara sehemu nyingine na kupelekwa katika eneo hilo. Mwili wa Sheikh Jabir uliokotwa kando mwa barabara usiku wa kuamkia leo Mei 28, 2025 eneo la Kizimbani Bumbwisudi…

Read More

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79 – MWANAHARAKATI MZALENDO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini Alhamisi, Septemba 19, 2024 kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79). Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na…

Read More

Kramo amfuata Onana Libya | Mwanaspoti

Aliyekuwa winga wa Simba, Aubin Kramo amejiunga na klabu ya Olimpique Zouia inayoshiriki Ligi Kuu Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja, Mwanaspoti limethibitisha. Usajili huo wa Kramo, umefanya kuwa mchezaji wa pili kutoka Simba kujiunga na klabu za Ligi Kuu Libya baada ya awali mshambuliaji Mcameroon Willy Onana kujiunga na Al Hilal SC ya nchini…

Read More

Kuelekea uchumi wa kidijitali Tanzania kujiimarisha usalama mtandaoni

Arusha. Tanzania imeendelea kujiimarisha na kuongeza nguvu kwenye usalama mitandao ili kukuza uchumi wa kidijitali pamoja na kuvutia wawekezaji. kupitia Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU), imekuwa miongoni mwa nchi 47 bora zilizowekwa kwenye kundi la kwanza zenye mitandao bora salama. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Aprili 10, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama  (ICTC)  Dk…

Read More