Kumekucha Yanga, mastaa sita Kuachwa

BAADA ya Yanga Princess kuonyesha kiwango kizuri msimu huu, itaachana na wachezaji sita na kuongeza nyota wapya. Nyota hao ni Danai Bhobho ambaye alitumikia Yanga kwa msimu mmoja akitokea Simba Queens, Rebeca Ajimida kutokea Nigeria ambaye hakupata nafasi ya kucheza kikosini hapo. Neema Paul aliyemaliza mfungaji bora kikosini hapo akiweka kambani mabao 12 sawa na…

Read More

Tanesco yawatangazia neema wakazi wa Mbagala

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange ametangaza awamu ya kwanza ya kituo cha kupoza umeme cha Mbagala kilichoboreshwa kimeanza rasmi kufanya kazi huku kikizalisha megawati 50 za umeme. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua kituo hicho kilichopo Mbagala, leo Jumanne, Mei 13, 2025, Twange amesema uwezo huo mpya…

Read More

NCHI ZA UKANDA WA MASHARIKi KuJIPANGA NA KUANGALIA NAMNA YA KUJA NA VYANZO VIP YA VYA KUZALISHA UMEME

Washiriki kutoka Nchi 12 za ukanda wa Mashariki na kushiriki Mafunzo ya Wataalam wanaohusika na Mambo ya Nishati wakiwa katika picha ya pamoja Mtaalam Sourian Hachad akiendelea kutoa ufafanuzi namna ya kutumia vyanzo vingine kwaajili ya kuzalisha umeme Wa kwanza kushoto ni Naibu katibu mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Tenkolojia Prof. Daniel Mushi akibadilishana…

Read More

TEWW YAPONGEZWA KWA KUANDAA WATAALAMU WA ELIMU

  Mgeni Rasmi, Prof. James Mdoe (wa tatu kushoto akiwa ameketi), Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi  la TEWW, Dkt. Naomi Katunzi (kulia kwake), Mkuu wa Taasisi, Prof. Michael Ng’umbi (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na  baadhi ya wahitimu wa mahafali ya 62 yaliyofanyika Dar es Salaam tarehe 26 Juni 2024. Baadhi ya wahitimu…

Read More

Bashungwa aapa kutoondoka Lindi, kisa barabara

Kilwa. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hatoondoka mkoani Lindi, hadi pale agizo lake la kujengwa kwa barabara iliyokatika kujengwa ndani ya saa 72 litakapokamilika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Mei 6, 2024 alipotembelea eneo la Mto Matandu, Waziri Bashungwa amesema atajitahidi kufika maeneo yote yaliyopata madhara hata ikiwa kwa boti. “Kwa namna yoyote…

Read More

UN inataka mabadiliko ya vikwazo vya Amerika juu ya rapporteur maalum Francesca Albanese – Maswala ya Ulimwenguni

Wanataka uamuzi wa kubadilishwa, kuonya inaweza kudhoofisha mfumo mpana wa haki za binadamu wa kimataifa. Vizuizi vilitangazwa na Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio Jumatano chini ya agizo la Utendaji wa Rais. Bwana Rubio alidai kuwa Bi. Albanese “alikuwa ameshirikiana moja kwa moja na Korti ya Jinai ya Kimataifa . Amerika na Israeli sio…

Read More

Pacome: Nipo fiti, Naumia sana kutocheza

Mashabiki wa soka nchini wamemisi maufundi ya kiungo wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua aliyekuwa majeruhi, lakini mwenyewe amefunguka kupona na sasa yupo tayari kurejea uwanjani kuendelea kuipambania timu na kutoa burudani. Pacome aliumia Machi 17, mwaka huu kwenye mechi ya ligi dhidi ya Azam iliyopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na timu yake ikipoteza…

Read More

Fadlu Davids aweka mtego Ligi Kuu Bara

SIMBA waliitaka mechi ya leo dhidi ya Pamba Jiji na wamepatiwa baada ya hapo awali Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuitoa katika tarehe iliyopangwa ili kuipa nafasi zaidi timu hiyo kujiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi ya Bravos. Kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids aliona kukaa wiki mbili…

Read More