Polisi yaibua mapya sakata la Mbowe, wenzake
Mbeya. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema viongozi na wanachama wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wakishikiliwa wameachiwa huru na kusafirishwa kwa ulinzi wa jeshi hilo hadi maeneo walikotoka wakiwamo wa jijini Dar es Salaam. Jeshi hilo limesisitiza iwapo kuna mtu aliyekuwa ameshikiliwa na hajulikani alipo, familia zao ziulizwe kwa kuwa kila…