Malipo kidijitali: Ni urahisi unaohitaji umakini mkubwa

Kupitisha kadi ya benki au kugusa simu yako. Iwe unanunua katika duka la rejareja au unaagiza chakula mtandaoni, kulipa si changamoto tena kwani salio hupunguzwa moja kwa moja. Hakuna tena foleni ndefu wala usumbufu wa kutafuta chenji; kila kitu hukamilika kwa sekunde chache tu. Urahisi huu wa mifumo ya kielektroniki umekubalika kwa kasi miongoni mwa…

Read More

Viongozi wa Chadema Mbeya washikiliwa, Polisi yafafanua

Dar es Salaam. Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kufanya kusanyiko bila kibali. Tukio hilo limeelezwa kutokea leo Jumatano, Januari 21 katika Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya wakati viongozi hao walipokuwa kwenye maadhimisho ya miaka 33 ya kuasisiwa kwake. Waliokamatwa…

Read More

Thamani ya siku 34, 160 za Mtei katika uchumi wa Tanzania

Wengi huenda wanamfahamu zaidi katika ulimwengu wa kisiasa lakini ni miongoni mwa watu wenye mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania, huenda kile tunachokiona leo katika uchumi wa Tanzania kwa namna moja ama nyingine, kwa ukubwa au udogo kimechangia na juhudi, maarifa na maono yake. Edwin Mtei ambaye amefariki Januari 20, 2026 akiwa na umri wa…

Read More

Nidhamu ya fedha kwa vitendo mwaka 2026

Tunapoanza mwaka 2026, Watanzania wengi tayari wameweka maazimio ya kifedha kama vile kuongeza akiba, kupunguza madeni, kuanzisha biashara au kuwekeza. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha ukweli mmoja mchungu kwamba, maazimio mengi hayadumu zaidi ya miezi michache ya mwanzo wa mwaka. Tatizo si kukosa nia, bali kukosa nidhamu ya fedha na mpangilio. Lakini kama unataka mwaka huu…

Read More

Mikopo ya simu inavyogeuka mkombozi kipindi cha ukata

“Ukisikia ‘Njaanuari’ tarehe kama hizi ndiyo imeshika kasi. Baada ya matumizi makubwa ya sikukuu na likizo za mwisho wa mwaka, unakutana na ada za watoto, kodi ya nyumba, na mahitaji mengine ya lazima. Hapo ndipo unapoanza kutafuta mkopo wa kukuvusha kipindi hiki,” anasema Ismail Hamis, mkazi wa Dar es Salaam. Hamis anasema tofauti na miaka…

Read More

Rais wa Bunge la Umoja wa Mataifa anatetea mfumo wa kimataifa, Mkataba wa Umoja wa Mataifa huko Davos – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza katika kikao hicho Nani Brokers Wanaamini Sasa? katika Kongamano la Kiuchumi la Dunia, Annalena Baerbock alionya kwamba taasisi za kimataifa – ambazo zimeonekana kwa muda mrefu kama wakala wa uaminifu wa kimataifa – ziko chini ya mkazo usio na kifani huku mizozo ikiongezeka na heshima kwa sheria ya kimataifa inamomonyoka. “Nani madalali wanaamini?” Aliuliza….

Read More

kwa nini mgogoro unazidi kuongezeka – na nini kinafuata – Masuala ya Ulimwenguni

Magenge yenye silaha yanadhibiti maeneo makubwa ya eneo na vurugu zimeenea zaidi ya mji mkuu wa Port-au-Prince, na kudhoofisha uwezo wa Serikali wa kutawala na kutoa huduma za kimsingi. Uchaguzi wa rais haujafanyika kwa muongo mmoja na mahitaji ya kibinadamu yamefikia viwango ambavyo havijawahi kushuhudiwa huku mamilioni ya watu wakihangaika kukidhi mahitaji yao ya kila…

Read More

MKURUGENZI MKUU WA NSSF AONGOZA UTOAJI WA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII KATIKA SOKO LA TEGETA NYUKI

Na Mwandishi Wetu,  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri kushindwa kujiunga na Mfuko huo kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa ambayo yanawawezesha kunufaika na mafao mbalimbali sawa na waajiriwa wa sekta ya umma na binafsi. Bw. Mshomba alitoa kauli hiyo wakati alipowaongoza …

Read More

Simba kushusha kiungo kutoka ligi ya Cameroon

MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi Kuu ya Cameroon. Loemba raia wa Congo Brazzaville aliyezaliwa Agosti 4, 2004, rekodi zake zinaonyesha katika michuano ya CAF kacheza mechi nne, kafunga bao moja. Chanzo cha ndani kutoka…

Read More