Hofu ya ‘kibamia’ inavyotesa wanaume wengi

Mwanza. Ukubwa wa uume ni mada ambayo wanaume wengi huijadili kwa sauti ya chini, kwa aibu au kwa mzaha, lakini ndani yake ikiwa imejaa hofu na mashaka. Katika vijiwe vya kahawa, makundi ya marafiki na hata faraghani ndani ya ndoa, swali la wanaume wengi limekuwa lilelile; je, nina ukubwa wa kutosha? Nitamridhisha mke wangu? Kadiri…

Read More

MFUKO WA PAMOJA WA RUZUKU KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUIMARISHA UFADHILI NA UENDELEVU: DKT. JINGU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amesema kuanzishwa kwa Mfuko wa Pamoja wa Ruzuku kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs Basket Fund – NBF) kutarahisisha upatikanaji wa rasilimali fedha na uendelevu kwa Mashirika hayo nchini. Akizungumza Machi 18, 2026, wakati wa ufunguzi wa kikao kazi…

Read More

Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More

Othman aahidi neema kwa watumishi Zanzibar

Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT–Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuunda Serikali, ataweka kima cha chini cha mshahara wa Sh1 milioni kwa watumishi wa umma. Othman, ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT–Wazalendo, amesema hatua hiyo inalenga kuongeza morali na ufanisi wa kazi kwa watumishi, huku akisisitiza kuwa kipaumbele kitatolewa…

Read More

Tabora United yasaka kipa, Chilunda ndani

UONGOZI wa Tabora United umeingia sokoni kusaka kipya mpya baada ya tegemeo namba moja, Fikirini Bakari, kuvunjika taya katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 katika Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam. Chanzo cha Mwanaspoti kimesema Bakari aliyemaliza akiwa na ‘clean sheet’ moja aliyoipata akiwa Fountain Gate kabla ya kujiunga wakati dirisha…

Read More

Mwenyekiti wafanyabiashara Arusha ashikiliwa, Mbunge…

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha (DC), Joseph Mkude amesema Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya hiyo, Dominic Mollel huku Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Morris Makoi akitoa ushirikiano wa kumtafuta dalali anayedaiwa kuchukua mali za aliyekuwa mfanyabiashara katika moja ya maduka ya stendi ndogo Arusha, Josephine Shirima. Mwananchi imemtafuta mbunge huyo…

Read More