Mtiririko wa Silaha Ulimwenguni Unaruka Takriban asilimia 10 Mahitaji ya Ulaya Yanapoongezeka kutokana na Uhamisho kwenda Ukraine – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: UNDP Ukraine na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 10, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 10 (IPS) – Mgogoro wa kijeshi unaoendelea kati ya Ukraine na Urusi—ulioanza Februari 2022, bila dalili zinazoonekana kumalizika—umeanzisha uhamisho mkubwa wa silaha hadi Ulaya. Kulingana na ripoti ya hivi punde kutoka Taasisi ya Kimataifa ya…

Read More

Hamu ya mashabiki Yanga kuwaona mastaa laivu

YANGA leo Septemba 12 inafanya tamasha la saba la Wiki ya Mwananchi tangu lilipoanzishwa 2019, huku shauku kubwa ya mashabiki ni kutaka kuwaona wachezaji wapya laivu na burudani mbalimbali zinazoendelea. Mwanaspoti limefanya mahojiano na baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao wamezungumzia furaha ya na namna tamasha hilo linavyozidi kuwa bora kila mwaka huku pia linawakutanisha…

Read More

Straika Majimaji ageukia udiwani | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani Majimaji, Stand United, Alliance na Singida United, Six Mwasekaga amegeukia siasa akijitosa kuwania udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo katika Kata ya Mbugani, wilayani Kyela, mkoa wa Mbeya. Mwasekaga aliliambia Mwanaspoti kwa sasa hachezi mpira wa ushindani na ameona ana nafasi ya kufanya kitu katika jamii kupitia siasa. “Kitu kikubwa kilichonishawishi ni…

Read More

CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA. Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya masoko ya mitaji huku thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji imeongezeka kwa asilimia 75.25.Ongezeko hilo hadi Agosti mwaka huu 2025 imefika Sh.trilioni 55.45 kutoka Sh. trilioni 31.64 Agosti 2021 na…

Read More

Adarus Walii aingiza sokoni filamu mpya “Mke wa Mama”

Na Mwandishi Wetu MUONGOZAJI wa filamu nchini Tanzania, Adarus Walii ambaye pia ni msanii, ameingiza sokoni filamu yake inayojulikana kwa jina la ‘Mke wa Mama’ hivi karibuni katika mitandao mbalimbali ya kijamii ukiwemo ‘YouTube’. Walii amewahi kutamba na filamu mbalimbali kama ‘Muuza Genge’, ‘Aisha’, ‘Namtaka Mwanangu’, ‘Bondo DSM’, ‘Slay Queens’ na ‘Mapenzi na Muziki ambazo…

Read More

Sababu majanga ya moto majengo ya Kariakoo

Dar es Salaam. Kasi ya ukuaji wa biashara Kariakoo imeibua tatizo jipya la usalama baada ya kuibuka kwa matukio ya moto yaliyohusishwa na wapangaji kuhamia katika majengo kabla ya kukamilika. Ndani ya mwezi mmoja wa Agosti pekee, zimetokea ajali mbili za moto katika majengo yanayoendelea na ujenzi, huku kukiwa na wapangaji wanaoendelea na biashara zao….

Read More

Wale wa kubania ushuzi, mnalijua hili…

Dar es Salaam. Umewahi kujamba mbele ya mwenza wako, rafiki au wafanyakazi wenzako? Achana na aibu na fedheha ulioipata, kitaalamu ulifanya tendo sahihi kwa masilahi ya afya yako. Kwa taarifa yako, kubania ushuzi kunakuweka katika hatari ya kupatwa na magonjwa kadhaa yasiyoambukiza, ikiwemo saratani, kama ilivyofafanuliwa katika ripoti za tafiti mbalimbali na wataalamu wa afya….

Read More

Wacongo kumpa muhula mwingine Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More