ZIFF YATANGAZA FILAMU ZINAZOWANIA TUZO 2024

*Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika shughuli za Sanaa na Jamii WAANDAAJI WA Tamasha la Kimataifa la Filamu la Nchi za Jahazi Zanzibar maarufu kama ZIFF ( Zanzibar International Film Festival,) wametangaza filamu 70 kati ya 3000 zilizowasilishwa ambazo zitashiriki katika kuwania tuzo za ZIFF kwa msimu wa 27,2024 utakaofanyika Agosti 1 Hadi…

Read More

MAMENEJA RASILIMALIWATU KATIKA SEKTA YA UMMA AFRIKA WAMUUNGA MKONO RAIS  SAMIA KUTANGAZA SEKTA YA UTALII WA TANZANIA

Rais wa Mtandao wa Mameneja wa Rasilimaliwatu katika Sekta ya Umma Afrika (APS-HRMNet) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akizungumza wakati Wajumbe wa Mkutano wa 9 wa Mtandao wa Mameneja Rasilimaliwatu katika Sekta ya Umma Afrika (APS-HRMnet) walipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro. Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais, Meneimenti…

Read More

SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

Teknolojia yatajwa kupaisha kilimo, ufugaji

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema teknolojia imeleta mabadiliko katika sekta ya kilimo na ufugaji. Hemed amesema hayo baada ya kutembelea na kukagua bidhaa za kilimo na ufugaji leo Agosti 9, 2024 katika maonyesho ya wakulima Nanenane katika viwanja vya Dole Kizimbani, Unguja. Amesema maonyesho hayo yanatoa fursa kwa…

Read More