Mawio na machweo ya William Lukuvi: Pumzikia Mwana-Ismani
Dar es Salaam. Mwandamizi mkuu amekiacha chumba. Kiti kimoja ukumbini sasa ni tupu. Kitahitaji kujazwa. William Vangimembe Lukuvi, mbunge mwenye uzoefu mkubwa zaidi ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amevuta pumzi ya mwisho. Kifo ni hatima ya uhakika kwa binadamu wote, kila mja hugota kwa namna na wakati wake. Mahali roho ya…