Absa Bank Tanzania Yafunga Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ kwa Droo ya Mwisho na Kutangazwa kwa Mshindi wa Zawadi Kuu

Benki ya  Absa Tanzania leo imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ iliyodumu Kwa miezi mitatu baada ya kufanyika kwa droo ya tatu na ya mwisho katika hafla Iliyofanyika jijini Dar es Salaam, jana.  Droo ya mwisho imehitimisha kampeni ya miezi mitatu iliyolenga kuwazawadia wateja kwa kufanya miamala  na huduma za…

Read More

JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI

Na Mwandishi Wetu. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, hususan wanapoajiri au kuwasainisha mikataba watumishi wa kada ya habari, ili kuepuka migogoro ya kisheria inayoweza kujitokeza baadaye. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu…

Read More

Simba kushusha kiungo kutoka Cameroon

MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka Simba kwamba klabu hiyo imemalizana na kiungo mshambuliaji, Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi Kuu ya Cameroon. Loemba raia wa Congo Brazzaville aliyezaliwa Agosti 4, 2004, rekodi zake zinaonyesha katika michuano ya CAF kacheza mechi nne, kafunga bao moja. Chanzo cha ndani kutoka…

Read More

Maelfu ya Wakulima Wadogo Wadogo wa Kahawa wa Kenya Wako Hatarini Kupoteza Soko la Umoja wa Ulaya Jinsi Sheria ya Ukataji Misitu Inavyochukua Athari – Masuala ya Ulimwenguni

Mkulima wa kahawa akikagua shamba lake lililounganishwa katika Kaunti ya Kiambu, Kenya. Credit: Jackson Okata/IPS na Jackson Okata (nyeri, kenya) Jumatano, Januari 21, 2026 Inter Press Service NYERI, Kenya, Januari 21 (IPS) – Kwa miaka ishirini iliyopita, Sarah Nyaga, mkulima mdogo kutoka Kaunti ya Embu katikati mwa Kenya, amekuwa akilima kahawa. Kama ilivyo kwa wengi…

Read More

TRA Yazindua Mafunzo ya IDRAS, Taasisi 60 Kuunganishwa

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia uzinduzi rasmi wa Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) unaotarajiwa kufanyika Februari 9, mwaka huu, jumla ya taasisi 60 zitakuwazimeunganishwa na mfumo huo ili ziweze kutoa huduma kwa wafanyabiashara. Kamishna wa Kodi za Ndani, Alfred Mlegi amesema hayo leo Januari, 21,2026 wakati wa ufunguzi…

Read More

Takukuru yatakiwa kuchunguza kusuasua mradi wa elimu Iringa

Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani humo kuchunguza miradi ya elimu iliyochelewa kukamilika licha ya fedha zote kutolewa. Agizo hilo limetolewa Januari 20, 2026 baada ya ziara ya kushtukiza katika Shule ya Sekondari Lugalo, ambapo ujenzi wa bweni la wanafunzi uliopewa Sh159 milioni…

Read More