Absa Bank Tanzania Yafunga Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ kwa Droo ya Mwisho na Kutangazwa kwa Mshindi wa Zawadi Kuu
Benki ya Absa Tanzania leo imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ iliyodumu Kwa miezi mitatu baada ya kufanyika kwa droo ya tatu na ya mwisho katika hafla Iliyofanyika jijini Dar es Salaam, jana. Droo ya mwisho imehitimisha kampeni ya miezi mitatu iliyolenga kuwazawadia wateja kwa kufanya miamala na huduma za…