Wanawake waongoza mikopo kidijitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More

Kariakoo Derby Kupigwa Amaan Complex Leo Usiku

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yataelekezwa Zanzibar usiku wa leo wakati watani wa jadi watakapokutana katika pambano la Kariakoo Derby. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Amaan Stadium (Amaan Complex) kuanzia saa 2:15 usiku, huku presha ikiwa kubwa kwa kila upande kusaka ushindi muhimu….

Read More

Ibenge ataja sifa tatu za Yanga

KUELEKEA mechi ya Dar es Salaam Dabi, itakayopigwa kesho Machi 15, kocha wa Azam, Florent Ibenge, ametaja sifa tatu za wapinzani hao huku akisema kuwa kocha wa Yanga, Pedro Goncalves ana ufundi wa hali ya juu. Yanga inatarajiwa kuvaana na Azam kesho kwenye mchezo mkali wa Ligi Kuu zikiwa ni timu mbili ambazo hadi sasa…

Read More

SBL Wakutana na Waziri wa Kilimo Chongolo Kukuza Kilimo

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo Kwenye Picha ya Pamoja na Uongozi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Na Neema Adrian Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) jana ilikutana na Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, katika kikao cha kimkakati kilicholenga kuimarisha mnyororo wa thamani wa kilimo nchini, kuwawezesha wakulima na kuchangia maendeleo ya viwanda na…

Read More

Wauguzi, wakunga wakumbushwa kuzingatia maadili ya kazi zao

Tanga. Katibu Mkuu wa Chama Cha Wauguzi Tanzania, (Tanna), Geofrey Chacha amewataka wauguzi kuhakikisha wanazingatia kanuni na sheria za kazi zao, ili kuweza kuepukana na kashfa na tuhuma dhidi yao ambazo zinaweza kuwachafua kwenye taaluma. Akizungumza kwenye mkutano wa Chama cha Wauguzi Mkoa wa Tanga uliofanyika wilayani Muheza Jumamosi Septemba 13, 2025 kujadili mipango ya…

Read More