PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 28,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 28,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 28,2024 Featured • Magazeti About the author
Arusha. Mahakama ya Rufani imeyatupa maombi ya Baraza la Wadhamini wa Jumuiya ya Waislam Tanzania ya kutaka Bodi ya Wadhamini ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), izuiwe kutekeleza hukumu ya mahakama ya Mahakama Kuu. Jumuiya hiyo iliwasilisha maombi hayo namba 480/08 ya 2024 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura ikitaka Bakwata izuiwe kuwaondoa kwa…
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 2,2024 Kimataifa • Magazeti About the author
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar es Salaam na kusababisha kifo cha Noel Mwingira, maarufu Zuchy wazipeleke zifanyiwe kazi. Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na…
Mwezi uliopita, waasi wa M23 waliteka mji huo – kubwa zaidi katika mkoa na mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini. Karibu watu 3,000 wameripotiwa kuuawa na 2,880 wamejeruhiwa. Ocha Msemaji Jens Laerke alisema Zaidi ya watu 110,000 waliohamishwa wameacha tovuti huko Goma na wameanza kuhamia vijiji katika maeneo ya Masisi, Rutshuru na Nyiragongo. Timu…
Kuanzia Januari 1, 2025, Hungary iliikabidhi Poland kijiti cha urais wa kupokezana wa Umoja wa Ulaya, na hivyo kuhitimisha miezi sita ya msukosuko ndani ya umoja huo. Hayo ni wakati mataifa mawili yenye uchumi mkubwa barani Ulaya ya Ujerumani na Ufaransa yakikabiliwa na migogoro ya kisiasa. Badala ya kuwa mpatanishi asiyeegemea upande wowote, Waziri Mkuu…
Arusha. Ikiwa ni mwendelezo wa ukamataji wa wahamiaji haramu wanaoingia nchi, Jeshi la Uhamiaji Mkoa wa Arusha limewakamata wahamiaji haramu 28 kutoka Ethiopia walioingia nchini kwa njia za panya. Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia Julai 5, 2024 baada ya lori la mzigo walilokuwa wamepakiwa kupata ajali baada ya kugongana na lori jingine, hivyo wakalazimika…
Na Emmanuel Massaka, Michuzi TV DIWANI wa Kata ya Mabwepande ,Muhajirina Kassim Obama amewataka vijana kushikamana na katika kukipigania Chama Cha MApinduzi katika chaguzi mbalimbali zitazofanyika kuanzia Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025. Hayo ameseyasema Obama katika Mkutano wake na Vijana wa UVCCM Tawi la Mbopo wa Zima zote na Kuwasha…
Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.” Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.” Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…
Timu za wakala zimefanya kazi karibu na saa hiyo kutoa huduma kwa watu ambao wamezidiwa kufuatia miezi 15 ya kupigwa risasi mara kwa mara, kuhamishwa, na ukosefu wa vifaa muhimu, shirika hilo lilisema katika taarifa kwa waandishi wa habari. “Hii inaonyesha UnrwaKujitolea kwa kusaidia familia huko Gaza kupitia shida hii ya kibinadamu isiyo ya kawaida“Alisema…