Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar es Salaam na kusababisha kifo cha Noel Mwingira, maarufu Zuchy wazipeleke zifanyiwe kazi. Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na…

Read More

Ajali ya lori ilivyowanasa wahamiaji haramu Arusha

Arusha. Ikiwa ni mwendelezo wa ukamataji wa wahamiaji haramu wanaoingia nchi, Jeshi la Uhamiaji Mkoa wa Arusha limewakamata wahamiaji haramu 28 kutoka Ethiopia walioingia nchini kwa njia za panya. Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia Julai 5, 2024 baada ya lori la mzigo walilokuwa wamepakiwa kupata ajali baada ya kugongana na lori jingine, hivyo wakalazimika…

Read More

DIWANI ATAKA VIJANA KUSHIKAMANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.

    Na Emmanuel Massaka, Michuzi TV DIWANI wa Kata ya Mabwepande ,Muhajirina Kassim Obama amewataka vijana kushikamana na katika kukipigania Chama Cha MApinduzi katika chaguzi mbalimbali zitazofanyika kuanzia Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025. Hayo ameseyasema Obama katika Mkutano wake na Vijana wa UVCCM Tawi la Mbopo wa Zima zote na Kuwasha…

Read More

Mjadala wa viboko kwa wanafunzi, suluhu hii hapa

Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.”  Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti  kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.”  Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…

Read More

Pamoja na changamoto, UNRWA inasema 'maendeleo yasiyolingana' yaliyofanywa wakati wa kusitisha mapigano – maswala ya ulimwengu

Timu za wakala zimefanya kazi karibu na saa hiyo kutoa huduma kwa watu ambao wamezidiwa kufuatia miezi 15 ya kupigwa risasi mara kwa mara, kuhamishwa, na ukosefu wa vifaa muhimu, shirika hilo lilisema katika taarifa kwa waandishi wa habari. “Hii inaonyesha UnrwaKujitolea kwa kusaidia familia huko Gaza kupitia shida hii ya kibinadamu isiyo ya kawaida“Alisema…

Read More