Hiki hapa chanzo cha ajali migodini

Dar es Salaam. Wakati mara kadhaa Serikali ikinyooshewa kidole pale zinapotokea ajali kwenye migodi, Kamishna Msaidizi Wizara ya Madini, Terrence Ngolo amesema ajali hizo haziwezi kuisha kutokana na watu kukiuka maelekezo ya wataalamu. Amesema wakati mwingine ajali hizo hutokea kwa uzembe hasa pale wachimbaji wanapokiuka maelekezo ya tahadhari yanayotolewa na wataalamu. Ngolo amesema hayo leo…

Read More

Mambo yanayowasibu wachimbaji wadogo migodini, ufumbuzi watajwa

Dar es Salaam. Licha ya kuwa uchimbaji wa madini ni moja ya shughuli zinazovutia watu wengi, hususan wachimbaji wadogo, bado kundi hilo linakabiliwa na changamoto nyingi zinazohatarisha usalama na afya zao. Miongoni mwa changamoto kubwa ni matumizi ya kemikali hatari kama zebaki, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa takribani asilimia 71 ya shughuli za uchimbaji nchini zinahusisha…

Read More

Majaliwa azindua kampeni za ubunge Nachingwea

Dar es Salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua kampeni za ubunge Nachingwea, akitoa wito kwa wananchi kuchagua wagombea wote wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza kwenye kampeni zilizofanyika uwanja wa maegesho ya malori Nachingwea mjini, leo Septemba 12, 2025…

Read More

Mwita: Ninaijua Kibamba, nitashughulikia changamoto zilizopo

Dar es Salaam. Mgombea udiwani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kibamba, Otaigo Mwita, amesema amedhamiria kutatua changamoto zilizopo katani humo atakapopewa ridhaa na wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake leo Septemba 12, 2025 eneo la Kibamba Shule, amesema anaielewa vizuri hali ya kata hiyo…

Read More

Hiki hapa chanzo cha ahaji ajali migodini

Dar es Salaam. Wakati mara kadhaa Serikali ikinyooshewa kidole pale zinapotokea ajali kwenye migodi, Kamishna Msaidizi Wizara ya Madini, Terrence Ngolo amesema ajali hizo haziwezi kuisha kutokana na watu kukiuka maelekezo ya wataalamu. Amesema wakati mwingine ajali hizo hutokea kwa uzembe hasa pale wachimbaji wanapokiuka maelekezo ya tahadhari yanayotolewa na wataalamu. Ngolo amesema hayo leo…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

NRA kuunda Serikali yenye Wizara 10 ikishinda uchaguzi

Mirerani. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Almas Kisabya amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, ataunda Serikali ndogo yenye wizara zisizozidi 10, lengo likiwa kufanikisha utendaji kazi. Kisabya ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni ya urais leo Ijumaa Septemba 12 mwaka 2025 mjini Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Amesema endapo atachaguliwa…

Read More