Raundi 10 ZPL kuchezwa Gombani, Bodi yafafanua

KATIKA kuhakikisha Pemba inafunguka kimichezo, Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ipo katika mazungumzo ya kuomba kuutumia uwanja mkubwa wa Gombani katika raundi 10 zilizosalia za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Hatua hiyo inalenga kuzisaidia timu, hasa kutoka Pemba, kurushwa mubashara kama ilivyo za Unguja. Katika misimu miwili mfululizo, mechi zinazochezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo…

Read More

TOZO MPYA ZA BANDARI ZIFUTWE KABISA-TACAS

……… Wafanyabiashara na wadau wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wameiomba Serikali kuondoa kabisa tozo mpya za maboresho ya miundombinu ya bandari zilizotangazwa hivi , wakidai kuwa zinaweza kuongeza gharama za biashara na hatimaye kuumiza walaji wa mwisho. Wadau hao wameeleza kuwa licha ya uamuzi wa mamlaka ya Bandari kusitisha kwa muda tozo hizo hadi…

Read More

Chama atoa kauli nzito Simba

LICHA ya ushindani mkali uliopo katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama, anaamini kikosi chao kina uwezo na ubora wa kutwaa ubingwa msimu huu. Chama amesema kikubwa kwa sasa ni wachezaji kuendelea kupambana katika kila mchezo na kuhakikisha wanatumia vizuri nafasi wanazozipata ili kuendelea kukusanya pointi muhimu. Kauli…

Read More

Ibenge ataja sifa tatu za Yanga

KUELEKEA mechi ya Dar es Salaam Dabi, itakayopigwa kesho Machi 15, kocha wa Azam, Florent Ibenge, ametaja sifa tatu za wapinzani hao huku akisema kuwa kocha wa Yanga, Pedro Goncalves ana ufundi wa hali ya juu. Yanga inatarajiwa kuvaana na Azam kesho kwenye mchezo mkali wa Ligi Kuu zikiwa ni timu mbili ambazo hadi sasa…

Read More

TRA v Simba mechi ya mabao, ngoma iko hapa

KUTORUHUSU bao lolote dhidi ya TRA United katika mechi nne za Ligi Kuu Bara walizokutana, zinaipa Simba matumaini ya kuendeleza ubabe wao katika mechi hii yenye rekodi ya kupatikana mabao kuanzia mawili. Timu hizo zinakutana leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha saa 10:00 jioni, huku zote zikiingia uwanjani zikiwa zimetoka kushinda…

Read More

TRA United v Simba waahirishwa, kupangwa siku nyingine

Mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya Simba dhidi ya TRA United umeahirishwa kutokana na miundombinu ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji kutona na mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali ya nchi.  Akizungumza na Azam TV, Kamishna wa mchezo huo Mussa Nyamandege amethibitisha kuhairishwa kwa mchezo huo wa ligi baada ya mvua kubwa kunyesha na…

Read More

Kili Marathon Yatangaza barabara zitakazofungwa siku ya mbio

  Wiki moja tu kabla ya kuanza kwa Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, waandaaji wa mbio hizi zenye hadhi ya kimataifa wametoa mwongozo wa kina kwa wananchi na washiriki, ikiwemo taarifa za kufungwa kwa barabara, maegesho, na masuala mengine ya kiitifaki. Tukio hili linalosubiriwa kwa hamu kubwa litafanyika Jumapili, Machi 22, 2026, katika Chuo Kikuu…

Read More