
Waziri Ndejembi Aikabidhi Yanga Hati ya Eneo la Uwanja wa Jangwani
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Septemba 12, 2025 ameikabidhi Klabu ya Soka ya Yanga hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa Uwanja wao ulioko mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam ikiwa ni chini ya wiki mbili alizoahidi katika Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo kuipatia hati. Mhe….