MKURUGENZI MKUU WA NSSF AONGOZA UTOAJI WA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII KATIKA SOKO LA TEGETA NYUKI
Na Mwandishi Wetu, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri kushindwa kujiunga na Mfuko huo kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa ambayo yanawawezesha kunufaika na mafao mbalimbali sawa na waajiriwa wa sekta ya umma na binafsi. Bw. Mshomba alitoa kauli hiyo wakati alipowaongoza …