Mtanzania ana kibarua michuano ya Ulaya
CHAMA la Mtanzania, Sabri Kondo anayekipiga BK Hacken ya Sweden, Alhamisi hii watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya Shelbourne FC ili kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya UEFA Conference League. Kondo alisajiliwa msimu huu akitokea Coastal Union, alipoitumikia kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Singida Black Stars. Chama hilo linatafuta nafasi ya…