Aweso aja na kampeni kutatua changamoto ya maji

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametaja sababu tatu za kuanzisha Kampeni ya ‘Dawasa mtaa kwa mtaa, njoo tukuhudumie’ ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wananchi kwa kuondoa lawama na manung’uniko na kuwapatia huduma ya maji safi na salama. Kampeni hiyo itakayosambaa nchi nzima inalenga kuwa karibu na wananchi, ili wawe huru kutoa maoni yao…

Read More

Walimu Mbeya kupelekwa Dubai ‘kutalii’

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imefanya jambo la kipekee kwa walimu waliosaidia kuboresha kiwango cha ufaulu wa masomo katika shule za msingi na sekondari kwa kuwapeleka Dubai. Walimu hawa watajifunza na pia kupata fursa ya kutalii, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuboresha elimu katika mkoa huo. Ahadi hiyo ilitolewa Julai 16 mwaka jana na…

Read More

Jeshi la Polisi Tanzania laanza kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Uchunguzi wa Kisayansi wa Jinai

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi (DCP), Mwamini Rwantale, ametangaza kuwa Tanzania inajiunga na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Uchunguzi wa Kisayansi wa Jinai, ambapo sayansi hiyo inatoa mchango mkubwa katika kutoa haki na kubaini wahalifu. Rwantale alisema kuwa kila mwaka ifikapo Septemba 20, dunia inaadhimisha siku…

Read More

Usafiri wa Umma wa Kiafrika Unajitahidi Kulingana na Ukuaji wa Miji – Masuala ya Ulimwenguni

Mtaa wenye msongamano wa watu mjini Bulawayo ambapo wasafirishaji wa umma huwachukua abiria katika sehemu isiyojulikana. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo) Jumatano, Desemba 18, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Desemba 18 (IPS) – Wakati idadi ya watu katika miji ya Afŕika inavyoongezeka, seŕikali zinajitahidi kutoa ufumbuzi endelevu wa uchukuzi wa umma, hali ambayo…

Read More

Chadema, ACT-Wazalendo waibana Serikali | Mwananchi

Dar es Salaam. Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimeibana Serikali, vikitaka hatua kuchukuliwa kushughulikia na kukomesha vitendo vya utekaji au watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema iwapo hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi ya wakuu wa taasisi zinazosimamia ulinzi na usalama wa raia, wafuasi na wanachama wa chama hicho watainga…

Read More

Mume unautambua wajibu huu kwa mkeo mjamzito?

Dar es Salaam. Ujauzito ni safari ya kipekee na nyeti inayohitaji umakini na ushirikiano wa karibu kati ya wenza. Kwa muda mrefu, katika jamii nyingi, suala la kufuatilia afya ya ujauzito limeachwa kuwa jukumu la wanawake pekee. Hata hivyo, ushiriki wa mume katika mchakato huu ni jambo muhimu sana linaloleta manufaa makubwa kwa mama, mtoto,…

Read More

Copco yashinda, yasaka  sare kubaki Championship

Mwanza. COPCO FC imeanza kwa ushindi nyumbani ili kubaki Ligi ya Championship kwa kuifunga Stand United ‘Chama la Wana’ mabao 2-0 huku ikihitaji sare katika mchezo wa marudiano ili kubaki kwenye ligi hiyo msimu ujao. Mchezo huo wa mtoano (playoff) kusaka nafasi ya kubaki Ligi ya Championship umechezwa leo Mei 8, 2024 katika Uwanja wa…

Read More