
Aweso aja na kampeni kutatua changamoto ya maji
Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametaja sababu tatu za kuanzisha Kampeni ya ‘Dawasa mtaa kwa mtaa, njoo tukuhudumie’ ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wananchi kwa kuondoa lawama na manung’uniko na kuwapatia huduma ya maji safi na salama. Kampeni hiyo itakayosambaa nchi nzima inalenga kuwa karibu na wananchi, ili wawe huru kutoa maoni yao…