Bei ya tumbaku yazidi kupaa mahitaji yakiongezeka

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita bei ya tumbaku katika Soko la Dunia imeongezeka kwa asilimia 42.44 kati ya mwaka 2022 na 2025, ripoti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza. Ripoti hiyo inayoangazia tathmini ya hali ya uchumi ya kila mwezi inaonyesha kuwa tani moja ya tumbaku imefikia dola za Marekani…

Read More

Kiama wanaopangisha wachimbaji wadogo | Mwananchi

Dar es Salaam. Serikali imeamua kuja na mwarobaini wa kupunguza migogoro katika sekta ya madini inayohusisha wamiliki wa leseni za uchimbaji  na wachimbaji wadogo. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari  jijini Dar es Salaam kuhusu miaka minne ya mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya madini, Waziri wa Madini, Antony Mavunde,  amesema…

Read More

Walimu wa sayansi, hisabati wafundwa matumizi ya Tehama

Iringa. Jumla ya walimu wa sekondari 665 wa masomo ya hisabati na sayansi mikoa ya Dodoma, Mbeya na Iringa pamoja na wathibiti ubora (SQA) wapatao 17, wamepatiwa mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji wa masomo kupitia Teknolojia na Habari na Maendeleo (Tehama). Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mradi wa kuimarisha elimu ya sekondari unaotekelezwa na Sequip, Ofisi…

Read More

SIMULIZI YA MAJONZI: A to Z kuuawa kwa Theresia kwenye vurugu za Polisi, wananchi Geita

Lulembela. “Mwanangu alikua amekaa ndani chumbani kwake mimi nilikuwa sebuleni, nje ya nyumba kulikua na kelele za watu ghafla mwanangu akapiga kelele ya kuita mamaaa…Kwa sauti kisha akaanguka chini, nilivyomuangalia alikuwa anavuja damu nyingi.” Hayo ni maneno ya Grace Wilson mama wa mwanafunzi, Theresia John (18) aliyefariki dunia jana Septemba 11, 2024 baada ya kuzuka…

Read More

Khambay anatosha Babati mjini – Sumaye

Babati. Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewasihi wakazi wa mjini Babati mkoani Manyara, kumpa kura za ndiyo mgombea ubunge kupitia CCM, Emmanuel Khambay kwani atayafikia makundi yote. Sumaye ameyasema hayo kwenye kata ya Bonga mjini Babati wakati akiwanadi wagombea wa CCM akiwamo mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ubunge na udiwani. Amesema mgombea ubunge kupitia CCM…

Read More

Dk Biteko awapa vijana ujumbe kuhusu amani

Dares Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amewataka vijana kujifunza umuhimu wa amani kama nyenzo muhimu ya maendeleo. Pia, amewataka kumpuuza mtu yeyote atakayetokea bila kujali kariba yake, kariba, ukubwa wake, elimu yake au uongozi alionao. “Akazungumza kwa namna yoyote kuhusu uvunjifu wa amani wa Taifa mtu yule tumpuuze kama hatuwezi kumkemea kwa pamoja…

Read More