Takukuru yatakiwa kuchunguza kusuasua mradi wa elimu Iringa

Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani humo kuchunguza miradi ya elimu iliyochelewa kukamilika licha ya fedha zote kutolewa. Agizo hilo limetolewa Januari 20, 2026 baada ya ziara ya kushtukiza katika Shule ya Sekondari Lugalo, ambapo ujenzi wa bweni la wanafunzi uliopewa Sh159 milioni…

Read More

Marekebisho hati ya mashtaka kesi ya kughushi mafuta moto

Mabadiliko ya hati ya mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayotokana na mashtaka ya kujipatia kwa njia za udanganyifu  shehena ya mafuta yenye thamani ya zaidi ya Sh10 bilioni yameibua mvutano mkali wa hoja za kisheria baina ya mawakili a pande mbili. Kutokana na mvutano huo kesi hiyo imekwama kuendelea kusikilizwa na mwenendo kabidhi, kwa…

Read More

Baba adaiwa kumuua mwanaye kisa pombe ya posa

Moshi. Mkazi mmoja wa Uru Shimbwe mkoani Kilimanjaro, Laurian Teti anadaiwa kumuua kijana wake mwenyewe baada ya kumdai pombe iliyonunuliwa kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha posa ya dada yake. Kijana huyo anayetambulika kwa jina la Mathias Teti (26), anadaiwa kufariki dunia usiku wa Januari 21, 2026 nyumbani kwao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,…

Read More

Viongozi wa Chadema Mbeya wadaiwa kushikiliwa na Polisi

Dar es Salaam. Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya wanadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kufanya kusanyiko bila kibali. Tukio hilo limeelezwa kutokea leo Jumatano, Januari 21 katika Kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya wakati viongozi hao walipokuwa kwenye maadhimisho ya miaka 33 ya kuasisiwa kwake….

Read More

Maumivu ya Oktoba 29 yaanza kung’ata Mbeya

Mbeya. Athari ya vurugu na maandamano yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu yameanza kung’ata kufuatia wananchi na viongozi jijini Mbeya kulalamikia mazingira yasiyo rafiki katika kutoa na kupata huduma kufuatia matukio ya uchomaji moto ofisi za serikali za mitaa na kata. Oktoba 29 zilizuka vurugu na maandamano katika baadhi ya maeneo nchini, ambapo kwa…

Read More

Mikopo ya halmashauri pasua kichwa Mtama

Mtama. Madiwani wa Halmashauri ya Mtama wamelalamika kwenye baraza la madiwani kuwa katika maeneo yao kuna baadhi ya wananchi ambao wamepewa fedha pungufu tofauti na kiasi cha mikopo waliyoidhinishiwa na halmashauri . Akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani cha robo ya pili, leo Jumatano Januari 21,2026 Diwani Viti maalumu kata ya Pangatena,  Hawa Nameta…

Read More

Moza asimulia walivyopata ajali na kigogo wa Chaumma

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Moza Ally amesimulia mazingira ya tukio la ajali ya gari iliyomkuta yeye na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu. Baada ya ajali hiyo Moza aliwahishwa    kupatiwa matibabu katika Taasisi ya Mifupa (MOI) na baadaye kuruhusiwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la…

Read More