Uwezekano wa kulipa nauli kidijitali kwenye daladala

Fikiria unapanda daladala bila kuhangaika kutafuta chenji, bila wasiwasi kama konda amekurudishia pesa yako au la, wala hofu ya kukabidhiwa noti bandia. Hakuna foleni ya kulipa, na safari inaendelea kwa utulivu bila usumbufu. Malipo yanafanyika papo hapo kwa njia ya kidijitali haraka, salama, na kwa uwazi. Ni ndoto lakini inayoweza kufikiwa kama mustakabali katika kuboresha…

Read More

AMERICAN ROULETTE USHINDI KWA NJIA RAHISI SANA

DKT Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. Jamaa alifariki akiwa na miaka 80 na kwa namna ya kipekee mchango wake kwenye ulimwengu wa michezo ya Kamari anakumbukwa. American Roulette sawa na michezo mingine ya Roulette unapatikana Meridianbet…

Read More

Mbaroni wakituhumiwa kumuua mfanyabiashara wa madini Chunya

Mbeya. Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Peter Bruno (59), kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake, Oktoba 12, mwaka huu.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne, Novemba 5, 2024, amesema Bruno alipigwa risasi mgongoni akiwa nyumbani kwake, Kata ya…

Read More

TRA YAZINDUA MFUMO WA TANCIS ULIOBORESHWA NA TOVUTI MPYA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Tovuti mpya na mfumo wa TANCIS ulioboreshwa utakaosaidia kurahisisha uondoshaji wa shehena Bandarini, katika Viwanja vya Ndege pamoja na mipakani. Akizindua mfumo huo leo Januari 20, 2025 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya TRA Mussa Uledi amesema mfumo wa TANCIS utapunguza kuonana kwa watu baina ya TRA…

Read More

Benki ya Stanbic Tanzania yafuturisha wateja wake

 Katibu wa Baraza la Ulamaa Taifa, Sheikh Hassan Chizenga akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic, Manzi Rwegasira katika Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo jana katika Hoteli ya Serena. Kushoto ni Fredrick Max, Ofisa Mkuu Idara ya biashara benki ya Stanbic na kulia ni Omari Mtiga, Mkurugenzi wa wateja binafsi benki…

Read More

IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAWAAGA WASTAAFU.

NA, SABIHA KHAMIS MAELEZO Mwenyekiti wa Bodi ya Idara Habari Maelezo Zanzibar Yussuf Omar Chunda amewataka wafanyakazi kuwa na nidhamu wanapokuwa kazini ili kuwajengea heshima wanapofikia kustaafu. Wito huo ameutoa katika hafla fupi ya kuwaaga wafanyakazi wawili wa Idara hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo amesema nidhamu inapodumu kwa mfanyakazi hupelekea mashirikiano mazuri kwa…

Read More

TTCL Kujenga Minara 636 katika maeneo ya pembezoni ya miji

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Moren Marwa akizungumza leo Oktoba 12, 2024 mara baada ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi kwaajili ya kujitambulisha katika taasisi hiyo. SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kujenga minara 636 Tanzania nzima katika maeneo ya pembezoni ya miji ili…

Read More