China yajadili mipango ya amani na Ukraine – DW – 24.07.2024

Wizara ya mambo ya nje ya China imesema viongozi hao wawili walifanya mazungumzo mjini Guangzhou, huku msemaji wake Mao Ning akiwaambia waandishi wa habari kwamba walizungumzia kuhusu mzozo wa Ukraine. Soma pia:Kuleba yuko ziarani Beijing kutafuta amani nchini Ukraine Ning amesema mawaziri hao wawili wa mambo ya nje walibadilishana mawazo kuhusu mzozo wa Ukraine na kwamba Wang…

Read More

Waliofariki kwa ajali iliyotokea Same, wazikwa

Moshi. Mamia ya wananchi wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kushiriki maziko ya watu watatu wa familia tatu tofauti waliofariki dunia katika ajali ya magari mawili ya abiria yaliyogongana na kuwaka moto wilayani humo. Miili hiyo ya Irene Salehe, Erine Ndarai na Anjela Mshana imeagwa leo Ijumaa Julai 4, 2025 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri…

Read More

Ukuaji wa watoto nchini waiibua serikali

Dodoma. Zaidi ya nusu ya watoto nchini hawako katika ukuaji sahihi unaotakiwa huku ikielezwa kuwa hali hiyo inaweza kuongezeka ikiwa juhudi za makusudi hazitachukuliwa. Takwimu hizo zimetolewa leo Februari 28,2025 jijini Dodoma na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk Dorothy Gwajima wakati akifungua mafunzo ya waandishi wa habari wanaojisisha na…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mwanuke aingia anga za Mashujaa

NYOTA wa Simba aliyekuwa akikipiga kwa mkopo Mtibwa Sugar, iliyoshuka daraja, Jimmyson Mwanuke amedaiwa kuanza mazungumzo na Mashujaa kwa ajili ya kuitumikia kwa msimu mpya. Mwanuke aliyekuwa akitumika Simba kama kiraka, akimudu zaidi kucheza kiungo mshambuliaji, lakini wakati mwingine akitumikishwa kama beki ameshamaliza mkataba aliokuwa nao na Simba iliyomtoa kwa mkopo kwa Mtibwa katika dirisha…

Read More

UNHCR kulazimishwa kufanya kupunguzwa kwa kina, licha ya kuongezeka kwa mahitaji ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Hii itahusu kukata chini ya nusu ya nafasi zote za juu katika makao makuu ya shirika la Geneva na ofisi ya mkoa. Karibu machapisho ya wafanyikazi wa kudumu 3,500 yamekomeshwa, mamia ya nafasi za wafanyikazi wa muda zimekomeshwa, na ofisi zingine zimepungua au kufungwa ulimwenguni. Kulingana na ripoti hiyo, maamuzi ya wapi kupunguza gharama ziliongozwa…

Read More

JKT vs Singida BS patachimbika Mej. Jen Isamuhyo

REKODI ya JKT Tanzania kuwa timu pekee kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu ambayo haijapoteza mechi nyumbani itaendelea kudumu? Hilo ni swali wanalojiuliza wengi wakati Wanajeshi hao wa Kujenga Taifa watakapowakaribisha Singida Black Stars. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopangwa kuchezwa kuanzia saa 10 jioni leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo…

Read More

Mtoto aliyedaiwa kufungiwa ndani na mama yake aokolewa

Mwanza. Serikali imemuokoa mtoto wa miaka miwili aliyedaiwa kufungiwa ndani na mama yake (18) kisha yeye kwenda virabuni kunywa pombe hadi asubuhi ya siku inayofuata. Mama huyo anadaiwa kuwa na matatizo ya kisaikolojia kutokana na kuwa na mgogoro na mzazi mwenzake ambaye hata hivyo  bado hajafahamika, yaliyomfanya kuwa mraibu wa pombe. Akielezea kwenye mtandao wa…

Read More