
China yajadili mipango ya amani na Ukraine – DW – 24.07.2024
Wizara ya mambo ya nje ya China imesema viongozi hao wawili walifanya mazungumzo mjini Guangzhou, huku msemaji wake Mao Ning akiwaambia waandishi wa habari kwamba walizungumzia kuhusu mzozo wa Ukraine. Soma pia:Kuleba yuko ziarani Beijing kutafuta amani nchini Ukraine Ning amesema mawaziri hao wawili wa mambo ya nje walibadilishana mawazo kuhusu mzozo wa Ukraine na kwamba Wang…