Tabora. Watu wawili wamefariki dunia akiwemo dereva wa bajaji ya mizigo na msaidizi wake kufuatia kugongwa na basi la abiria kampuni ya Yehova Yire, lililokua

Njombe. Serikali imetakiwa kuunga mkono juhudi za wawekezaji ambao wameonyesha jitihada katika shughuli za maendeleo kwa kuboresha miundo mbinu muhimu inayoelekea katika maeneo ya uzalishaji

Dar es Salaam. Baada ya upelelezi kusuasua katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33) Mahakama ya

Mbeya. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na mke wa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mwanaharakati,

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia masuala ya maendeleo ya mazao, usalama wa chakula pamoja na ushirika, Dk Stephen Nindi

Dar es Salaam. Chama cha NCCR-Mageuzi kimekumbwa na mvutano wa kiuongozi, kufuatia madai kuwa aliyekuwa mwenyekiti wake, James Mbatia, alivamia ofisi za chama hicho kwa

LEO Kituo cha Michezo na Shule za Alliance za jijini Mwanza zimesherehekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake na kuenzi miezi sita ya kifo cha muasisi

MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuzindua Programu Maalum ya Ujuzi kwa Maendeleo ya Ujasiriamali na Ajira kwa Vijana (SEED),

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WATUHUMIWA sita wakiwemo raia wawili wa China ambao wamefahamika kwa majina ya Chein Bai na Qixian Xin wamekamatwa eneo la Posta

Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akihutubia Jijini London Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa