
Dk Biteko ataja faida nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu
Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk Doto Biteko ametaja faida zitakazopatikana kwa nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu bora, ikiwemo kuwa na mifumo thabiti ya kidijitali itakayosaidia kutatua changamoto zilizopo kwenye mataifa hayo, kulingana na mazingira. Dk Biteko ameitaja faida nyingine ya kuwekeza kwenye sekta hiyo ni kutatua changamoto ya…