TRA YAANZA KUCHUKUA HATUA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
****** KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Yusuph Mwenda amesema Mamlaka hiyo tayari imeanza kuchukua hatua kuelekea kuanza kutumika kwa utaratibu mpya wa kuingiza mafuta ya kula Tanzania Bara kutoka Zanzibar. Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar Machi 24.2026 jijini Dar es Salaam Mwenda amesema miongoni…