Dk Biteko ataja faida nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk Doto Biteko ametaja faida zitakazopatikana kwa nchi za Afrika kuwekeza kwenye elimu bora, ikiwemo kuwa na mifumo thabiti ya kidijitali itakayosaidia kutatua changamoto zilizopo kwenye mataifa hayo, kulingana na mazingira. Dk Biteko ameitaja faida nyingine ya kuwekeza kwenye sekta hiyo ni kutatua changamoto   ya…

Read More

Raia wa China aomba kubadilishiwa mahabusu, Mahakama yamjibu

Dar es Salaam. Raia wa China, Li Hao, anayekabiliwa na mashtaka ya kujipatia Sh752 milioni kwa njia ya udanganyifu, ameiomba Mahakama imbadilishie mahabusu ya Keko na impeleke Segerea ili iwe rahisi kwake kupata mawasiliano kutoka kwa raia wenzake. Hao, anakabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujipatia Sh752 milioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi…

Read More

Huyu ndiye Mirambo anayekaimu nafasi ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira…

Read More

VIDEO: Sura mpya sakata la uvamizi nyumba ya mjane

Dar es Salaam. Wanasheria wa pande mbili katika mvutano wa umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, wamezungumzia undani wa mgogoro huo uliosababisha mali za mjane, Alice Haule na wapangaji wake kutolewa nje kwa nguvu. Alice aliondolewa kwenye nyumba jana Septemba 23, 2025, huku waliohusika katika tukio hilo wakitumia nguvu, wakihusika mabaunsa waliowabeba juujuu…

Read More

Sura mpya sakata la uvamizi nyumba ya mjane

Dar es Salaam. Wanasheria wa pande mbili katika mvutano wa umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, wamezungumzia undani wa mgogoro huo uliosababisha mali za mjane, Alice Haule na wapangaji wake kutolewa nje kwa nguvu. Alice aliondolewa kwenye nyumba jana Septemba 23, 2025, huku waliohusika katika tukio hilo wakitumia nguvu, wakihusika mabaunsa waliowabeba juujuu…

Read More

Madaktari bingwa watakiwa kuwaachia ujuzi waliowakuta Njombe

Njombe. Katibu Tawala Mkoa wa Njombe, Judica Omary amewataka madaktari bingwa waliofika mkoani humo kutoa huduma za kibingwa, kuwapa ujuzi madaktari wa eneo husika ili uwe msaada endelevu. Zaidi ya madaktari bingwa 36 wanaotibu  magonjwa mbalimbali wamefika mkoani Njombe kwa ajili ya kutibu wagonjwa mbalimbali, ambapo wametawanywa katika halmashauri zote za sita za mkoa huo….

Read More

Mirambo achukua mikoba ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania…

Read More