MTENDAJI MKUU ADEM YASISITIZA UWAJIBIKAJI NA UMOJA KWA WATUMISHI

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, amefanya kikao kazi na watumishi wa taasisi hiyo kutoka kampasi zote, akisisitiza umuhimu wa uwajibikaji, umoja na mshikamano katika kufanikisha malengo ya taasisi. Akifungua kikao hicho, Dkt. Maulid mesema kuwa watumishi wanapaswa kuwajibika kikamilifu katika nafasi zao huku wakidumisha mshikamano…

Read More

Mchongo mpya kujiunga Yanga Soccer School.

NDOTO za vijana wanaopenda soka kutoka mtaani zimepata fursa mpya kufuatia ushirikiano kati ya Yanga na kampuni ya Emwani ambao utawafanya kupata nafasi ya kujiunga na mradi wa Yanga Soccer School. Kupitia mashindano maalum yaliyoandaliwa kutokana na ushirikiano huo ambayo yatafanyika Jumamosi wiki hii Machi 28, 2026 huko Kigamboni kwenye kituo cha TFF, vijana chini…

Read More

Mvua yaua 18 Mbeya, wamo watoto 14

Mbeya. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imesababisha maafa ya vifo vya watu 18 kati yao 14 ni watoto Kata ya Nkunga, Lupepo, Kawetele na Ikuti wilayani Rungwe. Vifo hivyo vimetokea kati ya saa 6 hadi 9:30 usiku wa kuamkia leo Jumatano, Machi 25, 2026 baada ya mvua iliyokuwa na upepo kusababisha nyumba zaidi…

Read More

Kiswaga, Lema na Mkuchika wafunguka kuhusu Lukuvi

Dar es Salaam. Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka. Kumbukumbu za matendo ya Lukuvi enzi za uhai wake, zimemuibua pia mwanasiasa mkongwe, Kapteni George Mkuchika na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini…

Read More