Rais Samia awasili Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kushiriki Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja na Jukwaa la Kimataifa wa Uwekezaji Afrika (GAIS).

Picha namba 01. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), tarehe 2 Februari, 2026. Rais Mhe. Dkt. Samia atashiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja…

Read More

GSM Yashinda Tenda ya Kujenga Uwanja wa Yanga

Klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga) imepiga hatua kubwa katika safari yake ya kuwa na uwanja wa kisasa, baada ya kampuni ya GSM Tanzania Limited kutangazwa rasmi kushinda zabuni ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo. Hatua hiyo inaashiria mwanzo wa utekelezaji wa ndoto ya muda mrefu ya Wananchi ya kumiliki…

Read More