Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video
Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video – Global Publishers Home Habari Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video
Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video – Global Publishers Home Habari Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video
Picha namba 01. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), tarehe 2 Februari, 2026. Rais Mhe. Dkt. Samia atashiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja…
Iran Yakubali Mapigo! Yaomba Mazungumzo na Marekani – Video – Global Publishers Home Habari Iran Yakubali Mapigo! Yaomba Mazungumzo na Marekani – Video
Madai Mazito Yafichuliwa Kati ya Familia Ya Trump na Mwanamfalme – Video – Global Publishers Home Habari Madai Mazito Yafichuliwa Kati ya Familia Ya Trump na Mwanamfalme – Video
Mamia Wajitokeza Siku ya Kwanza Uchunguzi wa Bure Hospitali ya Kairuki – Global Publishers Home Habari Mamia Wajitokeza Siku ya Kwanza Uchunguzi wa Bure Hospitali ya Kairuki
Klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga) imepiga hatua kubwa katika safari yake ya kuwa na uwanja wa kisasa, baada ya kampuni ya GSM Tanzania Limited kutangazwa rasmi kushinda zabuni ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo. Hatua hiyo inaashiria mwanzo wa utekelezaji wa ndoto ya muda mrefu ya Wananchi ya kumiliki…
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese,akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria yaliyofanyika katika Mahakama ya Wilaya ya Handeni leo Februari 2,2026. Na Augusta Njoji Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ametoa rai kwa Mahakama ya Wilaya ya Handeni kutoa kipaumbele katika usikilizwaji wa mashauri yanayohusu ardhi ili yahitimishwe kwa…
Bima ya Afya Kwa Wote Imelenga Makundi Maalum ya Kimkakati – Global Publishers Home Habari Bima ya Afya Kwa Wote Imelenga Makundi Maalum ya Kimkakati
Afrika iliyoendelea huanza na lishe katika mikono salama. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Jumatatu, Februari 02, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Februari 2 (IPS) – Njaa ilitawala utoto wa Mercy Lung’aho, na kuchochea kampeni yake ya kukuza lishe kama msingi wa maendeleo ya Afŕika. Kama kiongozi wa Mpango wa Usalama wa…
Unguja. Licha ya jitihada zinazofanyika na maendeleo yanayopatikana, imeelezwa kuwa Afrika bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika usimamizi wa saratani, hasa uhaba wa rasilimali watu na ukosefu wa miundombinu ya kutosha. Hayo yamebainika leo Februari 2, 2026 katika mkutano wa nusu mwaka wa uratibu wa kikanda wa mradi wa RAF6060-Kuimarisha uwezo wa nchi wanachama katika…