Yakoub arejea Simba na mzuka, mkongwe akitia neno

KUREJEA kikosini kwa kipa wa Simba, Yakoub Suleiman, aliyekuwa nje kuuguza majeraha baada ya kuumia akiwa na Taifa Stars wakati ikijiandaa dhidi Nigeria katika Fainali za AFCON 2025, kunakwenda kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo alibaki Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali aliyesajiliwa katika dirisha dogo na Hussein Abel. …

Read More

Venezuela katika Njia panda – Masuala ya Ulimwenguni

Evelis Cano, mama wa mfungwa wa kisiasa Jack Tantak Cano, anawasihi polisi kuachiliwa kwa mwanawe nje ya kituo cha kizuizini huko Caracas, Venezuela, 20 Januari 2026. Credit: Gaby Oraa/Reuters via Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Februari 02, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Februari 2 (IPS) – Wakati vikosi maalum…

Read More

Je, Rasilimali Zinafafanua Vigezo vya Uchumba na Diplomasia yenye misingi ya Imani Leo? – Masuala ya Ulimwenguni

Rais Donald Trump Aungana na Viongozi wa Imani katika Maombi – Credit: The White House | Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, Jumapili ilikuwa mwanzo wa Wiki ya Maelewano ya Dini Ulimwenguni, wakati wa kusisitiza kwamba maelewano na mazungumzo baina ya dini ni muhimu katika kujenga utamaduni wa amani. Wiki hiyo ilianzishwa ili kukuza maelewano…

Read More

MBUNGE KAIRUKI ATOA MATUMAINI MAPYA SARANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea katika Kata ya Saranga, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuhakikisha wananchi wanapata miundombinu bora na huduma zinazokidhi mahitaji yao ya kila siku. Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Kairuki alitembelea Barabara ya King’ongo, kipande…

Read More

USHIRIKIANO WA ADEM NA PROJECT ZAWADI KUINUA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU MKOANI MARA

Katika jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania, ADEM na Taasisi ya Project Zawadi wameingia makubaliano ya ushirikiano utakaowezesha kuendesha mafunzo ya muda mfupi kuhusu uongozi, usimamizi na uendeshaji wa elimu kwa viongozi wa Mkoani Mara.  Ushirikiano huu unalenga kuwajengea uwezo viongozi wanaosimamia sekta ya elimu kuanzia ngazi ya shule hadi Mkoa Akizungumza katika…

Read More

Rais Samia awasili Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kushiriki Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja na Jukwaa la Kimataifa wa Uwekezaji Afrika (GAIS).

Picha namba 01. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), tarehe 2 Februari, 2026. Rais Mhe. Dkt. Samia atashiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja…

Read More