Kigogo wa NCCR Mageuzi atimkia ACT -Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ametangaza kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo huku akitaja sababu ni chama chake kupoteza dira katika kupambana na chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM). Ngoma amekuwa miongoni mwa vigogo waliohamia kwenye chama hicho hivi karibuni, akitanguliwa na wakili Peter Madeleka, aliyejitosa ubunge Jimbo la Kivule pamoja…

Read More

UJUMBE KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI UKIONGOZWA NA BALOZI MEJA JENERALI WILBERT AUGUSTINE IBUGE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NGORONGORO.

Na Mwandishi Wetu, Karatu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi ( NDC) Balozi Meja Jenerali W.A. Ibuge ameongoza wakufunzi na Wanafunzi kutoka mataifa 17, kutembelea eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kuanzia jengo la makumbusho ya Jiopaki ( Urithi Geo- Museum) kwa ziara ya utalii na kimafunzo. Ujumbe huo umejifunza mambo mbalimbali kuhusu…

Read More

Mwanafunzi kidato cha nne adaiwa kujinyonga hadi kufa kwa waya

Bukoba. “Kareni mwanangu, sikuwahi kugombana naye zaidi ya masuala ya masomo. Alikuwa na ndoto nyingi, aliniahidi mambo mengi ya kubadilisha maisha yangu.” Hayo ni maneno ya Rose Fadhili, mkazi wa mtaa wa Nyakanyasi Mlimani katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, aliyoyatamka kwa uchungu huku akibubujikwa machozi, wakati akizungumza na Mwananchi Digital leo, Alhamisi Aprili 10,…

Read More

Simba, Yanga zajitega Kwa Mkapa

MASHABIKI wa soka hususan wale wa Simba na Yanga kwa sasa wanahesabu saa tu kabla ya kuzishuhudia timu hizo zikishuka Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuvaana katika mechi ya Ngao ya Jamii kuzindua msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-2026. Zimesalia saa 24 tu…

Read More

TAEC Yafanya Ukaguzi wa Matumizi Salama ya Mionzi Katika Mikoa ya Mbeya, Songwe, Rukwa na Katavi

Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imekamilisha ukaguzi wa matumizi salama ya mionzi katika vituo 66 vinavyotoa huduma za mionzi katika mikoa ya Mbeya, Songwe, Rukwa na Katavi. Lengo la ukaguzi huo ni kuhakikisha kuwa matumizi ya mionzi yanazingatia usalama wa wafanyakazi wanaoshughulika na vyanzo vya mionzi, wananchi pamoja na mazingira. Akizungumza katika Hospitali…

Read More