
Mtendaji mkuu Tarura kinara tuzo ya watendaji wakuu bora wa mwaka
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff amepata tuzo ya utendaji bora na kuwa miongoni mwa Watendaji Wakuu 100, akitambuliwa ni kinara katika tuzo hizo kwa mwaka 2024, katika kategoria ya Mtendaji Mkuu wa mwaka (CEO/MD of the year). Tuzo hiyo imetolea usiku wa tarehe 24 Novemba,2024 katika…