Charles Hilary azikwa kwao Zanzibar, wadau wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More

Serikali yaagiza mapitio mfumo wa stakabadhi ghalani

Dodoma. Hatimaye Serikali imesikia kilio cha wafanyabiashara walioko katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, kwa kuagiza kufanyika mapitio ya viwango na miongozo yote inayohusiana na biashara ya mazao kupitia mfumo huo. Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Mwendesha Maghala ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Cropstan Investiment Ltd, Simon Nkana kulalamikia kushuka kwa…

Read More

Urali wa biashara Tanzania, Misri kuimarika

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Misri kinatarajiwa kuongezeka kutokana na kuwapo kwa jitihada za za kuzalisha zaidi na kutumia fursa ya biashara kati ya nchi hizo. Akizungumza leo Julai 9,2024 wakati wa kongamano la biashara ikiwa ni siku maalumu ya Misri katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya…

Read More

Wizara ya Madini yahamia rasmi mji wa Serikali, yatangaza mikakati yake.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma WIZARA ya Madini imehamia rasmi katika ofisi zake za mji wa serikali,huku ikitangaza mikakati rasmi ya utendaji kazi wao,ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea hususani kuwaendeleza wachimbaji wadogo. Mbali na hilo waziri wa wizara hiyo Antony Mavunde amewasisitiza watumishi kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili waweze kutoa huduma stahiki kwa jamii…

Read More

Kennedy aukubali mziki Singida Black Stars

NAHODHA wa Singida Black Stars, Kenedy Juma amesema licha ya ugumu na ushindani uliopo katika Ligi Kuu Bara lakini wamepambana na kuongoza ligi ikiwemo ushindi katika mechi tatu za ugenini, huku akisisitiza kwamba uwepo wa wachezaji wengi wa kikosi kikosini haumpi presha ya namba. Singida Black Stars inaongoza Ligi Kuu Bara baada ya kuvuna pointi…

Read More

Basi la abiria lagonga treni Kigoma, 14 wajeruhiwa

Dar es Salaam. Abiria 14 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Classic linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Dodoma kugonga treni ya mizigo. Ajali hiyo imetokea usiku wa Novemba 09, 2024 katika makutano ya reli na barabara kati ya Malagarasi na Nguruka, mkoani Kigoma ikihusisha treni ya mizigo Y611 iliyokuwa ikitoka Kigoma kwenda…

Read More