Morrison: Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanfa, Bernard Morrison, amefunguka baada ya Wekundu kushindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, licha ya juhudi kubwa ilizoonyesha dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Morrison ambaye kwa sasa anakipiga KenGold, klabu iliyoshuka daraja Ligi Kuu Bara, alisema pamoja na kwamba si mchezaji wa Simba kwa sasa, moyo…

Read More

MAWAKALA, VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA HAWARUHUSIWI KUINGILIA MCHAKATO WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA VITUONI

Na Oscar Assenga, Tanga Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Jacobs Mwambegele amesema kwamba mawakala, viongozi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kuingilia mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura vituoni. Mchakato wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura likitarajiwa kuanza mkoani Tanga February 13 mwaka…

Read More

Mkesha wa Shukrani ya Kuelekea Mwisho wa Mwaka

  Mwalimu wa Neno la Mungu Emanuel Shemdoe akizungumza katika kuelekea mkesha wa mwisho wa mwaka utaofanyika Desemba Mjini Dodoma. Na Mwandishi Wetu MKESHA wa dini mbalimbli dini unatoa nafasi ya kuomba kwa ajili ya nchi na watu wote ikiwa ni pamoja na kumshukuru Mungu kwa Kuingia mwisho wa mwaka. Mkesha huo utawapa watu kutafakari…

Read More

MKENDA ASISITIZA TAFITI ZA KISAYANSI KUONGEZA TIJA YA UZALISHAJI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo Elimu na kilimo kuchochea ustawi Endelevu wa maendeleo kiuchumi. Mkenda amesema hayo leo Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu unaojadili ushahidi wa matokeo…

Read More