Uchaguzi wa Malawi: Chakwera, Mutharika wajitangazia Ushindi
Lilongwe. Vyama viwili vikuu vya siasa nchini Malawi, Democratic Progressive Party (DPP) na Malawi Congress Party (MCP), vimejitangazia ushindi licha ya matokeo rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) yakiendelea kusubiriwa. MCP, ambacho ni chama tawala, mgombea wake wa urais ni Rais Dk Lazarus Chakwera, anayetetea kiti hicho kwa muhula wa pili, na mgombea…