Uchaguzi wa Malawi: Chakwera, Mutharika wajitangazia Ushindi

Lilongwe. Vyama viwili vikuu vya siasa nchini Malawi, Democratic Progressive Party (DPP) na Malawi Congress Party (MCP), vimejitangazia ushindi licha ya matokeo rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) yakiendelea kusubiriwa. MCP, ambacho ni chama tawala, mgombea wake wa urais ni Rais Dk Lazarus Chakwera, anayetetea kiti hicho kwa muhula wa pili, na mgombea…

Read More

Yalipo mabao dabi ya Azam vs Yanga

AZAM na Yanga zinakutana tena uwanjani Jumapili hii Machi 15, 2026 katika msako wa pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita kipindi cha takribani siku 61 tangu zilipotoana jasho kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026. Ndani ya siku 61 ambazo timu hizo tangu mara ya mwisho zikutane, kuna mambo mengi hapo…

Read More

Faida ya Madini ya Afrika, Matumaini ya Tahadhari Huku Kukiwa na Misukosuko ya Kijiografia – Masuala ya Ulimwenguni

Ishara nje ya Metallon, moja ya wazalishaji wakubwa wa dhahabu wa Zimbabwe. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo, zimbabwe) Jumatano, Machi 18, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Machi 18 (IPS) – Jicho la Afŕika katika madini kama ajenda ya kuwa-yote na-tiba kwa ajili ya ajenda ya maendeleo ya bara linajaribiwa na ustadi wa…

Read More

UWAJIBIKAJI, UAMINIFU NGUZO YA BIASHARA DODOMA

  KATIBU Tawala Msaidizi Sehemu ya Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Dodoma Bi.Mwajabu Nyamkomora,akizungumza  wakati akifungua semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Baraza la Ushindani (FCT) kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika leo Februari 27,2026 jijini Dodoma. …… KATIBU Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma, Mwajabu Nyamkomora, amesema uwajibikaji na uaminifu ni…

Read More

Kero tano zinavyopigiwa chapuo na wagombea urais

Dar/Mikoani. Upatikanaji duni wa huduma ya maji safi na salama, migogoro ya ardhi, miundombinu, uhaba wa ajira na kipato kwa wananchi, ndizo changamoto zilizoteka vinywa vya wagombea urais wa vyama mbalimbali vya siasa ndani ya siku tano za mwanzo za kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Tayari kampeni hizo zimeshafanyika katika mikoa ya Dar…

Read More

JKT Queens yaanza kibabe CECAFA Women

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens imeanza kwa kishindo michuano ya CECAFA kwa Wanawake ya kuwania tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa JKU Princess mabao 5-0 kwenye mchezo wa Kindi C. Mechi hiyo imepigwa mchana huu kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex  Kenya ambako mashindano hayo yanaendelea kufanyika kuanzia jana hadi…

Read More