Mikopo ya halmashauri pasua kichwa Mtama
Mtama. Madiwani wa Halmashauri ya Mtama wamelalamika kwenye baraza la madiwani kuwa katika maeneo yao kuna baadhi ya wananchi ambao wamepewa fedha pungufu tofauti na kiasi cha mikopo waliyoidhinishiwa na halmashauri . Akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani cha robo ya pili, leo Jumatano Januari 21,2026 Diwani Viti maalumu kata ya Pangatena, Hawa Nameta…