Gridi ya Taifa ya Maji itachochea maendeleo kwa kasi
………. Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Maji ni kimiminika muhimu kwa maisha na uhai wa viumbei. Maji hutumika kuanzia asubuhi, mchana, jioni hadi usiku. Hutumika kwa matumizi ya nyumbani kama kupikia, kufulia na kuogea. Hutumika katika shughuli za kiuchumi kama viwandani, mashambani, migodini, masokoni kutaja kwa uchache. Maji hayana mbadala, panapohitajika maji, hakuna namna nyingine…