Mikopo ya halmashauri pasua kichwa Mtama

Mtama. Madiwani wa Halmashauri ya Mtama wamelalamika kwenye baraza la madiwani kuwa katika maeneo yao kuna baadhi ya wananchi ambao wamepewa fedha pungufu tofauti na kiasi cha mikopo waliyoidhinishiwa na halmashauri . Akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani cha robo ya pili, leo Jumatano Januari 21,2026 Diwani Viti maalumu kata ya Pangatena,  Hawa Nameta…

Read More

Moza asimulia walivyopata ajali na kigogo wa Chaumma

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Moza Ally amesimulia mazingira ya tukio la ajali ya gari iliyomkuta yeye na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu. Baada ya ajali hiyo Moza aliwahishwa    kupatiwa matibabu katika Taasisi ya Mifupa (MOI) na baadaye kuruhusiwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la…

Read More

Wizi wa miundombinu watajwa kutatiza huduma za maji Tabora

Tabora. Wizi wa miundombinu ya maji pamoja na baadhi ya wateja kujiunganishia maji kinyume na utaratibu umeisababishia hasara Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Tuwasa), jambo linalosababisha kuchelewa kwa huduma kwa baadhi ya nyakati. Hayo yamebainishwa leo Januari 21, 2026 mjini Tabora wakati wa mkutano kati ya Tuwasa Mkoa wa Tabora na watendaji…

Read More

Simba yafyeka mastaa saba, yumo kocha mmoja

HUKO Simba bado panawaka moto katika usajili wa dirisha dogo linalotarajiwa kufungwa Januari 30, 2026, kwani kuna uwezekano wa kuachana na idadi kubwa ya mastaa waliopo sasa na kushusha sura mpya za kuongeza nguvu kikosi hicho kinachopambana kusaka mataji baada ya kuyakosa kwa misimu minne mfululizo. …

Read More

Kuvunjika kwa magereza na mapigano mapya yanaibua wasiwasi kaskazini mashariki mwa Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António Guterres anafuata ghasia zinazoendelea “kwa wasiwasi mkubwa,” Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq. alisema Jumanne huko New York. Katibu Mkuu ametoa wito wa kuheshimiwa kikamilifu sheria za kimataifa na ulinzi wa raia huku pia akisisitiza umuhimu wa kupata vituo vya kizuizini. Alizitaka pande husika kuendelea na mazungumzo, kusonga mbele kwa…

Read More