Haya hapa mazao sita yatakayonyanyua uchumi wa Tanga

Tanga. Watalaam wa kilimo na ushirika kutoka halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga wamebainisha mazao yatakayowasaidia wananchi hususan wakulima kuinua uchumi wao. Akizungumza kwenye kikao kilichojumuisha wataalamu wa kilimo, ushirika na wadau wengine kilichofanyika leo Septemba 12, 2025 wilayani Handeni mkoani Tanga, Ofisa kilimo Mkoa, George Mmbaga amesema lazima wakulima wasaidiwe ili kulima kilimo chenye…

Read More

Mwinyi, Othman kugawana visiwa kuzisaka kura Zanzibar

Unguja. Wakati kesho zikianza rasmi kampeni za Uchaguzi Mkuu Zanzibar, Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo vinatarajia kugawana visiwa katika ufunguzi. CCM itazindulia kampeni zake katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Unguja kuanzia saa 2:00 asubuhi, huku ACT-Wazalendo kikizindua kisiwani Pemba. Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 12, 2025, mgombea urais wa Zanzibar…

Read More

Manara aibua shangwe kwa Mkapa 

KAMA kawaida ya Haji Manara awamu hii ameingia na warembo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salamaa panakpofanyika tamasha la Wiki ya Mwananchi. Hilo ni tamasha la saba kwa Yanga tangu lilipoanzishwa 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk Mshindo Msolla. Manara amevalia nguo za kijani, ambapo baada ya mashabiki kumuona walishangilia…

Read More

Shoo ya D Voice bab’kubwa

MSANII wa singeli kutoka lebo ya WCB, alimaarufu D Voice baada ya kupanda jukwaani kutumbuiza katika tamasha la Wiki ya Mwananchi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, ameamsha shangwe la mashabiki ambao wameonekana kupenda anachofanya. D Voice alikuwa anaimba wimbo huku akitumia staili ya kuwagandisha mashabiki kisha wanaanza kucheza tena. Utumbuizaji wake umeamsha shangwe…

Read More

Wabunifu wahimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora ya nishati

Dar es Salaam. Wabunifu nchini wamehimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora na sahihi ya nishati, ili kusaidia kupunguza upotevu na kuongeza ufanisi wa matumizi yake. Wito huo umetolewa leo, Septemba 12, 2025, katika hafla ya kuwapongeza washindi 10 wa shindano la ‘Energy Efficiency Innovation Challenge,’ linalolenga kuwahamasisha vijana wabunifu kuibua suluhisho za kiteknolojia kwa…

Read More