
Makosa hatari ya kitabibu kwa wagonjwa wodini
Dar es Salaam. Wagonjwa wenye mahututi walio wodini, wako hatarini mara saba zaidi kupoteza maisha kwa kukosa huduma za msingi, utafiti umebaini. Imebainika kuwa asilimia 69 ya wagonjwa mahututi tofauti na dhana iliyojengeka, walikuwa wakitibiwa katika wodi za kawaida na sio wodi za uangalizi maalum (ICU). Kufuatia matokeo hayo, wataalamu wa afya wamesema endapo madaktari…