Makosa hatari ya kitabibu kwa wagonjwa wodini

Dar es Salaam. Wagonjwa wenye mahututi walio wodini, wako hatarini mara saba zaidi kupoteza maisha kwa kukosa huduma za msingi, utafiti umebaini. Imebainika kuwa asilimia 69 ya wagonjwa mahututi tofauti na dhana iliyojengeka, walikuwa wakitibiwa katika wodi za kawaida na sio wodi za uangalizi maalum  (ICU). Kufuatia matokeo hayo, wataalamu wa afya wamesema endapo madaktari…

Read More

Tanzania, Kenya, Uganda zaandika rekodi CHAN 2024

TIMU za taifa za Tanzania, Kenya na Uganda zimeandika rekodi mpya katika soka la Afrika baada ya zote kwa pamoja kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 huku wakiongoza makundi yao. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa mashindano hayo, Tanzania, Kenya na Uganda zimepenya hatua…

Read More

Teknolojia ilivyosaidia kuongeza idadi ya faru nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Maliasili na Utalii imesema idadi ya faru imeongezeka kutoka 161 mwaka 2019 hadi kufikia 253 mwaka jana kutokana na matumizi ya teknolojia ya ulinzi waliyowekewa iitwayo Transmitters. Hayo yamebainishwa hii leo Jumanne ya Juni 25, 2024 katika warsha iliyoandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF), iliyowakutanisha wataalamu wa…

Read More

Tunaanza upya 2024/25, mipango mikakati kambini

ILE siku iliyokuwa inasubiriwa na mashabiki wa soka hususan wale wa klabu zilizomaliza Nne Bora ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Yanga, Simba, Azam na Coastal Union imefika. Klabu hizo zote zilitangaza kwamba leo, Jumatatu, ikiwa ni Julai Mosi ndio zinaanza rasmi mipango ya msimu ujao wa Ligi Kuu ikiwamo kuanza kukutana kambi za awali…

Read More

Mpole, Ninja wasaka nafasi za CAF

WATANZANIA wanaochezea soka Ligi Kuu ya DR Congo, mshambuliaji George Mpole (FC Lupopo) na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ (Lubumbashi Sport), wamezungumzia namna kazi ilivyo ngumu kuelekea kumaliza msimu huu wa 2023/24. Mpole timu yake inaonekana kuwa na nafasi ya kucheza michuano ya CAF kwani ipo nafasi ya tatu, huku TP Mazembe ikiwa inaongoza ligi, lakini…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UENDESHAJI WA KIWANDA CHA KMTCL

  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo,akizungumza wakati wa Waziri wa Viwanda na Biashara akiwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichosajiliwa Kampuni Tanzu ya NDC mwezi Machi, 2023 kilichojulikana kama Kilimanjaro Machine Tools Company (KMTC) ili kufanya kiwanda kujiendesha kibiashara kwa Kamati hiyo katika…

Read More

DKT.MOLLEL:WAGANGA MSIZUIE MAITI WEKENI UTARATIBU MZURI

Na WAF – Dodoma   Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka Waganga wakuu wa Mikoa, Waganga Wakuu wa Wilaya Pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali kwa ngazi zote nchini kuzingatia maelekezo ya Mwongozo wa kutozuia maiti na kuweka utaratibu wa kulipia gharama za matibabu na madeni ya miili ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma…

Read More