Polisi yawaachia kina Mbowe kwa dhamana, baadhi wakwama

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi ya moja, ikiwemo jinai. Limesema halitasita kuchukua hatua kwa yeyote…

Read More

Hii ndiyo simulizi ya Kimara na mitaa yake

Dar es Salaam. Tofauti na ilivyo katika maeneo mengi, karibu kila jina la mtaa unaounda Kata ya Kimara ni simulizi yenye historia maridhawa. Uwepo wa viwanda, shughuli za kiuchumi na miradi mbalimbali, ndiyo msingi wa ubatizo wa majina hayo, yanayoendelea kutumika hadi sasa. Unapotokea mjini , Mtaa wa Kibo ndilo lango la kuingia Kimara. Ingawa…

Read More

Utafiti: Zanzibar kuna popo 32,000

Unguja. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Uhifadhi wa popo (Bat Conservation International) ya mwaka 2020 umeonesha jumla ya popo 32,000 wanapatikana kisiwani hapa kati yao 7,560 wanapatikana bandari ya Wete. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar, Shamata Shaame Khamis leo Jumanne  25,2025 katika Baraza la Wawakilishi wakati akijibu…

Read More

MIZANI 78 YAFUNGWA KUDHBITI UZITO WA MAGARI

MKURUGENZI wa Idara ya Usalama na Mazingira Wizara ya Ujenzi Mhandisi Kashinde Musa, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 27,2024 kuhusu ushiriki wao kwenye wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayofanyika kitaifa jijini Dodoma. Meneja wa Mazingira na Jamii Wakala wa Barabara nchini Tanroad, Zafarani Madayi,akizungumza na waandishi wa habari  kuhusu ushiriki…

Read More

Hatua kwa hatua uchaguzi wa TLS

Dodoma. Safari ya kupatikana mshindi wa urais katika uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),  ilianza saa 12.30 asubuhi ya Agosti 2, 2024, pale wanachama walipoanza kupiga kura kuchagua viongozi watakaoongoza chama hicho kwa miaka mitatu. Mchuano mkali katika uchaguzi huo ulikuwa kati ya wagombea wawili kati ya sita wa nafasi ya urais ambao ni…

Read More