WAZIRI MKUU ASHIRIKI UFUNGUZI WA JUKWAA LA MAAFISA WATENDAJI WAKUU AFRIKA 2025
▪️Rais Ouattara asisitiza uongezaji thamani wa mazao WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki ufunguzi wa Mkutano wa siku mbili wa Maafisa Watendaji Wakuu barani Afrika ulioanza leo Mei 12, 2025, katika ukumbi wa hoteli ya Sofitel jijini Abidjan, Ivory Coast. Mheshimiwa Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo ambao umefunguliwa na…