Kyela kuandaa mpango mkakati kwa kuzingatia Dira ya Taifa 2050
Mbeya. Wataalamu wanaoandaa mpango mkakati katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kuandaa unaokubalika na wananchi kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Pia wamesisitizwa umuhimu wa ushirikishwaji wa wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi wa siasa, sekta binafsi, asasi za kiraia, wananchi kwani mpango huo ukikubalika utatoa matokeo chanya kwa jamii husika. Akifungua…