Kyela kuandaa mpango mkakati kwa kuzingatia Dira ya Taifa 2050

Mbeya. Wataalamu wanaoandaa mpango mkakati katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kuandaa unaokubalika na wananchi kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Pia wamesisitizwa umuhimu wa ushirikishwaji wa wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi wa siasa, sekta binafsi, asasi za kiraia, wananchi kwani mpango huo ukikubalika utatoa matokeo chanya kwa jamii husika. Akifungua…

Read More

Straika Prisons atua Coastal | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa maafande wa Tanzania Prisons, Abdulkarim Segeja, amekamilisha usajili wa kujiunga na Coastal Union kwa mkataba wa miezi sita utakaomweka ndani ya kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya hadi mwisho wa msimu huu. Nyota huyo aliyejiunga na Prisons katika dirisha dogo la Januari 2023 akitokea Copco ya jijini Mwanza, alisaini mkataba wa miaka…

Read More

Mido Singida anukia Azam | Mwanaspoti

MABOSI wa Azam wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Idriss Diomande, baada ya nyota huyo aliyehusishwa pia kuhitajika na Simba katika dirisha hili dogo dili lake kugonga mwamba. Nyota huyo alikuwa akihusishwa kujiunga na Simba kwa ajili ya kuchukua nafasi ya kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua aliyejiunga…

Read More

Dilunga aungana na Mzamiru TRA

KIUNGO wa zamani wa Simba na JKT Tanzania, Hassan Dilunga amekamilisha dili la kujiunga na TRA United akiungana na Mzamiru Yassin waliyecheza pamoja wakiwa Simba. Dilunga ambaye ameitumikia JKT Tanzania kwa misimu miwili, mkataba na klabu hiyo umetamatika hivyo ametua TRA United akiwa mchezaji huru. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TRA United kimethibitisha usajili…

Read More