Uhamiaji yaja na siku 28 za kukagua vibali

Arusha. Idara ya Uhamiaji imetangaza siku 28 za ukaguzi na uhakiki wa vibali vya ukaazi na hadhi mbalimbali za kiuhamiaji kwa raia awa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Septemba 11, 2025 na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Paul Mselle, ukaguzi huo utafanyika kuanzia Septemba 11,…

Read More

Samia Aahidi Kuendeleza Maendeleo Tabora kwa Miaka Mitano Ijayo – Video – Global Publishers

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Manispaa ya Tabora imenufaika kwa kiwango kikubwa na miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita, huku akiahidi kuendeleza kasi hiyo katika miaka mitano ijayo endapo atachaguliwa tena Oktoba 29, 2025. Akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

Yanga, Mashujaa hakuna mbabe | Mwanaspoti

Wenyeji wa mchezo Yanga Princess wameshindwa kutambiana na Mashujaa Princess kwenye mchezo wa ufunguzi wa kilele cha tamasha la Wiki ya Wananchi baada ya suluhu katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Mchezo huo umechezwa kwa dakika 40 ikiwa ni 20 kila kipindi na hakuna timu iliyotikisa nyavu, huku Yanga ambayo imeanza kwa utambulisho wa…

Read More

Kwa Mkapa ‘full house’ | Mwanaspoti

Baada ya kusuasua kuingia uwanjani mashabiki wa Yanga hadi saa 10:45 Uwanja wa Mkapa ulikuwa umejaa (full house), kutokana na mafuriko ya mashabiki. Licha ya burudani kuanza mapema uwanja ulikuwa na mapengo, lakini hadi kufikia muda huo mashabiki walikuwa wamejaa na kuendelea kuburudika na burudani. Pamoja na uwanja kuonekana kujaa mashabiki wa Yanga wanaonekana kuendelea…

Read More

Dogo Paten aibua shangwe kwa Mkapa

Msanii wa Singeli maarufu kama Dogo Paten ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi ambapo Yanga Orincess imecheza na Mashujaa Queens. Wimbo Paten wa Afande umeibua hisia kubwa na kupokewa kwa swangwe na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwa Mkwapa katika tamasha la Wiki…

Read More

MGOMBA URAIS CCM DK.SAMIA AKOSHWA NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA TABORA, AAHIDI MAKUBWA MIAKA MITANO IJAYO

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More

DKT.SAMIA AAHIDI KUIREMBESHA TABORA KWA TAA ZA BARABARANI 2,500

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More