
Dkt. Abbas: Ushirikiano wa Wadau Muhimu Kukabiliana na Tabianchi
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbas, amewataka wadau wa maendeleo wakiwemo WWF kuendelea kushirikiana na Serikali katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na ulinzi wa misitu nchini. Dkt. Abbas alitoa rai hiyo jijini Dar es Salaam, Septemba 11, 2025, wakati wa hafla ya uzinduzi wa vifaa vya usimamizi wa misitu…