Boni yai amtaka Mbowe asiwe mnyonge, akumbushia mchango wake

Hai. Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani wa Chadema, Boniphace Jacob, maarufu Boni Yai amesema kazi iliyofanywa na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho,  Freeman Mbowe  kwa miaka 21 wanaithamini na kumtaka asikae pembeni kwa kuwa bado wanamuhitaji na wataendelea kumlinda. Bon Yai ameyasema hayo leo Alhamisi Mei 29, 2025 wakati akizungumza na  wananchi kwenye mkutano wa…

Read More

Ulega atoa siri ya ujenzi salama

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema katika kuboresha sheria za ujenzi, wataingiza kipengere kitakachohitaji ili mtu apewe kibali cha kujenga, lazima awe na fundi sanifu mwenye cheti. Amesema taaluma hiyo inapaswa kuheshimika na kupata stahiki na heshima na si kila mtu kuona anaweza kuifanya. Akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa saba wa…

Read More

DUWASA YAASWA KUTOA HUDUMA KWA UFANISI

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera ameipongeza DUWASA na kuitaka kuendelea kutoa huduma Bora na yenye ufanisi kwa wananchi. Dkt. Serera ametoa rai hiyo Leo Agosti 06, 2025 alipotembelea Banda la Wizara ya Maji, ambapo amepokea maelezo kuhusu huduma za DUWASA. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA)…

Read More

SERIKALI YAHIMIZA MATUMIZI YA MASHINE YA KIELEKTRONIKI

Mwenyekiti wa Kongamano la Kodi, Bw. Robert Manyama, akitoa ufafanuzi wakati wa Kongamano la Kodi kwa wadau mbalimbali (hawamo pichani) lililofanyika katika Kanda ya Ziwa (Kigoma) Mwenyekiti wa Kongamano la Kodi, Bw. Robert Manyama (Katikati) akitoa ufafanuzi kwa wavuvi, wafanyabiashara na wadau mbalimbali (hawamo pichani) walioshiriki katika Kongamano la Kodi kulia kwake ni Mwenyekiti wa…

Read More

Uhasama kaskazini mashariki mwa Syria, mpango wa kukabiliana na Mali, uhamisho wa Uyghur nchini Thailand – Masuala ya Ulimwenguni

Kati ya tarehe 16 na 18 Januari, takriban raia watatu waliuawa na 14 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na mashambulizi mengine yaliyoathiri maeneo ya Manbij, Ain al-Arab na vijiji vingine karibu na Bwawa la Tishreen katika eneo la mashariki la Aleppo. Washirika wa Umoja wa Mataifa pia waliripoti kuwa maduka katika soko kuu yaliharibiwa wakati…

Read More

MAJALIWA ATETA NA WAZIRI WA UCHUMI WA URUSI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na  Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi Maxim Reshtnkov, katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Oktoba 28, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)   Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na  Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi Maxim Reshtnkov na ujumbe…

Read More

Afariki dunia akijaribu kuuzima moto shambani

Morogoro. Mratibu wa Elimu, Kata ya Tomondo aliyetambuliwa kwa jina la Mwenge Mnune, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto shambani kwake , wakati akijaribu kuuzima moto huo alioukuta ukiteketeza mazao kwenye shamba hilo. Tukio hilo linadaiwa kutokea Agosti 21, 2024 katika kitongoji cha Banzayage kilichopo katika kata ya Kiroka, mkoani Morogoro ambapo Mnuna na…

Read More