Vita ya Mbowe, Lissu ina darasa pana kuliko siasa

Nimemwona Wakili Alute Mghwai, kaka wa Tundu Lissu, akisema anamtambua Freeman Mbowe kama mwanafamilia wao. Alute amezungumza kwa hisia kuhusu uhusika wa Mbowe katika uokoaji wa maisha ya Lissu, mdogo wake. Kila kitu chanzo chake ni Septemba 7, 2017. Watu wabaya kupita kiasi, walimshambulia Lissu kwa risasi zinazokadiriwa kufika 38. Walikusudia zile risasi zichukue uhai…

Read More

Hemed Morocco katika anga za Song, Cisse

Baada ya kuiongoza Taifa Stars kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2024, kibarua kilicho mbele ya kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Morocco ni mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco, Machi 26 mwaka huu. Morocco anaendelea kusimamia benchi la ufundi la Taifa Stars kufuatia uamuzi wa…

Read More

Yusuph: CAF yapo mengi ya kujifunza

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Mbaraka Yusuph amesema licha ya kutolewa katika hatua za awali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), lakini hawajatoka patupu. Coastal ilitolewa katika mashindano hayo baada ya kufungwa nyumbani na ugenini jumla ya mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola, jambo ambalo mchezaji huyo kalichukua kama funzo la kujituma…

Read More

VIONGOZI WA DINI WAMETUTIA NGUVU KUENDELEA NA UCHAGUZI MKUU

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru na kuwapongeza viongozi wa dini kwa ushauri kuhakikisha Nchi inaendelea kuwa na amani hususan kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu na kubariki uchaguzi huo uendelee huku, ikisisitiza kuwa haidharau maoni yanayotolewa. CCM imesisitiza kuwa haipuuzi ushauri mbalimbali unaotolewa kuelekea uchaguzi huo, lakini imesisitiza hautaahirishwa kwa kuwa mageuzi na mabadiliko ni…

Read More

Maisha ya bungeni ya Ndugai yalivyofuata nyayo za Makinda

Dar es Salaam. Tofauti ya maisha ya bungeni ya aliyekuwa Spika, hayati Job Ndugai na spika mstaafu, Anna Makinda ni ya kipekee, lakini wamehudumu katika vyeo vinavyofanana. Kwa mujibu wa Makinda, maisha yake na Ndugai yalikuwa mithili ya mtu na mdogo wake, kila wadhifa alioupata akiwa bungeni, mwanasiasa huyo alikuwa msaidizi wake na baadaye kurithi…

Read More

Watoto hawa hatarini kupata utapiamlo, tatizo liko hapa

Shinyanga. Watoto wasionyonyeshwa kikamilifu kwa miezi sita na wanaoanzishiwa vyakula mbadala mapema, wapo katika hatari ya kupata tatizo la utapiamlo, wataalamu wa afya wameonya. Imeelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuchangia mtoto kupata utapiamlo, hii moja kwa moja inasababishwa na ulaji usiofaa na magonjwa yanayompata mtoto. Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha asilimia 86 ya watoto…

Read More