Jesca Magufuli: Nyumbani alikuwa baba wa nidhamu, kwa Taifa alikuwa kiongozi wa dhamira
Miaka mitano tangu kifo cha Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, familia yake imeendelea kumkumbuka si tu kama kiongozi wa Taifa bali pia baba mwenye mafunzo makubwa ya maisha. Akizungumza katika kumbukumbu ya miaka mitano ya kifo cha baba yake (Magufuli), Jesca Magufuli amesema kwa familia yao siku hiyo hubeba hisia…