TBA KUANZA OPARESHENI YA KUWATOA WADAIWA SUGU OKTOBA MOSI

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetangaza kuanza oparesheni ya kuwaondoa wadaiwa sugu katika nyumba za Serikali kuanzia Oktoba 1, mwaka huu endapo watashindwa kulipa kodi zao za pango hadi Septemba 30. Wito huo umetolewa leo Septemba 10, 2025 Jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa TBA, Arch. Daud Kondoro, alipokuwa akizungumza na waandishi wa…

Read More

Ngome Yazidi Kung’ara BAMMATA – Global Publishers

Timu za Ngome zinazomilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania zimezidi kung’ara katika mashindano ya  Michezo mbalimbali ya Majeshi (BAMMATA) ambayo yanafanyika mjini  Zanzibar. Baadhi ya michezo ambayo inaongoza  hadi sasa ni pamoja na mpira wa miguu, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, mpira wa mikono (handball), mpira wa pete…

Read More

Meridian Bonanza Yaanza Kutikisa Ulimwengu wa Kubashiri

MERIDIAN Bonanza imewasili kwa kasi kubwa ikiwa imebeba burudani na ushindi. Ukiwa ni mchezo mpya kabisa, Bonanza inaleta upekee, msisimko na teknolojia ya kisasa inayomweka mchezaji katikati ya kila tukio. Huu si mchezo wa kawaida, ni safari ya ushindi isiyotabirika. Meridian Bonanza imeundwa kwa ubora wa hali ya juu, ikijumuisha muonekano wa kuvutia na athari…

Read More

TAKUKURU PWANI YAREJESHA MILION 1.3 KWA WANANCHI NYAKAHAMBA

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani, Septemba 12, 2025 TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imerejesha kiasi cha shilingi 1,376,250 kwa wananchi wa Kitongoji cha Nyakahamba, kata ya Kerege, wilayani Bagamoyo, waliotozwa kinyume cha utaratibu na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa ajili ya kulipia huduma ya maji, licha ya kuwa mkandarasi wa mradi…

Read More

Tengeneza Mpunga Leo na Meridianbet

NI Ijumaa nyingine ya kuanza kufikiria mkwanja wa maana ambapo ligi mbalimbali zinaendelea baada ya mapumziko ya Kimataifa. Sasa ni muda wa wewe pia kurejea kuokoto kwa kubashiri mechi zako kwa dau lolote. LALIGA leo hii kule Hispania itaendelea kwa mtanange mmoja ambapo Sevilla FC baada ya kushinda mechi yake iliyopita atakipiga dhidi ya Elche…

Read More