Maseneta wa Marekani wataka kumfukuza Waziri wa Vita wa nchi hiyo kwa kuua wanafunzi shule ya msingi Minab
Maseneta Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wa Marekani wametoa wito wa kuambiwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth, kwa sababu ya kutenda jinai ya kuua watoto wa shule ya msingi nchini Iran. Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wamesema kuwa Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth anapaswa kufukuzwa kwa sababu ya…