Hamdi aongeza dozi Yanga, mastaa wakiona cha moto

KATIKA kuhakikisha ile Gusa Achia Pro Max inafanya kazi ipasavyo, kocha mpya wa Yanga, Miloud Hamdi ameongeza dozi kwa mastaa wa timu hiyo. Achana na mazoezi ya kabla ya mechi wanayoyafanya wakiwa Avic Town au wakati mwingine KMC Complex, dozi imeongezwa katika mazoezi muda mfupi baada ya mechi. Yanga imekuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi…

Read More

Biashara, Tabora Utd lazima kieleweke

Kesho itajulikana ni nani atacheza Ligi Kuu Bara msimu ujao kati ya Biashara United ya Mara na Tabora United, ambazo zitamenyana katika mchezo wa marudiano kuwania kucheza ligi hiyo, kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora kuanzia saa 10:00 jioni. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Jumatano kwenye Uwanja wa Karume, Musoma, wenyeji Biashara United walishinda…

Read More

Mkutano Mkuu Chaneta kufanyika Arusha

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Netiboli nchini (CHANETA) utakaoafanyika Jumanne ijayo jijini Arusha. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chaneta, Shy Rose Bhanji mkutano huo utahudhuriwa na wajumbe watatu kutoka kila mkoa wa Tanzania Bara. Shy Rose alisema mbali na kufungua…

Read More

Marekani kuanza mazungumzo ya amani ya Sudan bila ya jeshi – DW – 13.08.2024

Mazungumzo hayo ambayo yanafanyika nchini Uswisi yanatarajiwa kuanza kesho Jumatano na huenda yakafanyika kwa siku 10.  Marekani inayaratibu mazungumzo hayo yanayofanyika katika wakati ambapo Umoja wa Mataifa ukionya kwamba taifa hilo limo katika kile ilichokiita “ukingo wa kuporomoka” na maelfu ya vifo ambavyo vingeweza kuzuilika, hivi sasa vinawanyemelea kutokana na mizozo iliyochochewa na vita. Eneo…

Read More

Uwanja wainyima mabao Simba | Mwanaspoti

LICHA ya ushindi wa mabao 4-1 iliyopata Simba Queens kwenye mchezo wa Ligi Kuu, kocha wa timu hiyo, Yussif Basigi amesema walikuwa na nafasi ya kufunga mengi zaidi, lakini tatizo ni uwanja. Tangu ametua nchini akitokea Hasaacas Ladies ya Ghana, Basigi msimu huu hajapoteza mchezo wowote wa ligi akiongoza kwenye msimamo wa ligi na pointi…

Read More

‘Yatch’ iliyombeba bilionea, familia yake yazama baharini

Italia. Msako wa kuwatafuta watu sita waliokuwamo ndani ya boti ya kifahari maarufu ‘Yatch’ iliyozama kwenye Bahari ya Mediterenian karibu na eneo la Porticello nchini Italia, unaendelea asubuhi hii. Boti hilo la kifahari lilidaiwa kuzama jana Jumatatu asubuhi Agosti 19, 2024 ambamo ndani yake kulikuwa na tajiri kutoka nchini Uingereza Mike Lynch, binti yake mwenye…

Read More