Hamdi aongeza dozi Yanga, mastaa wakiona cha moto
KATIKA kuhakikisha ile Gusa Achia Pro Max inafanya kazi ipasavyo, kocha mpya wa Yanga, Miloud Hamdi ameongeza dozi kwa mastaa wa timu hiyo. Achana na mazoezi ya kabla ya mechi wanayoyafanya wakiwa Avic Town au wakati mwingine KMC Complex, dozi imeongezwa katika mazoezi muda mfupi baada ya mechi. Yanga imekuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi…