TAMWA Yakumbusha Historia ya Mapambano Dhidi ya Dhuluma kwa Wanawake na Watoto

Mwasisi wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA),Fatma Aloo akizungumza wakati wa Iftari iliyofanyika katika Ofisi za TAMWA jijini Dar es Salkaam kwa kuunganisha Waandishi wa habari wakongwe na wakati na wasasa. Iftaru hiyo imefanyika Machi 06, 2026. CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), kimesisitiza umuhimu wa kuendeleza harakati za…

Read More

Serikali yajifunga kitanzi maji ya uhakiki mradi wa Same–Mwanga–Korogwe

Mwanga. Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanaozungukwa na mradi mkubwa wa maji wa Same–Mwanga–Korogwe wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika wakati wote. Hatua hiyo inalenga kuboresha maisha ya wananchi pamoja na kulinda afya za jamii zinazoishi katika maeneo yanayonufaika na mradi huo. Akizungumza leo Jumanne Machi 17, 2026…

Read More

DC aagiza gereza kuanzisha miradi ya kujitegemea

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Naano, amelitaka Gereza la Maswa kuanzisha miradi mbalimbali ya uzalishaji mali ili liweze kujitegemea na kupunguza utegemezi kwa Serikali. Dk Naano ametoa  maagizo hayo leo Jumapili, Agosti 24,2025  kwa mkuu wa gereza hilo, Mrakibu wa Magereza, Omari Mbwambo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 64…

Read More

Pakistan Yajitolea Kuandaa Mazungumzo Kati ya Iran na Marekani

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, ameonesha utayari wa nchi yake kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran, endapo pande zote zitakubali wazo hilo. Sharif amesema Pakistan iko tayari kusaidia kurahisisha mazungumzo yenye lengo la kupata suluhisho la kudumu kwa mzozo unaoendelea. Wakati huohuo,…

Read More

WAFANYAKAZI BARRICK BULYANHULU WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAPA FARAJA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM BUPAMBA

Wafanyakazi Wanawake wa Barrick Bulyanhulu wakigawa zawadi mbalimbali na kuwafariji watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma katika shule ya msingi ya wanafunzi wenye mahitaji maalum ya Bupamba iliyopo halmashauri ya Nyang’hwale mkoani Geita katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Wafanyakazi Wanawake wa Barrick Bulyanhulu wakigawa zawadi mbalimbali na kuwafariji watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma katika shule…

Read More