MHANDISI MAHUNDI ATEMBELEA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom Tanzania kwa lengo la kujifunza namna kampuni hiyo inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutatua changamoto wanazokutana nazo wateja wao. Akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa Vodacom kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam, Mhandisi…

Read More

Arusha Food Systems Youth Leaders waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Chakula Mashuleni

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Chakula Mashuleni Arusha Food Systems Youth Leaders   wametembelea shule ya sekondari Ungalimited na kutoa elimu kwa wanafunzi pamoja na walimu kuhusu umuhimu wa kutunza mazingira kwa ajili ya kuwa na mifumo endelevu ya chakula ikiwemo kupanda miti ya matunda. Viongozi vijana wa mifumo ya chakula Arusha, wanafunzi pamoja na walimu…

Read More

Watakiwa kujitolea kusaidia waathirika wa mafuriko

Dar es Salaam. Wakati bado athari za mafuriko wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani zikiendelea kuathiri maelfu ya wananchi, Watanzania wametakiwa kujitolea kuwasadia kwa hali na mali wanaanchi hao. Wito huo umetolewa Mei 4, 2024 na wawakilishi wa taasisi za Lions Club na Who is Hussein walipokuwa wakitoa misaada kwa waathirika wa mafuriko wilayani Rufiji Mkoa…

Read More