Dilunga aungana na Mzamiru TRA

KIUNGO wa zamani wa Simba na JKT Tanzania, Hassan Dilunga amekamilisha dili la kujiunga na TRA United akiungana na Mzamiru Yassin waliyecheza pamoja wakiwa Simba. Dilunga ambaye ameitumikia JKT Tanzania kwa misimu miwili, mkataba na klabu hiyo umetamatika hivyo ametua TRA United akiwa mchezaji huru. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TRA United kimethibitisha usajili…

Read More

Kipa Alliance ajivunia ubora, akiiwaza Simba

KIPA wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda ameanza vyema ndani ya kikosi cha Alliance Girls ya Mwanza akitoa mchango mkubwa kwa kuzuia nyavu za lango lake kuguswa na wapinzani. Mtunda alijiunga na timu hiyo msimu huu akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Yanga Princess, akichukua nafasi ya Nusra Jafari aliyetimkia Fountain Gate…

Read More

Chadema kujenga chuo cha kumbukumbu ya Mtei

Musoma. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kujenga chuo kwa ajili ya kumbukumbu ya muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, aliyefariki dunia Januari 19, 2026 ikiwa ni sehemu ya kumuenzi na kuthamini yale aliyoyafanya kwa ajili ya chama hicho na Taifa kwa ujumla. Mbali na ujenzi huo, kimejipanga kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chama…

Read More

Mchungaji wa EAGT akutwa amefariki chumbani Moshi

Moshi. Mchungani wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Makimbilio, Manispaa ya Moshi, Jane Mwangalimi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake alikokuwa akiishi na mjukuu wake wa miaka mitano. Tukio hilo limetokea Januari 20, 2026 limegunduliwa na mjukuu wake huyo aliyekuwa akiishi naye, mtaa wa Kariwa Chini, Kata ya Rau, Wilaya ya Moshi, mkoani…

Read More

Maumivu ya Oktoba 29 yaanza kung’ata jijini Mbeya

Mbeya. Athari ya vurugu na maandamano yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu yameanza kung’ata kufuatia wananchi na viongozi jijini Mbeya kulalamikia mazingira yasiyo rafiki katika kutoa na kupata huduma kufuatia matukio ya uchomaji moto ofisi za serikali za mitaa na kata. Oktoba 29 zilizuka vurugu na maandamano katika baadhi ya maeneo nchini, ambapo kwa…

Read More

Tanzania, Marekani kushirikiana utafiti madini ya kinywe

Dodoma. Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Marekani wametangaza mpango wa utafiti wa kina wa madini ya kinywe hatua inayolenga kuongeza tija ya rasilimali za madini, kufungua fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Akizungumza leo Jumatano Januari 21, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema ushirikiano huo ni sehemu ya mkakati…

Read More

Viongozi wa serikali ya kijiji waachia ngazi, kisa chatajwa

Mbozi. Viongozi wote wa Serikali ya Kijiji cha Namwanga kilichopo katika Kata ya Hezya, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wamejiuzulu nyadhifa zao, wakilalamikia vitendo vya ukandamizaji na udhalilishaji wanavyodai kufanyiwa na viongozi wa ngazi ya kata. Viongozi hao, wakiongozwa na mwenyekiti wao, Japhet Mbukwa, walifikia uamuzi huo Januari 17, 2026, siku chache baada ya kukamatwa…

Read More