MIRADI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA IKAMILIKE KWA WAKATI- DKT.MATARAGIO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na kukamilika kwa wakati ili iweze kuendelea kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi wa taifa. Dkt. Mataragio ametoa maelekezo hayo…

Read More

DC NYAMWESE AHIMIZA UMOJA NA MSHIKAMANO WANANCHI WA HANDENI

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na utamaduni wa kusaidiana katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Wito huo ameutoa wakati wa hafla maalumu ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, hafla…

Read More

TCAA YAANDAA IFTAR MAALUM KWA WATOTO WENYE UHITAJI

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeandaa futari maalum kwa watoto wenye uhitaji kutoka Kituo cha Kulea Watoto wenye Uhitaji cha Zili, tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii na kuendeleza ujumuishi kwa makundi yenye mahitaji maalum. Hafla hiyo ilifanyika katika Makao Makuu ya TCAA jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na wadau wa sekta…

Read More

Fei Toto abeba zigo kubwa Dar es Salaam Dabi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kesho Jumapili anakutana na waajiri wake wa zamani Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara huku akiwa na zigo zito linalomkabili. Nyota huyo ambaye huu ni msimu wa tatu anaitumikia Azam tangu alipojiunga nayo 2023-2024 akitokea Yanga. Kwa msimu huu, tayari Fei Toto amevunja rekodi yake…

Read More

Pedro Goncalves afichua hesabu mpya za Yanga

YANGA imerudi nyumbani ikijiandaa kucheza tena ugenini dhidi ya Azam FC, lakini ule mchezo dhidi ya Prisons ukampa akili mpya kocha wao, Pedro Goncalves na sasa amewatenganisha f’lani kimehesabu mastaa wake. Iko hivi: Yanga ilipocheza juzi dhidi ya Prisons na kushinda kwa bao 1-0, goli lao lilitokea benchi dakika ya 61, alipoingia mshambuliaji Laurindo Aurelio…

Read More