TPHPA yapandisha ada cheti cha afya ya mazao

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa sekta ya usafirishaji wa mazao ya kilimo nchini. Muundo wa ada uliorekebishwa, ambao umesababisha ongezeko la zaidi ya mara nne kwa baadhi ya makundi ya shehena, umeibua…

Read More

Makundi ya kirafiki Simba yako hivi

KILA mtu na mtuwe na katika kundi kubwa la watu lazima kuwepo na vikundi vidogo vidogo ambavyo hata hivyo mara nyingi haviwezi kutenganisha kundi zima. Hivyo ndivyo ilivyo katika kikosi cha Simba ambacho pamoja na uhusiano mzuri uliopo wa kitimu, wapo wachezaji ambao wanaonekana kuwa na urafiki wa kushibana kiasi cha kupelekea mara kwa mara…

Read More

Licha ya washtakiwa kuomba Hakimu ajitoe, yeye amekataa

  MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya tuhuma ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita Bharat (54) wameiomba hakimu anayesikiliza kesi hiyo ajitoe kwa sababu hawana imani nae kutokana na maamuzi anayoyato. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Aidha, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

Matatani kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) kutoka Iringa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Abubakar Khamis Ally, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Madema. Amesema mtuhumiwa huyo alifika kituo cha…

Read More