Migogoro ya ardhi yatikisa ziara ya Kihongosi

Mwanza. Migogoro ya ardhi imekuwa fupa gumu kwenye Jiji la Mwanza huku wilaya za Ilemela na Nyamagana zikidaiwa Sh14 bilioni za fidia na wananchi. Hayo yamebainika kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi katika ziara yake ya kichama mkoani humo. Katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Senegal ushindi lazima

WABABE wawili kutoka kundi moja D, Senegal na Sudan wanakutana tena leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Mandela, jijini Kampala, Uganda kutafuta mshindi wa tatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN) 2024. Timu hizi zilikutana Agosti 19 katika mechi ya mwisho ya makundi visiwani Zanzibar, ambapo hakupatikana mbabe, lakini leo ni lazima mshindi…

Read More

Stand United yaja na tamasha kusaka mdhamini

Tamasha la Siku ya Wana linatarajiwa kufanyika 0ktoba 04, 2025 likiambatana na michezo mbalimbali, ikiwemo mechi nne za mwanzo huku Stand United ikikabiliana na timu ya Ligi Kuu Bara itakayotajwa hapo baadaye. Akizungumza na vyombo vya habari leo Septemba 25, 2025, mwenyekiti wa tamasha hilo, Chrispin Kakwaya, amesema: “Timu ya Stand United inaadhimisha Tamasha la…

Read More