


TPHPA yapandisha ada cheti cha afya ya mazao
Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa sekta ya usafirishaji wa mazao ya kilimo nchini. Muundo wa ada uliorekebishwa, ambao umesababisha ongezeko la zaidi ya mara nne kwa baadhi ya makundi ya shehena, umeibua…

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 14, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 14, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 14, 2024 first appeared on Millard Ayo.

Makundi ya kirafiki Simba yako hivi
KILA mtu na mtuwe na katika kundi kubwa la watu lazima kuwepo na vikundi vidogo vidogo ambavyo hata hivyo mara nyingi haviwezi kutenganisha kundi zima. Hivyo ndivyo ilivyo katika kikosi cha Simba ambacho pamoja na uhusiano mzuri uliopo wa kitimu, wapo wachezaji ambao wanaonekana kuwa na urafiki wa kushibana kiasi cha kupelekea mara kwa mara…

Licha ya washtakiwa kuomba Hakimu ajitoe, yeye amekataa
MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya tuhuma ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita Bharat (54) wameiomba hakimu anayesikiliza kesi hiyo ajitoe kwa sababu hawana imani nae kutokana na maamuzi anayoyato. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Aidha, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi…


DKT. BITEKO ATOA WITO VYOMBO VYA HABARI KUELIMISHA JAMII KUHUSU MASHUJAA
📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa vyombo vya habari kushirikiana na Serikali katika kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa nchini. Dkt….

Matatani kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo
Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) kutoka Iringa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Abubakar Khamis Ally, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Madema. Amesema mtuhumiwa huyo alifika kituo cha…

Waumini wa ‘kiboko ya wachawi’ wapinga Kanisa lao kufungwa
Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge, jijini Dar es Salaam wakiimba wimbo wa kuwa na imani na mchungaji wao baada ya kanisa kufungwa. Baadhi ya waumini wakiomba katika madhabahu ya Kanisa la Mchungaji ‘Kiboko ya Wachawi’ lililofungwa…

Moto wa Msituni, Kasino ya Utajiri wa Mamilioni – Global Publishers
Last updated Apr 16, 2025 Unataka kuitwa Bosi wa Mtaa? Cheza Kasino leo ushindi ni rahisi, kupitia michezo ya kasino iliyopo Meridianbet unaweza kujikuta unaibuka na ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa Kuwa moja ya Matajiri wapya. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi ni Wildfire Wins ni mchezo wa kasino wenye safu…