179 mbaroni Mwanza, yumo anayedaiwa kumuua mwanamke

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linawashikilia watu 179 akiwemo Mkazi wa Nyakasela Kata ya Nyakariro Sengerema mkoani Mwanza, Lupande Ng’wani (43) anayedaiwa kumuua Mwajuma Yugele kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi Julai 18, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wibroad Mutafungwa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari….

Read More

Apoteza maisha baada ya kulipukiwa na mtungi wa gesi

Bagamoyo. Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa kipande cha mtungi wa gesi uliolipuka katika eneo la Masiwa, Kata ya Dunda, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Tukio hilo lilitokea leo Jumamosi Oktoba 18, 2025 saa 11:30 wakati kijana mmoja, Musa Rashid (19), mkazi wa Masiwa, anayejihusisha na ukusanyaji wa vyuma chakavu, alipokuwa akigonga kifuniko cha…

Read More

BALOZI NCHIMBI KUONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA KIBIKI LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika shughuli ya kutoa heshima za mwisho na mazishi ya Ndugu Christina Alex Kibiki, aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, ambaye alipoteza uhai hivi karibuni baada ya kuvamiwa na kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana….

Read More

M23 wana ushawishi halisi au bandia Goma?

Dar es Salaam. Wakati juhudi za kutafuta suluhu ya vita kati ya Muungano wa makundi ya wapiganaji (Alliance Fleuve Congo-AFC/M23) dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zikiendelea, makundi hayo yameonekana kuwa na ushawishi mkubwa Mashariki ya nchi hiyo. Kundi la M23 lililoanzishwa Machi 2009 baada ya kuvunjika kwa mazungumzo kati ya…

Read More

KAPINGA ATAJA VIGEZO VYA ZIADA UPELEKAJI UMEME VITONGOJINI

……………………   Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme  Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji   Mkurugenzi Mkuu REA atakiwa kumsimamia kwa karibu Mkandarasi wa miradi ya Vitongoji Ziwa Tanganyika Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA)…

Read More

Mkutano wa COP29 kufunguliwa Jumatatu, Baku – DW – 10.11.2024

Mkutano wa Umoja wa mataifa kuhusu mazingira unafunguliwa Jumatatu mjini Baku nchini Azerbaijan na tayari waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amegusia juu ya kitisho cha majanga duniani, akitaja vimbunga hatari, ukame, mafuriko na joto kali.Soma pia: Papua New Guinea yatangaza kususia mkutano wa COP29 Picha: Jörg Blank/dpa/picture alliance Baerbock ambaye pia…

Read More

120 wanolewa programu malezi ya kambo kwa watoto

Dar es Salaam. Wakati matukio ya ukatili dhidi ya watoto yakizidi kuripotiwa kila kona, Shirika la SOS Children Village limeendelea kuwanoa wataalamu mbalimbali ili waweze kusaidia kupunguza matukio hayo katika jamii. Wataalamu hao wananolewa kupitia programu ya miezi sita inayolenga utoaji wa malezi mbadala au kambo yakiwa ni ufadhili wa  Shirika la Fair Start Denmark…

Read More

Gamondi: Hali ya hewa changamoto

Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amekiri hali ya hewa ya baridi nchini Morocco ni changamoto kwa baadhi ya wachezaji wa kikosi hicho. Gamondi aliyasema hayo wakati akikiandaa kikosi hicho kukabiliana na Nigeria katika mechi ya kwanza Kundi C kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mbali na Nigeria, katika…

Read More