Tanzania, Marekani kushirikiana utafiti madini ya kinywe
Dodoma. Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Marekani wametangaza mpango wa utafiti wa kina wa madini ya kinywe hatua inayolenga kuongeza tija ya rasilimali za madini, kufungua fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Akizungumza leo Jumatano Januari 21, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema ushirikiano huo ni sehemu ya mkakati…