Mani Gamera anavyoleta mageuzi soka la Zanzibar
BURUDANI ya Soka Zanzibar haitegemei wachezaji pekee wakiwa uwanjani, badala yake hata baadhi ya makocha wamekuwa kivutio kwa mashabiki wa mpira visiwani hapa. Ikitokea timu ina kocha wa aina hiyo, siku ya mechi watu hufika uwanjani si tu kuangalia utaalamu wake, bali hata kufurahia kumwona namna anavyoshangilia baada ya kupata matokeo mazuri. Kocha wa Fufuni…