Mani Gamera anavyoleta mageuzi soka la Zanzibar

BURUDANI ya Soka Zanzibar haitegemei wachezaji pekee wakiwa uwanjani, badala yake hata baadhi ya makocha wamekuwa kivutio kwa mashabiki wa mpira visiwani hapa. Ikitokea timu ina kocha wa aina hiyo, siku ya mechi watu hufika uwanjani si tu kuangalia utaalamu wake, bali hata kufurahia kumwona namna anavyoshangilia baada ya kupata matokeo mazuri. Kocha wa Fufuni…

Read More

Mwenyekiti wafanyabiashara Arusha ashikiliwa, Mbunge…

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha (DC), Joseph Mkude amesema Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya hiyo, Dominic Mollel huku Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Morris Makoi akitoa ushirikiano wa kumtafuta dalali anayedaiwa kuchukua mali za aliyekuwa mfanyabiashara katika moja ya maduka ya stendi ndogo Arusha, Josephine Shirima. Mwananchi imemtafuta mbunge huyo…

Read More

MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa waumini hata baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Itunda ametoa wito huo wakati wa hafla ya Iftari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Erica Yegella, iliyolenga…

Read More

Serikali yajifunga kitanzi maji ya uhakiki mradi wa Same–Mwanga–Korogwe

Mwanga. Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanaozungukwa na mradi mkubwa wa maji wa Same–Mwanga–Korogwe wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika wakati wote. Hatua hiyo inalenga kuboresha maisha ya wananchi pamoja na kulinda afya za jamii zinazoishi katika maeneo yanayonufaika na mradi huo. Akizungumza leo Jumanne Machi 17, 2026…

Read More

Wanawake FCC watakiwa kujenga Mshikamano na Umoja

Na Mwandishi Wetu Wanawake wa Tume ya Ushindani (FCC ) wametakiwa kuwa na  upendo ambao utajenga mshikamano na kuleta ufanisi katika Taasisi. Hayo ameyasema Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Bi. Magdarena Utouh katika  Maadhimisho  ya Siku ya  Wanawake Duniani ambayo hufanyika kila Machi 8 ya kila mwaka. Magdelena amesema maadhimisho ya Siku ya…

Read More

Zanzibar, Qatar zasaini makubaliano ya Sh25 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa Dola za Marekani 10 bilioni zaidi ya Sh25 trilioni na kampuni kutoka Qatar. Kiasi hicho cha fedha kinalenga kutumika katika sekta miradi ya kimkakati na kipaumbele ukiwemo uchumi wa buluu, utalii, uhifadhi wa mafuta, bandari na nishati ya umeme. Mkataba huo…

Read More

Ilanfya kurejea kazini baada ya kupona

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya anarejea kazini baada ya kukaa nje ya kazi kwa muda mrefu, kutokana na kuuguza majeraha ya goti la mguu wa kulia na kusababisha kucheza mechi moja msimu uliyopita. Ilanfya aliumia Agosti 28, 2024 kwenye Uwanja wa Major Generali Isamuhyo, dakika chache baada ya kuingia kipindi cha pili mechi dhidi…

Read More

MARAIS AFRIKA WASHAURIWA KURUHUSU WANANCHI WAO KUFIKISHA MASHTAKA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINAADAM NA WATU

Na Seif Mangwangi,  Michuzi TV Arusha WAKUU wa nchi wanachama wa umoja wa Afrika ambazo bado hazijaridhia itifaki ya uanzishwaij wa mahakama ya Afrika ya  Haki za binaadam na Watu(AfCPHR),  wametakiwa kuharakisha itifaki hiyo Ili kuruhusu Haki na demokrasia kutendeka katika nchi zao. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mwaka wa mahakama ya Watu na…

Read More