Biteko: Bora uitwe mshamba, lakini usimamie maadili

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuna umuhimu mkubwa kwa jamii, wakiwamo vijana, wazazi, wanafunzi na Serikali kwa ujumla, kusimamia maadili ya Kitanzania. Amesema ni bora mtu uitwe mshamba, lakini asimamie misingi na tabia zote njema zinazotambulika katika jamii na kuachana na maadili yasiyofaa. Biteko ameyasema hayo…

Read More

Uchunguzi wa Haki unaonyesha kuteswa kwa kimfumo na kuwekwa kizuizini kwa serikali ya Assad – maswala ya ulimwengu

Matokeo kutoka kwa Tume ya Kimataifa ya Uchunguzi juu ya uhalifu wa kina wa Syria dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita ambao uliacha urithi wa kiwewe kwa Wasiria wengi, wakiwakilisha ukiukwaji mbaya zaidi wa sheria za kimataifa zilizofanywa wakati wa zaidi ya muongo mmoja wa mzozo wa kikatili. “Tunasimama kwenye mkutano muhimu. Serikali ya…

Read More

TMA: Kimbunga Hidaya kinaendelea kusogea, kuimarika

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Ijumaa, Mei 3, 2024 saa 3:00 asubuhi imetoa taarifa ya kuimarika na kuendelea kusogea kwa Kimbunga Hidaya katika pwani ya Bahari ya Hindi. “Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi mashariki…

Read More

Waliokuwa wabunge viti maalumu Manyara watetea nafasi zao

Babati. Waliokuwa wabunge wa viti maalumu Mkoa wa Manyara, kwa kipindi kilichopita Regina Ndege na Yustina Rahhi wamefanikiwa kutetea nafasi zao kwa kuibuka kidedea kwenye kura za maoni. Katika uchaguzi huo uliofanyika mjini Babati leo jumatano Julai 30, 2025, Regina na Rahhi wamewashinda wagombea wenzao sita, kupitia kura 1,138 za wajumbe. Msimamizi wa uchaguzi huo,…

Read More

KONA YA WASTAAFU: Mstaafu anapotamani kuwa mbunge!

Hatimaye Bunge, lililo moja ya mihimili minne ya Taifa likiwa na wabunge wanaopaswa kuwawakilisha wananchi, akiwemo huyu mstaafu, limemaliza awamu yake ya miaka mitano, na kama kanuni zilivyo, kuchapa lapa na kurudi majimboni kuomba tena ‘kula’ nyingine! Tumeona wabunge karibu 390 waliokuwa wakipata Sh14 milioni kwa kila mmoja wao kama mshahara wa mwezi, marupurupu na…

Read More

Latra wawageukia wenye malori mfumo wa VTS

Dar es Salaam.  Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra), imesema mwaka huu itaanza kufunga mfumo wa kufuatilia mwenendo wa gari (VTS) kwenye malori na kuweka utaratibu mpya wa ratiba kwa madereva wa magari hayo. Awali, mfumo huo ulifungwa kwenye mabasi ya abiria ikiwa ni hatua ya kupunguza ajali za barabarani zinazosababishwa na mwendokasi na uchovu…

Read More

Dakika 180 za moto KenGold

KENGOLD bado inapasua kichwa ikitaka kubaki Ligi Kuu Bara, lakini imezitaja mechi mbili zinazoweza kuwa kikazo kwao ambazo ni dhidi ya ni Simba na Azam FC. Kikosi hicho kimesalia na mechi saba, ambazo ni dhidi ya Azam (nyumbani), Dodoma Jiji (ugenini), Tanzania Prisons (nyumbani), Coastal Union (ugenini), Pamba Jiji (nyumbani), Simba (nyumbani) na Namungo (ugenini)….

Read More