
HOSPITALI BINAFSI ZAVUTIWA NA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA WA HOSPITALI YA RUFAA KANDA MBEYA
# Ni Madaktari Bingwa wa Samia#Kwenda Kujifunza hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya, imeendelea kushiriki katika kukuza na kuimarisha ubora wa huduma za afya nchini na kitovu cha huduma za afya katika Nyanda za Juu Kusini kuwa na madaktari bingwa na bobezi, vifaa tiba vya kisasa katika kuwahudumia wananchi. Timu…