Bei vocha za simu za kukwangua zapanda

Dodoma. Bei ya vocha za simu za kukwangua zimepanda nchini kutoka Sh1,000 hadi Sh1,200 huku Serikali ikiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watoa huduma hawapandishi bei kiholela. Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Mei 29, 2024, Mbunge wa Viti Maalumu, Tunza Malapo amehoji ni nini kauli ya Serikali kuhusu kupanda kwa bei ya vocha…

Read More

Kiluvya kutumia maujanja ya Yanga

WAGENI wapya wa Ligi ya Championship msimu huu Kiluvya United ya mkoani Pwani, imetamba kufanya vizuri huku ikiweka wazi imefanya maandalizi ya kutosha kuleta ushindani kwa kutumia mbinu za mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara timu ya Yanga. Katibu mkuu wa timu hiyo, Amri Bashiru alisema, licha ya ugeni wao katika Ligi hiyo ila wapinzani…

Read More

Kusikiliza kampeni ni hatua ya kwanza ya maendeleo

Dar es Salaam. Kampeni zimeanza. Viongozi wetu wa baadaye wanapaza sauti wakitafuta nafasi ya kuongoza mitaa, vijiji na vitongoji vyetu. Katika kipindi hiki, sauti za ahadi, matumaini na malengo ya maendeleo zinavuma. Je, wananchi tumeshajiandaa kusikiliza kwa makini na kuchambua tunachosikia?  Kusikiliza ni jukumu letu kama wapigakura. Ni fursa ya pekee ya kuchuja na kutathmini….

Read More

Sababu za Tanga Cement kuweka hisa zake sokoni

Dar es Salaam. Kampuni ya Tanga Cement yaweka sokoni hisa stahiki zenye thamani ya Sh204 bilioni ikilenga kusaidia kulipa madeni ya nje. Pia pesa zitakazopatikana zinatarajia kukuza mtaji utakaosaidia kuongeza uzalishaji na usambazaji wa bidhaa ya saruji ndani na nje ya nchi. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mauzo ya hisa hizo, Ofisa Mtendaji…

Read More

UNHCR inahimiza Pakistan kuacha kurudi kwa wakimbizi wa Afghanistan – maswala ya ulimwengu

Alionyesha wasiwasi fulani juu ya shida ya wanawake na wasichana waliorudishwa Afghanistan, ambayo imekuwa chini ya utawala wa Taliban kwa miaka minne. Mnamo Julai 31, Pakistan ilithibitisha kwamba wakimbizi wa Afghanistan wataondolewa chini ya mpango wa ‘Wageni wa Kurudisha Wageni’. UNHCR amepokea ripoti za kukamatwa na kuwekwa kizuizini kwa Waafghanistan kote nchini, pamoja na wamiliki…

Read More

DC LULANDALA AKAGUA MABANDA MAONYESHO NANE NANE ARUSHA

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala amekagua mabanda ya maonyesho ya 30 ya kilimo ya nane nane kanda ya Kaskazini yanayofanyika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha na kuridhika na maandalizi yaliyofanyika. Kauli mbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu wa 2024 ni chagua viongozi wa serikali…

Read More

SERIKALI KUNUNUA TANI LAKI 2 ZA MBOLEA VIWANDA VYA NDANI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe amesema katika kuhakikisha wanalinda viwanda vya ndani Serikali imejipanga kununua mbolea tani laki 2 katika viwanda vya ndani na tani elfu 50 za chokaa kwaajili ya kuboresha shughuli za kilimo. Waziri Bashe ameyasema hayo Jijini Dodoma Juni wakati akitoa taarifa juu ya Uzinduzi rasmi…

Read More

Menejimenti Temesa kikaangoni | Mwananchi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ameagiza kufutwa kazi na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), Lazaro Kilahala, na menejimenti ya wakala huo kutokana na tuhuma za ubadhilifu wa zaidi ya Sh2.5 bilioni. Agizo hilo la Dk Mwigulu linakuja wiki mbili baada ya…

Read More