Wadau wataka mabadiliko ya sheria wanaojaribu kujiua

Dodoma. Wakati wataalamu wa afya ya akili na wanasheria wakishauri kufanyika marekebisho ya sheria ili wanaojaribu kujiua wapewa tiba  saikolojia, badala ya kukabiliwa na mashtaka, baadhi ya waliofikwa na kadhia hiyo wameeleza wanayopitia. Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu mtu yeyote anayejaribu kujiua ana hatia ya kosa. Akizungumza Septemba 10, 2025 wakati wa…

Read More

Mvomero inavyonufaika kwa biashara ya kaboni

Morogoro. Kata ya Pemba wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, ni ya kupigiwa mfano katika utekelezaji wa miradi ya uhifadhi wa mazingira. Miradi hiyo inakwenda sambamba na uboreshaji wa maisha ya wananchi kupitia matumizi ya nishati safi ya kupikia na biashara ya kaboni. Miongoni mwa miradi hiyo ni ya uboreshaji misitu asilia inayotekelezwa na shirika lisilo la…

Read More

Bado Watatu – 26 | Mwanaspoti

NILIPOWAZA hivyo, nilipunguza mwendo zaidi, nikawa natupa macho huku na huku. Nikaona kulikuwa na pikipiki nyuma yangu. Niliona jamaa amempakiza mwenzake. Aliyempakia mwenzake alikuwa mwanaume, lakini sikuweza kuona aliyepakiwa alikuwa mwanaume au mwanamke. Nilitaka ile pikipiki inipite lakini ilikuwa ikienda mwendo wa taratibu. Nikakata kushoto ambako kulikuwa na barabara ya mchanga. Sasa makaburi yalikuwa kulia…

Read More

Nje ya uwanja nyomi | Mwanaspoti

NJE ya Uwanja wa Benjamin Mkapa mambo yameanza kunoga kwa mashabiki wa Yanga kuonekana kwa wingi wakiwa wanashuka kutoka kwenye mabasi na usafiri mwingine ili kuingia kushuhudia tamasha la kilele cha wiki ya Mwananchi. Tamasha hilo ambalo ni la saba kwa Yanga tangu lianzishwe mwaka 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Dr Mshindo…

Read More

Hamu ya mashabiki Yanga kuwaona mastaa laivu

YANGA leo Septemba 12 inafanya tamasha la saba la Wiki ya Mwananchi tangu lilipoanzishwa 2019, huku shauku kubwa ya mashabiki ni kutaka kuwaona wachezaji wapya laivu na burudani mbalimbali zinazoendelea. Mwanaspoti limefanya mahojiano na baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao wamezungumzia furaha ya na namna tamasha hilo linavyozidi kuwa bora kila mwaka huku pia linawakutanisha…

Read More

Usalama noma kwa Mkapa | Mwanaspoti

USALAMA umezingatiwa katika hitimisho la Wiki ya Mwananchi, huku askari wakionekana katika maeneo yote ya nje ya uwanja wa Benjamin Mkapa na biashara zikiendelea mdogomdogo. Hii yote ni kuhakikisha kwamba usalama wa mashabiki na mali zao unazingatiwa. Lakini, si hivyo tu yapo maeneo ambayo yamezungushiwa kamba za rangi nyekundu na nyeupe kama uzio ambayo ni…

Read More

Shabiki Simba amfuata Tshabalala | Mwanaspoti

Unayajua mahaba binafsi wewe? Soma hapa! Shabiki mmoja wa Simba ameshtua baada ya kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi akimfuata beki wake mmoja wa zamani. Shabiki huyo, Shakur Abubakar, ambaye amegoma asipigwe picha akihofia kuchukiwa na wenzake wa Simba, amesema bado haamini kama Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amehamia Yanga. Shakur amesema…

Read More

Simba nao wamo Mwananchi Day

LICHA ya mashabiki wa Yanga kuendelea kumiminika kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kushuhudia Kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini wale wa Simba nao wamo kujionea sherehe hizo za watani zao. Simba ambao tamasha lao lilifanyika juzi, Jumatano, lakini baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wameonekana wakiingia uwanjani huku wakitaja msemo wao maarufu…

Read More