NBC Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano Na Wadau, Yasisitiza Mwelekeo Wake Utoaji Huduma Jumuishi Za Kifedha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana kwa ukaribu na wadau mbalimbali wakiwemo Serikali, wafanyabiashara, wawekezaji, wajasiriamali, wafanyakazi, wakulima pamoja na makundi mengine ya kijamii, kwa lengo la kuchochea kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa kupitia utoaji wa huduma jumuishi na bunifu za kifedha zinazoendana na mahitaji halisi ya…

Read More

Ujumbe maalumu wa Lissu kusomwa kumbukizi ya Mzee Mtei

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Tundu Lissu, aliyeko Gereza la Ukonga kutokana na kesi inayomkabili ya uhaini, anatarajiwa kutuma ujumbe maalumu unaomhusu mwasisi wa chama hicho, Edwin Mtei. Ujumbe huo unatarajiwa kwenda kuchukuliwa leo ambao utasomwa katika kumbukizi ya Mzee Mtei itakayofanyika Januari 23, 2026 kabla ya maziko yake yanayotarajiwa…

Read More

Wajukuu 10 wakomalia mtuhumiwa mauaji ya Patrice Lumumba ashtakiwe

Ubelgiji. Familia ya shujaa wa uhuru wa Kongo hayati Patrice Lumumba, imesema imeanzisha upya ufuatiliaji kuhusu ukweli wa kifo cha mwanamapinduzi huyo ambaye alikuwa kipenzi cha Wakongo ili haki ipatikane. Mahakama ya Ubelgiji imeelezea hatua hiyo ikisema inatafakari uwezekano wa kumshtaki mshukiwa pekee aliyebakia kuhusiana na mauaji ya Lumumba yaliyotokea Januari 17, 1961. Mjuu wa…

Read More