Clara Luvanga anaitaka rekodi Saudia

BAADA ya kuingia kwenye kikosi bora cha wiki mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia, mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr amesema huo ni mwanzo tu kwake. Msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Saudia umeanza na hadi sasa zimechezwa mechi tatu na nyota huyo ameingia kwenye kikosi bora cha wiki mara…

Read More

Baleke aibukia Rayon Sports | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda msimu uliopita ikizidiwa pointi nne na mabingwa mara sita mfululizo, APR. Nyota huyo raia wa DR Congo kwa muda wa miezi sita…

Read More

Yanga Soccer School kuanza kusaka mastaa kitaa

YANGA inaendelea na mikakati ya kuhakikisha mpira wa miguu hapa nchini unakua na kutengeneza vijana waliopitia njia sahihi za kulelewa katika misingi inayotakiwa ili kuzitimiza ndoto zao. Hivi karibuni, klabu hiyo ilitangaza programu ya Yanga Soccer School, ambapo awamu hii umeongezeka udhamini wa GSM Foundation ili kuwasaidia vijana wasiokuwa na uwezo kifedha lakini wana vipaji…

Read More

Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya

Tanzania imeungana na Kenya zikiwa nchi wenyeji kutupwa nje ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la dakika ya 63 likifungwa na mshambuliaji Oussama Lamlioui akipokea pasi ya kiungo Youssef Belammari limetosha kusitisha matumaini ya…

Read More

Watu wenye ulemavu 2,000 nchini kunufaika na pikipiki za nishati ya umeme

Babati. Watu wenye ulemavu 2,000 nchini watanufaika na pikipiki zenye magurudumu matatu zinazotumia nishati ya umeme, zinazotolewa bila malipo na taasisi ya Mati Foundation ya mjini Babati, mkoani Manyara. Taasisi hiyo imeeleza mpango wake wa kutoa pikipiki hizo zaidi ya 2,000 kwa makundi ya watu maalumu ili kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili katika shughuli za utafutaji….

Read More

Barnabas aanika mipango Transit | Mwanaspoti

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More