Marufuku shughuli za kibinadamu mapango ya Amboni

Tanga. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Japhari Kubecha amepiga marufuku shughuli zote za kibinadamu zinazofanyika katika Hifadhi ya Mapango ya Amboni, kama vile kukata miti, kuchimba mchanga, kwani kufanya hivyo kunaweza kuharibu uhalisia wa eneo hilo. Akizungumza na wananchi waliojitokeza kwenye hafla ya kutangaza vivutio vya utalii kwa Mkoa wa Tanga iliyofanyika katika mapango hayo…

Read More

Historia ya kuvutia maeneo ya Jiji la Tanga

Tanga. Unapotaja maeneo ya kihistoria nchini, huwezi kuliweka kando Jiji la Tanga, kama eneo maarufu na muhimu katika Mkoa wa Tanga. Nje ya historia ya mkoa, maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Tanga yana simulizi za kuvutia kwa anayezisoma au kusikiliza. Mwananchi Digital tunakunyofolea baadhi ya maeneo na kukupa kwa ufupi simulizi zake, kama ilivyodokezwa…

Read More