Ukali wa mzazi unavyoweza kuathiri uhusiano na mtoto

Dar es Salaam. Wanasema samaki mkunje angali mbichi, methali hii inashabihiana na aina ya jamii za Afrika na dunia kwa ujumla, ambapo moja ya majukumu ya mzazi katika familia ni kuhakikisha mtoto anakuwa katika maadili bora na upendo, huku mshikamo ukisimama kama nguzo muhimu katika familia. Ni dhahiri kuwa baadhi ya tabia za watoto kama…

Read More

Serikali kuendelea kushirikiana na viongozi wa dini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema serikali inaendelea kushirikiana na viongozi wa dini kuhakikisha suala la maadili nchini. Jana, Chalamila alikua mgeni rasmi akimwakikisha Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, katika Ibada ya Maadhimisho ya Miaka 90 ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, Upanga jijini Dar es Salaam. Alilitaka kanisa hilo kuendelea kujitafakari…

Read More

Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulinda ushahidi huku kukiwa na mzozo wa kibinadamu unaozidi kuwa mbaya – Global Issues

Sambamba na hilo, Mfumo wa Kimataifa, Usio na Upendeleo na Kujitegemea wa Syria (IIIM) alihitimisha ziara ya kihistoria kwa Damascus, ikisisitiza udharura wa kuhifadhi ushahidi unaohusiana na uhalifu mkubwa zaidi wa kimataifa kabla haujapotea. Uhaba wa mafuta, barabara kuharibika Huduma muhimu, ikiwa ni pamoja na hospitali na vituo vya afya, zimeathirika pakubwa, hasa katika mkoa…

Read More

Jaji ataja sababu hukumu kesi ya Milembe kuahirishwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji ya Milembe Suleman iliyotarajiwa kutolewa leo, Agosti 26, 2024, imeahirishwa na sasa itasomwa kesho, Agosti 27, 2024, saa tatu asubuhi. Sababu zilizotajwa za kuahirishwa kwa hukumu hiyo ni urefu wa kesi, wingi wa mashahidi, pamoja na mchakato wa utafutaji wa haki kwa pande zote mbili. Jaji mfawidhi wa Mahakama…

Read More

Okutu aweka ngumu Pamba Jiji

KITENDO cha mabosi wa Pamba Jiji kutaka kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa timu hiyo, Eric Okutu, kambi ya mchezaji huyo Mghana imeibuka na kudai haikubaliani na jambo hilo, isipokuwa kwa sharti moja la kuuvunja mkataba uliobaki wa miezi sita. Viongozi wa Pamba wanahitaji kumpeleka Okutu kwa mkopo KenGold na hii ni baada ya kuinasa saini…

Read More