Aviator ya Meridianbet Yabadili Ushindi Kuwa Uhalisia

MERIDIANBET inaendelea kuonesha tofauti yake kwenye ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuunganisha burudani, ushindani na zawadi zenye thamani halisi. Kupitia kampeni mpya ya mchezo wa Aviator, wachezaji hawashindanii pesa pekee, bali pia nafasi ya kujinyakulia Samsung Galaxy A26 mpya kabisa, simu ya kisasa inayokidhi mahitaji ya kila siku. Aviator ni zaidi ya mchezo wa…

Read More

Dakika 90 za UEFA, Nafasi Kubwa ya Ushindi Meridianbet

LIGI ya mabingwa Barani Ulaya itaendelea pia hapo kesho ambapo timu za pesa zote zitakuwepo uwanjani kusaka nafasi ya kusonga mbele. Chelsea, Bayern, Liver na wengine kibao wapo kwaajili ya kukupatia pesa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Tukianza na Galatasaray wao watamualika kwake Atletico Madrid ya Diego Simeone ambao mpaka sasa wapo nafasi…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Bila Bunge na Mahakama huru, utawala wa sheria ni ndoto

Wiki iliyopita, Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju alitaja mambo manane akitaka yawezeshwe ili kuifanya Mahakama kuwa huru isiyoingiliwa kwenye utoaji haki, na mimi namuongezea kuwa tunahitaji pia Bunge huru litakaoisimamia Serikali. Bila vyombo hivyo kuwa huru, visivyofanya uamuzi kwa shinikizo, maelekezo au maslahi ya kisiasa, kilio cha utawala wa sheria ambacho kinasikika hivi sasa…

Read More

Trump akwaa kisiki Ulaya | Mwananchi

Dar es Salaam. Mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump kuweka vikwazo vya kodi kwa Mataifa ya Ulaya umechukua sura mpya baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kuchukua hatua za kulipiza kisasi. Hatua za Trump zilizotangazwa Januari 2026, zinahusu ushuru wa ziada kwa bidhaa za viwandani kutoka Ulaya. Akizungumza nchini Marekani, Rais Donald Trump alisema…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Gharama ya uzembe ni maanguko

Wahenga walisema “Utavuna ulichopanda”. Kama ulipanda mahindi haiwezekani kuvuna mtama hata kama zote ni nafaka. Usemi huu una maana kubwa zaidi na kufanana na “Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo”. Malezi ya mtoto yanafananishwa na mbegu iliyopandwa na kuhudumiwa ikiwa ardhini. Ikiwa mbegu ni bora na imepandwa kwenye ardhi yenye rutuba, ni lazima itatoa mazao yanayotarajiwa. Siku…

Read More

Miradi hii iendelezwe isife ‘kifo cha mende’

Wakati wa maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar, miradi mingi ya maendeleo imezinduliwa au kuanza kutekelezwa. Hatua hizi ni ishara chanya ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya nchi. Hata hivyo, kilicho muhimu zaidi ya uzinduzi wa miradi hiyo ni usimamizi wake, pamoja na kuhakikisha inalingana na kiwango cha fedha kinachotumika. Utekelezaji wa…

Read More