Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro
Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro – Global Publishers Home Habari Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro
Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro – Global Publishers Home Habari Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro
MERIDIANBET inaendelea kuonesha tofauti yake kwenye ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuunganisha burudani, ushindani na zawadi zenye thamani halisi. Kupitia kampeni mpya ya mchezo wa Aviator, wachezaji hawashindanii pesa pekee, bali pia nafasi ya kujinyakulia Samsung Galaxy A26 mpya kabisa, simu ya kisasa inayokidhi mahitaji ya kila siku. Aviator ni zaidi ya mchezo wa…
LIGI ya mabingwa Barani Ulaya itaendelea pia hapo kesho ambapo timu za pesa zote zitakuwepo uwanjani kusaka nafasi ya kusonga mbele. Chelsea, Bayern, Liver na wengine kibao wapo kwaajili ya kukupatia pesa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Tukianza na Galatasaray wao watamualika kwake Atletico Madrid ya Diego Simeone ambao mpaka sasa wapo nafasi…
BENKI ya CRDB imezindua rasmi Ofisi yake ya Uwakilishi ya Dubai katika hafla iliyofanyika jana Dubai katika hoteli mashuhuri ya Intercontinetal, ikiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Balozi Kombo…
Mwandishi kiongozi Prof. Kaveh Madani Maoni na Taasisi ya Maji, Mazingira na Afya ya Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa (umoja wa mataifa) Jumatano, Januari 21, 2026 Inter Press Service Ripoti ya bendera inataka kuweka upya ajenda ya kimataifa ya maji kwani uharibifu usioweza kutenduliwa unasukuma mabonde mengi zaidi ya kupona. UMOJA WA MATAIFA, Januari…
Wiki iliyopita, Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju alitaja mambo manane akitaka yawezeshwe ili kuifanya Mahakama kuwa huru isiyoingiliwa kwenye utoaji haki, na mimi namuongezea kuwa tunahitaji pia Bunge huru litakaoisimamia Serikali. Bila vyombo hivyo kuwa huru, visivyofanya uamuzi kwa shinikizo, maelekezo au maslahi ya kisiasa, kilio cha utawala wa sheria ambacho kinasikika hivi sasa…
Dar es Salaam. Mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump kuweka vikwazo vya kodi kwa Mataifa ya Ulaya umechukua sura mpya baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kuchukua hatua za kulipiza kisasi. Hatua za Trump zilizotangazwa Januari 2026, zinahusu ushuru wa ziada kwa bidhaa za viwandani kutoka Ulaya. Akizungumza nchini Marekani, Rais Donald Trump alisema…
Dar es Salaam. Ushindi wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi Januari 15, 2026 umeweka historia mpya katika safari yake ya kisiasa nchini Uganda, Afrika na dunia kwa ujumla. Kwa ushindi huo, Museveni anaingia kwenye kundi la marais waliotawala nchi zao kwa miaka 40 au zaidi, jambo ambalo ni nadra kulishuhudia mahali…
Wahenga walisema “Utavuna ulichopanda”. Kama ulipanda mahindi haiwezekani kuvuna mtama hata kama zote ni nafaka. Usemi huu una maana kubwa zaidi na kufanana na “Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo”. Malezi ya mtoto yanafananishwa na mbegu iliyopandwa na kuhudumiwa ikiwa ardhini. Ikiwa mbegu ni bora na imepandwa kwenye ardhi yenye rutuba, ni lazima itatoa mazao yanayotarajiwa. Siku…
Wakati wa maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar, miradi mingi ya maendeleo imezinduliwa au kuanza kutekelezwa. Hatua hizi ni ishara chanya ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya nchi. Hata hivyo, kilicho muhimu zaidi ya uzinduzi wa miradi hiyo ni usimamizi wake, pamoja na kuhakikisha inalingana na kiwango cha fedha kinachotumika. Utekelezaji wa…