Vitunguu Iringa bei juu, wafanyabiashara, wakulima walia

Iringa. Wafanyabiashara wa vitunguu maji mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya zao hilo kutoka Sh60,000 hadi kufikia kati ya Sh140,000 na Sh180,000 kwa gunia moja. Wafanyabiashara hao wameeleza kuwa kwa sasa vitunguu maji shambani vinauzwa Sh180,000 ikilinganishwa na bei ya Desemba 2024 ya Sh70,000 kwa gunia na Sh 160,000, bei ya Januari hadi Februari…

Read More

Grace Kiwelu, Mgonja, Kilawila, Rachael wajiondoa Chadema

Moshi. Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho, Gervas Mgonja, wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kuanzia leo Jumapili, Mei 11, 2025. Gervas Mgonja, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro Wengine waliojivua uanachama ni Katibu wa Bawacha Kanda ya Kaskazini, Rachael Sadick, Mwenyekiti…

Read More

Balozi Ruhinda, mpinzani wa uchifu wa kikoloni

Tukiwa bado na majonzi ya kumpoteza Balozi Ferdinand Kamuntu Ruhinda, mmoja kati ya wazalendo walioitumikia nchi hii kwa muda mrefu na kwa mapenzi makuu, hatuna budi kuendelea kuyaenzi yale mazuri aliyoyafanya. Kuna mambo mengi aliyoyafanya, ambayo hayakujulikana kabla ya kifo chake na hivyo kumfanya awe maarufu baada ya kuondoka duniani kuliko kipindi cha uhai wake….

Read More

Wakabidhiwa bweni la wanafunzi 240 wa kike

Dar es Salaam. Takriaban wanafunzi 240 wanawake katika Shule ya Sekondari Namanga, wameepukana na safari ya kutoka nyumbani kwenda shule, badala yake wataanza kuishi bweni. Hatua hiyo ni baada ya shule hiyo kukabidhiwa jengo la bweni litakalolaza wanafunzi 240, kutoka kwa Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Huduma za Kisheria (LSF). Akizungumza katika hafla ya kukabidhi…

Read More

Mwenda kazi anayo Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Israel Mwenda amewasili rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya hivi karibuni kuibuka mgogoro wa kimaslahi baina ya pande zote mbili zilizosababisha beki huyo kushindwa kuwasili kambini kwa muda muafaka, huku akikabiliwa na kazi nzito ya kuliamsha kikosini. Mwenda aliyesajiliwa na Singida msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu…

Read More

Waziri Mkuu Amzungumza na Makamu wa Rais wa Cuba

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Agosti 13, 2024 amezungùmza na Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador Valdes Mesa. Mazungumzo hayo ambayo pia yamehudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole yamefanyika Revolutionary Square, Havana. *Aahidi kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali za Tanzania na Cuba zitaendelea kushirikiana katika…

Read More

Sillah: Hivi ndivyo Ligi inavyotakiwa

ACHANA na mabao mawili aliyofunga dhidi ya KMC na kumfanya afikishe matano katika Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah amesema amefurahishwa na ushindani uliopo tangu kuanza kwa duru la pili, akisema ndivyo ligi inavyotakiwa. Sillah alifunga kila kipindi wakati Azam ikishinda mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam…

Read More