Pacome, Maxi watwishwa mzigo Yanga

KUMEKUWA na vikao vya hapa na pale vinavyofanywa na mabosi wa Yanga sambamba na wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo ili kuweka mambo sawa kuelekea mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers ya Malawi. Unaambiwa vikao hivyo vinavyoendelea ndani ya Yanga, vilianza tangu kikosi hicho kilipokuwa Malawi kabla…

Read More

Serikali yatangaza nafasi za ajira

Dar es salaam. Serikali kupitia ofisi ya Rais sekretatieti ya ajira katika utumishi wa umma imetangaza nafasi 73 za ajira kwa raia wa tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa waliopo kazini serikalini. mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni Agosti 21, 2025. Kwa mujibu wa tangazo la ofisi hiyo, la  Agosti 8, 2025…

Read More

Siku ya kuondoka na maokoto ya maana ni leo

Wikendi ndiyo hiyo inaanza leo hii ambapo nafasi ya kuibuka mshindi unayo mkononi kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Unasubiri nini?. Ingia na ubashiri hapa. Meridianbet inaanza kumulika ligi ya Ujerumani, BUNDESLIGA ambapo leo hii kutakuwa na mtanange mkali kabisa kati ya wenyeji VFB Stuttgart dhidi ya Union Berlin. Mwenyeji ametoka…

Read More

DKT.MATARAGIO AKAGUA UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZIA GESI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amekagua kazi za ujenzi wa Kituo cha Kujazia Gesi kinachojengwa katika barabara ya Sam Nujoma mkoani Dar es Salaam na kumtaka Mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi kwa kuongeza rasilimali watu na vifaa. Dkt. Mataragio amesema hayo tarehe 1 Julai 2024 alipofanya ziara ya kukagua…

Read More

Utafiti kubaini aina mpya za samaki

Unguja. Meli ya utafiti wa bahari na samaki, Dk Fridtjof Nansen kutoka Norway, inatarajiwa kuanza utafiti wake nchini. Utafiti huo unalenga kubaini aina mpya za samaki, hatua ambayo itasaidia Serikali kuelekeza nguvu katika rasilimali hizo na kuongeza tija katika uchumi wa buluu. Katika utafiti wa mwaka 2023, watafiti waligundua aina 20 za samaki ambazo hazikuwahi…

Read More