Mechi za mtego Kagame hizi hapa

MICHUANO ya Kombe la Kagame inatarajiwa kuendelea tena kesho, Jumapili, kwa mechi mbili kupigwa ambapo Madani itakabiliana na Al-Hilal Omdurman huku Mogadishu City ikipambana na Kator katika mechi zinazotarajiwa kuamua mwelekeo wa kundi C. Katika mechi zao za kwanza katika mashindano hayo yanayohusisha klabu za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati hakuna timu iliyoibuka na…

Read More

Itutu: Tutauza gesi kwa Sh3,000, kukomesha ufisadi na rushwa

Mwanza. Mgombea ubunge wa Ilemela kwa tiketi ya chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amesema akiingia madarakani yeye na chama chake watafanya mapinduzi makubwa kuboresha maisha ya Watanzania, ikiwemo kushusha gharama za gesi ya kupikia, kutatua changamoto ya maji, kujenga uwanja wa soka mkoani Mwanza na kupambana na ufisadi na rushwa. Itutu…

Read More

WATALAAMU WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA MALIASILI WAHIMIZWA KUWA KIDIGITALI

…………….. Na Sixmund Begashe, Dodoma Wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuzingatia matumizi ya mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuongeza ufanisi katika uchakataji, uhifadhi na upatikanaji wa taarifa kwa wakati. Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara…

Read More

Huyu ndiye Mirambo anayekaimu nafasi ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira…

Read More

Momentum huunda kuelekea makubaliano ya bioanuwai ya baharini, kama wataalam wanavyokutana huko New York – Masuala ya Ulimwenguni

Iliyopewa jina la Makubaliano chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa juu ya Sheria ya Bahari juu ya Uhifadhi na Matumizi Endelevu ya Tofauti za Baiolojia ya Majini Zaidi ya Mamlaka ya Kitaifailikuwa kupitishwa Mnamo Juni 2023 baada ya miaka ya mazungumzo, na iko wazi kwa saini hadi Septemba 20. Na maridhiano nane tu yaliyobaki…

Read More