Watu 33,000 hufariki kila mwaka kuvuta hewa chafu

Dar es Salaam. Kwa Tanzania watu takribani 33, 000 hufariki dunia kwa mwaka kutokana na magonjwa ya mfumo wa kupumua ambayo huchangiwa na uvutaji wa moshi unaotokana na matumizi ya nishati ya kupikia isiyosafi. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba leo Ijumaa Septemba 12, 2025 wakati akizungumza kwenye Jukwaa…

Read More

Nishati safi itakavyookoa maisha, kufungua fursa za kiuchumi

Dar es Salaam. Kampeni ya nishati safi ya kupikia katika muktadha wa Dira ya Taifa 2025 inalenga kuokoa maisha, kuboresha afya za wanawake na watoto pamoja na kulinda mazingira. Kutokana na mikakati hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited MCL), Rosalynn Mndolwa-Mworia amesema kuna kila sababu kwa wadau na Serikali kuunganisha nguvu kuhakikisha Taifa linapata…

Read More

Mwongozo wa kupunguza swala ukiwa safari

Dar es Salaam. Miongoni mwa hukumu za safari ni kwamba inaruhusiwa msafiri kupunguza Sala (qasr) zenye rakaa nne ambazo ni Adhuhuri, Alasiri na Isha, kwa kuzisali rakaa mbili kila moja. Hii ndiyo ilikuwa ni Sunna na muongozo wa Mtume(Rehema na amani ziwe juu yake) ambaye hakuwahi kusali kamili (rakaa nne) katika safari zake. Riwaya zinazodai…

Read More

Mgomo wa Israeli katika Doha Marks ‘Kuongezeka Kuongezeka’, anaonya juu ya UN Ofisa, katika wito wa kudumisha kanuni za kidiplomasia – maswala ya ulimwengu

Rosemary Dicarlo Imefafanuliwa Mgomo wa Jumanne katika eneo la makazi la mji mkuu wa Qatari – ambao ulilenga uongozi wa kisiasa wa Hamas kuua washirika kadhaa pamoja na afisa wa usalama wa Qatari – kama uwezekano wa kufungua “”Sura mpya na hatari katika mzozo huu mbaya, unaotishia amani na utulivu wa kikanda.“ Shambulio hilo lilitokea…

Read More

Kengele ya hatari afya duni kwa bodaboda

Dar es Salaam. Bonny Sagati ni kijana mwendesha bodaboda anayefanya shughuli zake maeneo ya Tegeta mkoani Dar es Salaam. Aghalabu siku yake inaanza mapema mno, kabla hata jogoo hajawika. Akiwa bado na usingizi mzito, anapiga mswaki kwa haraka, anakunjua suruali yake iliyochakaa na kuivaa pamoja na jaketi ambalo halijui lini liliona maji! Saa chache baadaye,…

Read More

Usichojua kuota, kung’oka meno ya watoto

Shinyanga. Kuota meno ni kitendo cha meno kuanza kuchomoza kutoka kwenye fizi za mtoto, na ni hatua muhimu katika ukuaji wa mtoto, ambapo umri wa uotaji hutofautiana kati ya mtoto mmoja na mwingine. Hata hivyo, kitendo hicho kwa jamii nyingi kimekuwa kikitazamwa kwa sura na imani tofauti ikiwamo hata ile potofu zenye madhara kiafya Kwa…

Read More

Mbinu za kupeperusha mawazo ya kujiua

Kila mwaka ifikapo tarehe 10 Septemba ni Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani. Siku hii imeadhimishwa siku mbili zilizopita. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka  huu hadi sasa kuna matukio ya kujiua zaidi ya 720,000 ambapo wanaume wanaongoza mara mbili  zaidi ya wanawake. Vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu…

Read More