Jeshi la Marekani laikamata meli ya Venezuela

Venezuela. Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (Southcom) imeikamata meli ya mafuta inayomilikiwa na Venezuela kwenye Bahari ya Caribbean, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na jeshi hilo jana Jumanne Januari 20, 2026. Vikosi hivyo vimesema meli hiyo ya Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Ukamataji huo unakuja ikiwa ni karibu siku…

Read More

Mdogo wake Niyonzima aiwahi Azam FC

AZAM baada ya jana kumaliza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, akili yao sasa ipo nchini Kenya ikiwa na kibarua cha kuikabili Nairobi United ambayo imeongeza mashine nne akiwemo ndugu yake Haruna Niyonzima. Azam iliyopo kundi B katika Kombe la Shirikisho Afrika, Januari 25, 2026 itakuwa kwenye Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi…

Read More

KONA YA MALOTO: Siasa ni mihadarati, hupofusha, huumiza na kuua taifa

Msomi wa uandishi wa kibunifu (creative writing), Veronica Roth wa Chuo Kikuu cha Northwester, Marekani, aliandika kwa kuhoji; Tunachangia adui, lakini hiyo inafanya sisi tuwe marafiki? Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Condoleezza Rice, alisema: “Tunahitaji adui mmoja ili atuunganishe.” Mwandishi James Fahy alipata kuandika: “Hakuna kinachoweza kuwaunganisha binadamu kama adui mmoja.” Kilichokuwa…

Read More

Mkongomani kumrithi Chama Singida Black Stars

MUDA mchache baada ya Singida Black Stars kukubali kumwachia Clatous Chama atimkie Simba, uongozi wa klabu hiyo upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kiungo Mkongomani, Linda Mtange kutoka Aigles Du Congo. Chama aliitumikia Singida Black Stars kwa miezi sita akitua mwanzoni mwa msimu huu akitokea Yanga na alihudumu kwa msimu mmoja akitokea Simba….

Read More

Edwin Mtei; Jina dhahabu Tanzania kisiasa, kifedha

Mchunga mifugo aliyesoma kwa dhamira hadi kuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT). Mwanasiasa aliyeanzisha chama kilichopanda hadi kuwa chama kikuu cha upinzani. Mkulima wa kahawa mwenye mafanikio. Mstaafu wa utumishi wa umma aliyeishi maisha yake ndani ya misingi. Edwin Isaac Mbiliewi Mtei. Gavana mwasisi wa BOT. Mwenyekiti mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Read More

Ni vita ya Chipo, Maxime Ligi Kuu Bara

MIEZI 10 na siku 9 imepita kufikia leo Januari 21, 2026 na tunakwenda kushuhudia tena mtanange baina ya Mtibwa Sugar dhidi ya Mbeya City, huku safari hii ikiwa ni katika Ligi Kuu Bara. Uwanja wa Jamhuri uliopo Dodoma, utaamua vita hiyo ya makocha wawili, Yusuf Chipo na Mecky Maxime kuanzia saa 10:00 jioni. Timu hizo…

Read More

Mayele akoshwa na usajili wa Chama Simba

STRAIKA wa Pyramids ya Misri na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele, ameonyesha wazi furaha yake baada ya Clatous Chama, kurejea katika klabu ya Simba. Kupitia sehemu ya maoni mitandaoni baada ya Simba kutangaza kumrejesha Chama, Mayele aliandika ujumbe uliovuta hisia za mashabiki wengi huku wengine wakitaka naye atue Msimbazi. “The Best Number…

Read More

Usafirishaji haramu wa binadamu unategemea rushwa katika kila hatua – Masuala ya Ulimwenguni

Afisa wa polisi wa Chile aliyeko mpakani alishirikiana katika mpango huo, na kuwezesha uhalifu. Kama si walinzi wa mpaka, maafisa wa umma na vyombo vingine vinavyotazama upande mwingine kwa kubadilishana fedha au upendeleo wa ngono – au wao wenyewe wananyang’anywa – biashara ya binadamu isingeweza kutokea kwa kiwango kikubwa, kulingana na ripoti mpya kutoka Ofisi…

Read More