Jeshi la Marekani laikamata meli ya Venezuela
Venezuela. Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (Southcom) imeikamata meli ya mafuta inayomilikiwa na Venezuela kwenye Bahari ya Caribbean, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na jeshi hilo jana Jumanne Januari 20, 2026. Vikosi hivyo vimesema meli hiyo ya Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Ukamataji huo unakuja ikiwa ni karibu siku…